Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Nimesema nchi za kiislamu, siyo nchi za kiarabu. Ukishasema uarabuni, usisahau kuwa hata israel ni sehemu ya uarabuni ambayo licha ya wayahudi ina pia waislamu wengi sana na iliwahikutawaliwa na mwanamke Golda Meir
Unaishi karne gani vile?Jifunze kusoma na kuelewa mambo; wewe unazungumza Nigeria iliyoundwa baada ya Uhuru miaka ya sitini na post hiyo inazungumuza himaya ndani ya nchi hiyo miaka ya 1400 kabla ya Usman dan Fodio.
Unaposoma uwe unajitahidi kuelewa unachosoma kuliko kukurupuka kama mkizi. Halafu ukiwa unajua jambo vizuri utalitolea majibu kuiko kuleta lugha za ukali ambayo ni dalili wazi ya ama kutojua usemalo au kujua mambo nusunusu.Wayahudi si waarabu. Acha kupotosha watu. Kuwepo Wapalestina si kuwafanya Waisrael kuwa Waarabu. Nimeona nikuweke sawa sawa katika hili. Tafuta nchi ya Kiarabu ambayo ilitawaliwa na Mwanamke Achana Nigeria isnt an Islamic State/Country.
Unaposoma uwe unajitahidi kuelewa unachosoma kuliko kukurupuka kama mkizi. Halafu ukiwa unajua jambo vizuri utalitolea majibu kuiko kuleta lugha za ukali ambayo ni dalili wazi ya ama kutojua usemalo au kujua mambo nusunusu.
Na wewe ni kilaza unakimbilia kudhani kuwa unadanganywa kwa vile umeambia jambo ambalo ulikuwa hujui. Elewa kuwa eneo lote lile ni la kiarabu: Misri, Syria, Lebanon, Jordan, Palestine ni sehemu ya waarabu; in fact utawala wa Hashemite huko Jordan ni uzawa wa Mtume Mommad, na kuwa msikiti mkuu wa Al-Aqsa uko Jerusalem unatoklana na uzao wa mtu Mohammed. Na iwapo hujawahi kufika israel basi elewa kuwa ndani ya israel kuna waarabu waislamu ambao ni raia wa israel, na wamo pia serikalini na kwenye bunge; list ya baadhi yao hii hapaUmeshapanic tayari...😁😁😁 Ulidhani utawadanganya watu halafu nasi tupo tunakuangalia tu. No way.
Uislamu(sio waislamu),uislamu hauruhusu mwanamke kushika nafasi za uongozi kuwatawala watu katika mambo ya kijamii.Maswali yako yote ni magumu sana kwangu; hebu saidia kutupa ufumbuzi wake!
Ilikuwaje Benazir Bhutto akakubaliwa kutawala Pakistani ambayo ni nchi ya kiislamUislamu(sio waislamu),uislamu hauruhusu mwanamke kushika nafasi za uongozi kuwatawala watu katika mambo ya kijamii.
Mtume kakataza hilo jambo la mwanamke kupewa uongozi.
point but padri huko hawaii akiolewa waislam wote duniani wanaruka kusema ukristo unafundisha ushogaHukumu za kiislamu hazitenguliwi wala kubadilika kwa yale wanayoyafanya waislamu.
Uislamu unasemaje kuhusu kutawaliwa na mwanamke ?
Ishu sio watu wanatawala,ishu je uislamu unasemaje kuhusu wanawake kutawala ?
Tukiangalia nini wanafanya waislamu mwishowe tutakuja kusema zinaa sio haramu kwa sababu waislamu wengi na Nchi nyingi za kiislamu zinaa inafanyika,sasa tukiangalia watu hatutajua uislamu.
Tusiangalie waislamu wanafanyeje,Tuangalie uislamu unasemaje ?
wewe jamaa kichwa ngum kweli..ushaambiwa tofautisha uislam na waislam bado unaendelea kuuliza maswali kuhusu maamuzi ya waislam Vs uislam wenyeweIlikuwaje Benazir Bhutto akakubaliwa kutawala Pakistani ambayo ni nchi ya kiislam
Sisapoti ati ujinga wa mtu mmoja kuunasibisha na taasisi fulani.point but padri huko hawaii akiolewa waislam wote duniani wanaruka kusema ukristo unafundisha ushoga
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha urongo,mtume mwamedi kazaliwa karne ya saba juzi tu hapasiyo kweli; uislamu ulianza karne ya nne.
Kajipange urudi tena,umefeli kwenye kuwasilishaMaswali yako yote ni magumu sana kwangu; hebu saidia kutupa ufumbuzi wake!
Ulianza karne ya sabasiyo kweli; uislamu ulianza karne ya nne.
Maswali yako yote ni magumu sana kwangu; hebu saidia kutupa ufumbuzi wake!
Nimesema nchi za kiislamu, siyo nchi za kiarabu. Ukishasema uarabuni, usisahau kuwa hata israel ni sehemu ya uarabuni ambayo licha ya wayahudi ina pia waislamu wengi sana na iliwahikutawaliwa na mwanamke Golda Meir
Nigeria imekuwa nchi ya kiislam mwaka gani?
Karne ya sita kulikuwa na nchi huko western Africa?Siyo Nigeria yote, ila Nigeria ya kasakzini ni nchi ya kiislamu tangu karne ya sita.
Hahaha, halafu bado mnasema Adam alikuwa MuislamSiyo kweli; uislamu ulianza karne ya nne.