Watawala, siku wateule wenu wakigeuziwa kibao kwenye kuchapana viboko hadharani, tutaomba mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya sasa

Watawala, siku wateule wenu wakigeuziwa kibao kwenye kuchapana viboko hadharani, tutaomba mkae kimya kama mlivyochagua kukaa kimya sasa

Hapana hii tabia ya ajabu inabidi ikemewe na watu wote bila kujali itikadi za kisiasa.

Kwani hakuna mahakama?
Watumie sheria zilizopo kuwahukumu, ikitokea sheria husika inatoa mwanya wa adhabu ya viboko basi na iwe hivyo wachapwe tu.

Kinachotokea sasa kuna watu (viongozi) wanaochapa watu viboko ovyo hadharani watashitakiwa na kufungwa au kudaiwa fidia kubwa.

Ule siyo uongozi ni ushenzi, tabia za kikoloni na kitumwa.
Yaani leo nimekaa nikawaza hata kama ni mimi nime hujumu uchumi huwezi kunipiga viboko hadharani.

Kuna mawili either nikuvunje shingo au nikupeleke mshakamani.

Mbaya zaidi Sheria inasema mtu ha hukumiwi Mara mbili kwa kosa lile lile.

Utanichapa viboko,. Nitakupeleka mshakamani ukishinda tutaonana kitaa
 
Magufuli is evil, ogopa sana mtu anajionyesha ni mcha Mungu, Yesu alitufundisha unyenyekevu na siyo ukatili dhidi binadamu wengine, atalipa siku moja kwa uonevu huu dhidi ya Watanzania.

Mahakama pekee ndiyo yenye haki ya kuhukumu kwenye ya Mungu na siyo viboko, ...
Aiseee ni wewe kweli ? Wafuasi wa Lumumba wa Zanzimana mmeanza kuonyoosha maelezo , endeleeni kusifu na kuabudu awamu hii tuliwaambia hamkusikia mmeyaona sasa .
 
Atakayefanya hivyo nitampa binti yangu bikra na gharama za harusi ni juu yangu.
Tumechoka na watafuta kiki za kihanithi.!
 
Back
Top Bottom