kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Nyie mpo brainwashed. Mnataja waafrika wenzenu tu waliokuwa vibaraka wa mabeberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nkrumah tunamkuza Tanzania kwa sababu ya sera zetu za kukuza umoja wa Africa ambao alipendelea pia. Nchi nyingine za Africa hana umaarufu huo na hata kwao hawamkubali kama vile tunavyomkubali Mwalimu. Alafu kuna ile notion kwamba kila baba wa taifa alikuwa wa maana sana, sio kweli. Sera za Nkrumah za kijamaa zisingeifikisha Ghana popote wakati alipata uhuru ikiwa na mali nyingi.Kibaraka wa mabeberu mpaka wakamuua Nkrumah? Au nimekosea
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Watawala gani makatili zaidi kuwahi kutokea barani Africa na kwa sababu gani?...
Kabisa ndo maana jiwe kuu la pembeni limemgeuza role model wakeMobutu alikuwa m2 poa sana
Kibaraka wa mabeberu mpaka wakamuua Nkrumah? Au nimekosea
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Nkrumah tunamkuza Tanzania kwa sababu ya sera zetu za kukuza umoja wa Africa ambao alipendelea pia. Nchi nyingine za Africa hana umaarufu huo na hata kwao hawamkubali kama vile tunavyomkubali Mwalimu...
Si ndiyo maana ni role model wa Bwana mkubwa. Na yeye anajenga Gbadolite yakeMobutu alikuwa mtu poa sana
Umemsahau mmoja brother
Huyu ni Master sergeant Samuel Doe.Samuel doe [7]
Sio UK Ni ufaransaWatoto wake walikuwa wanasoma day UK
Nyumba yake ilikuwa dhahabu tupu mpaka kitasa
Kweli alikuwa mtu poa.
Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
YesHuyu ni Master sergeant Samuel Doe.
Siyo kweli..Kibaraka wa mabeberu mpaka wakamuua Nkrumah? Au nimekosea
Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app