Watawala makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika

Watawala makatili zaidi kuwahi kutokea barani Afrika

Loweero Triangle ulikuwa uwanja wa mapambano kati ya NRM ya Museveni na Majeshi ya Obote, na majeshi ya pande zote yaliyuhusika na mauji na uhalifu mwingine wa kivita.

Kulingana na vyanzo mbalimbali tofauti Iddi Amini anakadiriwa kuua watu zaidi ya 100,000 katika Utawala wake. Obote anakadiriwa kuua wangapi?
Obote aliua watu wengi zaidi kuliko Idi Amin. Yeye alikuwa anfanya genocide (mumewahi kusikia kuhusu Loweero triangle?).

Shida ya Idi Amini ilikuwa misifa ya kijinga (aliwahi kuwaambia wazungu wambebe) na pia hakupenda wasomi. Mambo hayo ndiyo yaliyofanya akapigiwa propaganda hasa na waingereza aliwadhalilisha kwa kuwaambia wambebe.

Mwenzake Obote alikuwa anaua kimya kimya.
 
Sio milango tu, kulingana na BBC hata ukuta wa hekalu lake ulipambwa kwa dhahabu

Inside Mobutu's ruined jungle palace in DR Congo

Inside Mobutu's ruined jungle palace in DR CongoClose

In the 1970s, President Mobutu Sese Seko, leader of what was then Zaire, spent £100m building a luxurious palace complex for himself at Gbadolite, the village his family came from.
Gbadolite is deep in the rain forest - more than 1,000km from the capital, Kinshasa.
The President's remote hideaway featured a vast swimming pool, a gold-topped fence and close by, an international airport big enough for Concorde to land.
When Mobutu was driven from power in 1997, the complex was ransacked by rebels and Zaire was renamed the Democratic Republic of Congo.
Dan Snow made the two-day car journey to see what remains.
An hour long documentary, Dan Snow's History of Congo, will be shown on BBC Two's This World on Wednesday 9th October at 21:00 BST.


Ubaya wanakuja kuandika huku wakiamini watu wote wa JF Hawajielewi kama wao. Eti alijenga kumba la dhahabu mpaka vitasa.
 
Sio milango tu, kulingana na BBC hata ukuta wa hekalu lake ulipambwa kwa dhahabu

Inside Mobutu's ruined jungle palace in DR Congo

Inside Mobutu's ruined jungle palace in DR CongoClose

In the 1970s, President Mobutu Sese Seko, leader of what was then Zaire, spent £100m building a luxurious palace complex for himself at Gbadolite, the village his family came from.
Gbadolite is deep in the rain forest - more than 1,000km from the capital, Kinshasa.
The President's remote hideaway featured a vast swimming pool, a gold-topped fence and close by, an international airport big enough for Concorde to land.
When Mobutu was driven from power in 1997, the complex was ransacked by rebels and Zaire was renamed the Democratic Republic of Congo.
Dan Snow made the two-day car journey to see what remains.
An hour long documentary, Dan Snow's History of Congo, will be shown on BBC Two's This World on Wednesday 9th October at 21:00 BST.
Nioneshe ilipoandikwa kuwa jumba lilijengwa kwa dhahabu
 
Kama aliweza kuweka dhahabu kwenye fence angeshindwa kuweka dhahabu sehemu nyingine za nyumba yake?
Unaposikia nyumba imejengwa kwa matofali wewe unaelewa milango,madirisha, mabati, sakafu n.k vyote ni tofali??
Nioneshe ilipoandikwa kuwa jumba lilijengwa kwa dhahabu
 
Loweero Triangle ulikuwa uwanja wa mapambano kati ya NRM ya Museveni na Majeshi ya Obote, na majeshi ya pande zote yaliyuhusika na mauji na uhalifu mwingine wa kivita.

Kulingana na vyanzo mbalimbali tofauti Iddi Amini anakadiriwa kuua watu zaidi ya 100,000 katika Utawala wake. Obote anakadiriwa kuua wangapi?
Loweero ilianza kabla Museveni.
Estimation ya mauaji ya Obote iko kwenye 300,000.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kama aliweza kuweka dhahabu kwenye fence angeshindwa kuweka dhahabu sehemu nyingine za nyumba yake?
Unaposikia nyumba imejengwa kwa matofali wewe unaelewa milango,madirisha, mabati, sakafu n.k vyote ni tofali??
Kumbe huelewi hata kiswahili. Ukisema nyumba imejengwa kwa dhahabu maana yake ondoa sehemu ambazo zilitakiwa ziwekwe tofali weka dhahabu. Mbona ni akili ndogo tu hii ya darasa la 2? Ukaenda mbalo na kukoleza hata vitsa vya dhahabu. Unafahamu maana ya kunakshi? Ninyi mkikaa vijiweni mnalishana sana ujinga
 
Tunaruhusiwa kuongeza idadi hapo chini?
 
Yahya Jameh akuwa katili,umemzushia.
Ata Iddi Amin kunachumvi za uzushi ziliongezwa,kama kula nyama za watu,kuwakusanya viwete na kuwatupa mto Kagera n,k
Ni kweli Amin amezushiwa, hakuwa akila nyama za watu na si kweli kwamba aliwahi kuwamwaga ziwa victoria viwete.
Yasemekana kuhusiana na viwete, kulikuwa na mkutano wa viongozi wa Africa ulifanyika Uganda sasa kwa kuficha aibu yake yule mwamba akawakusanya kwenye lorry na kuwaficha mpaka mkutano ulipoisha.
 
Alizushiwa na nani na kwa sababu zipi?
Ni kweli Amin amezushiwa, hakuwa akila nyama za watu na si kweli kwamba aliwahi kuwamwaga ziwa victoria viwete.
Yasemekana kuhusiana na viwete, kulikuwa na mkutano wa viongozi wa Africa ulifanyika Uganda sasa kwa kuficha aibu yake yule mwamba akawakusanya kwenye lorry na kuwaficha mpaka mkutano ulipoisha.
 
Samwel Doe alikuwa katili sana. Na aliamini sana katika ushirikina.

Alikuwa akiwakamata wapinxani wake na kuwafunga pingu kisha matrekta yakiwaburuza kwenye lami, huku miili yao ikinyofoka mpaka kufa hukuru matangaxo yakitolewa kuwa yeye atakayejaribu kuchezea utawala wa Masta Sajenti Doe mwisho wake ni huu.

Alikuja kukamatwa na wapiganaji wa Prince Johnson, wakamvua nguo zote, wakamtesa, wakampiga picha akiwa uchi. Kisha kumwua na kuilaza maiti yake juu ya kichanja kilivlchokuwa pembeni ya barabara.
 
Back
Top Bottom