Watawala, siku wateule wenu wakigeuziwa kibao kwenye kuchapana viboko hadharani, tutaomba mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya sasa

Acha ujuha wewe, hao wanaochapwa umejua mambo wanayoyafanya? Nini kuchapwa, walifaa kunyongwa kama ingekuwa china
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]


Hadi wewe vilio vimeanza?
 

Naunga mkono hoja.
 
Wakati nipo shule ya upili kidogo tu nimuuwe mwalimu mmoja baada ya kunidhalilisha, nashukuru aliumia kidogo japo waalimu wenzie waligoma kuwa nikirudi shuleni wataacha kazi, kwa bahati nzuri Mkuu wa shule alisimama kunitetea hadi nikafanya NECTA.

Udhalilishaji wa watu unafanyika kwenye kada nyingi sana, haijalishi kuwa mtu kakosea au kaonewa but ni vema sana kutumia mbinu stahiki kumuonya mtu afanyapo kosa na sio kunidhalilisha mbele ya halaiki.

Kwa mimi jinsi nilivyo ukinidhalilisha basi hakikisha kuwa unaniua pia maana tofauti na hapo nitakutakufanyia kitendo ambacho siwezi kukisema.
 
Natamani kiongozi wa serekali wa ngazi yoyote aje athubutu siku moja kutaka kunichapa hivi.
I swear siku hiyo lazima mmoja wetu (iwe yeye au mimi) ataishia kwenye body bag!
 
Miaka ya nyuma kuna mtu aliwah kumuua RC sababu ni uonevu unakuta mteule anakuwa na kibur mpaka kwa wabunge hasa hasa wa upinzan yan kisa tu kateuliwa na rais bas ni vurugu tu nchi hii kuna siku mtu atavunjwa shingo mbele ya camera ili iwe mfano kuna watu nimajasiri let wait and see
 

Umekosa uteuzi
 
Tulia kamanda nidhamu izidi kujengwa
Hapana hii tabia ya ajabu inabidi ikemewe na watu wote bila kujali itikadi za kisiasa.

Kwani hakuna mahakama?
Watumie sheria zilizopo kuwahukumu, ikitokea sheria husika inatoa mwanya wa adhabu ya viboko basi na iwe hivyo wachapwe tu.

Kinachotokea sasa kuna watu (viongozi) wanaochapa watu viboko ovyo hadharani watashitakiwa na kufungwa au kudaiwa fidia kubwa.

Ule siyo uongozi ni ushenzi, tabia za kikoloni na kitumwa.
 
Naona sasa umefikiwa na mkono wa chuma.
 
Hata mimi naisubiri hio siku ifike...dah!
 
Is this you!?? sir your account may have been hacked! by Magu haters!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…