Watatu wahukumiwa kunyongwa kwa mauaji ya Milembe wa GGM

Nadhani tumeepuka hatari fulani ambayo tungeweza kuingia.....

Nadhani nilisema haya hata kabla ya Yaliyompata huyu Marehemu

 
Mahakama imehitimisha vyema kabisa
 
Kama shoga unajiamini
Njoo kafanye ushoga Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Mara au Kagera
Habari utaipata
Ushoga uko had Kigomaa bwasheeeee, sembusee hapoo Lake zone?
Ulizaa uambiwe.
Poleeee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wenzaoo waliokua wanawasifia, Leo wanagugumiaa moyonii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera kwa kutunga msemo wako sababu wahenga wenyewe walisema hivi.....

what's good for the goose is good for the gander
Asante kwa kuongezea jambo kwenye Hoja yangu.
Lakini napenda kukujulisha kwamba msemo huo sikuutunga mimi, Bali Mimi nimenukuu kutoka kwa mojawapo ya Hukumu ya Mahakama katika Kesi za kuwahukumu Askari na Wanajeshi wa Majeshi ya Dikteta Adolf Hitler waliohusika katika kuwaua kikatili Watu wa Jamii ya Wayahudi ambao walikuwa wakiishi katika nchi za Ulaya kama vile Ujerumani, Ukraine, n.k.
Majaji wa Mahakama waliamua kuweka msemo huu kwenye Hukumu zao walizokuwa wakizitoa baada ya Wanajeshi watuhumiwa wa Mauaji ya kupanga dhidi ya Wayahudi kuwalalamikia Majaji hao kwamba wamekuwa wakitoa Hukumu kali Sana za chuki dhidi ya Wanajeshi wa Bw. Adolf Hitler kama vile Hukumu hizo zilikuwa Mpango wa kulipa kisasi dhidi ya Wanajeshi hao.
Nafikiri umenielewa kwa sasa.
 
Unaweza kufanya hisani kuweka hapa hio Hukumu ili tuendelee kujifunza..., Elimu haina Mwisho... Natanguliza Shukrani.
 
Ushoga uko had Kigomaa bwasheeeee, sembusee hapoo Lake zone?
Ulizaa uambiwe.
Poleeee wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku lake zone ndo Kuna watu wanaojieleqa
 
Huwa mnasema wanawake wa KIMACHAME ndio katili. Haya sasa KIKO wapi!!!!!? Je huyo dada aliyeratibu huo mpango wa kinyama ni Kabila gani??
 
ambacho hujui rais ndo anatia saini hati ya kunyongwa mtu!,mahakama inahukumu kupitia sheria inavyosema ila ruhusa yakunyongwa saini ya rais tu!.
marais wanaogopa kunyonga sikuhizi kutokana na maswala ya kiimani "usiue" saini yake inaruhusu kuua! hao watawekwa tu jera mpk wajifie wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…