Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
🤓Wahalifu wakifungwa,mnalalamika,wakiaachiwa bado mnalalamika ,hata sijui watanzania mnataka nini hasa mbona kama mnatuchanganya sana!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤓Wahalifu wakifungwa,mnalalamika,wakiaachiwa bado mnalalamika ,hata sijui watanzania mnataka nini hasa mbona kama mnatuchanganya sana!!??
Unsafe water inapoteza fedha za umma badala ya kuzipeleka kwenye maendeleo zinatibia watu.Hizi Pombe kali zinamaliza nguvu kazi ya taifa sasa wengine wanatengeneza bomb kubwa zaidi kwa vijana.
Pombe halali ni chache mno mitaani - pombe pori zinatawala kila konaAfadhali Grants au Hanson choice hazimo kwa list
Adhabubu ni sawa na kosa walilofanya.Hapana hao ni matapeli na wapo teyari kudhuru maisha ya watu bila kujali..
Sema adhabu hiyo ni kubwa sana.
Pombe zote za Tsh 2,000 zina madhara hivyo hivyo tu, zipigwe marufuku kabisa. Tatizo ni kuwa Serikali inajua kila kitu na imeamua kunyamaza na kukusanya kodi.Acha wafungwe wanauwa figo za watu
Serikali ingelikuwa na nia ya dhati ya kuwalinda raia wake. Pombe zote za bei chee hazikutakiwa kuwa mitaani. Maafisa kutoka mamlaka husika wanaujua ukweli na wameamua kula kwa urefu wa kamba zao na kuwaacha wananchi wapambane na hali zao.Adhabubu ni sawa na kosa walilofanya.
Bidhaa walizosambaza zimesababisha madhara kwa watumiaji wengi.
Acha walipie madhara ya kiafya waliyosababishia jamii.
Kuna nchi hawa jamaa wangepigwa risasi ama kunyongwa kimya kimyaaKwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Kwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Walihusika katika kuua watu?Jera maisha! Hv Daniel yona, na Pesambili mramba walifungwa miaka mingapi jera?
Nakumbuka Mramba kwa kesi ya ufisadi wa mambilioni ya TSh, alipewa kifungo cha nje, akawa anapelekwa hoapitsri ya mnazi, mmoja kufagia! Eti ndio adhabu,
Wakati huo V8 lake limepaki pembeni lipo silence!
Wadogo zangu Bora uibe pesa nyingi aiseee
Afrika mtu akiiba kuku atafungwa maisha km fundishi ila kiongozi akifanya ufisadi hafungwi wala hashitakiwiWanaouza na kuhujumu rasilimali za nchi hawaguswi.
Aisee, zitamaliza figo na maini yetuPombe halali ni chache mno mitaani - pombe pori zinatawala kila kona
Hata mimi nimejiuliza haina mantiki hata kidogo,matumbo ya walevi yalivyokuwa sugu huwa hawafi kirahisirahisi hivyo.Kwa bongo hata aliyempiga shoka mtu hadharani mbele za watu na kumuua hanyongwi (wanaosaini kunyonga wanadaiwa eti kuogopa dhambi), ndio wanyongwe hawa ambao hata hatuna uhakika kama wameua mtu?
Ulaya ipi mzee baba? Wangeadhibiwa vile vile, tofauti ni kwamba adhabu isingekuwa kaliKwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Ebu mpleke mwizi pale chuo cha polisi moshi{CCP},,,uone akitoka kama ataacha wizi!!!!!{wizi ni fani bro'ndo,unakumbuka kesi ya kia zombe?}Kwa Ulaya hawa wangesaidiwa wakaanzisha kiwanda halali, bongo wanafungwa maisha!
Hata mimi nahisi kuna kamchezo walitaka kucheza kakafeli mwishoni wakatoa adhabu kwa hasira kukomoana maana sio bure haiwezekani mtu aliyekutwa na ethanol apewe adhabu sawa na mtu mwenye murder case.Nakazia hoja. Hapo inaelekea Kuna kitu nyuma ya pazia kwa Polisi, Hakimu na Adhabu waliyopewa hawa jamaa.