Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Wayahudi si waarabu. Acha kupotosha watu. Kuwepo Wapalestina si kuwafanya Waisrael kuwa Waarabu. Nimeona nikuweke sawa sawa katika hili. Tafuta nchi ya Kiarabu ambayo ilitawaliwa na Mwanamke Achana Nigeria isnt an Islamic State/Country.
Nimesema nchi za kiislamu, siyo nchi za kiarabu. Ukishasema uarabuni, usisahau kuwa hata israel ni sehemu ya uarabuni ambayo licha ya wayahudi ina pia waislamu wengi sana na iliwahikutawaliwa na mwanamke Golda Meir