Watawala wa kike katika nchi za Kiislamu

Write your reply...
NINASUBIRI JIBU LA juu ya swali je uislamu unasemaje kuhusu kutawaliwa na mwanamke? T
Ha haaa
Unakazia hoja mjumbe wa kamati ya roho mbaya ...😂
Mimi mkristo though..
 
Wayahudi si waarabu. Acha kupotosha watu. Kuwepo Wapalestina si kuwafanya Waisrael kuwa Waarabu. Nimeona nikuweke sawa sawa katika hili. Tafuta nchi ya Kiarabu ambayo ilitawaliwa na Mwanamke Achana Nigeria isnt an Islamic State/Country.
Msaada tutani:
Wayahudi ni watu gani?!

Uyahudi NI nini?
Ni Imani ya kidini au RACE/rangi ya mtu..!?

Msaada tafadhali!
 
Hata kule Bangladesh kulikuwa na mtawala wa kike nadhani aliitwa sheihk Asina kama sikosei wajuvi mtanisahihisha.
 
Unamaanisha nini unaposema Afrika haikuwepo?
Neno Africa lilikuja baadae kabisa karne ya 16tu, na ilitokana na neno la Kigiriki A'phrike maana yake sehemu isiyo na baridi (yaani kama ilivyo sehemu kubwa ya ulaya)

Mwasisi wa neno hilo aliitwa Africanus
 
Neno Africa lilikuja baadae kabisa karne ya 16tu, na ilitokana na neno la Kigiriki A'phrike maana yake sehemu isiyo na baridi (yaani kama ilivyo sehemu kubwa ya ulaya)

Mwasisi wa neno hilo aliitwa Africanus
Kwa maana hiyo ni sawa. I thought unamaanisha Afrika kwa maana ya eneo la kijiografia halikuwepo!
 
Huyo mwanamke alitawalaje miaka 200?,kwa hiyo aliishi miaka mingapi?,huu si uongo mwingine kweli?
 
Huyo mwanamke alitawalaje miaka 200?,kwa hiyo aliishi miaka mingapi?,huu si uongo mwingine kweli?
Pumba tupu wewe hujui kusoma; post hiyo haikusema alitawala kwa miaka 200 bali imesema alitawala miaka 200 kabla ya ujio wa Osman Dan Fodio. Unatakaiwa ujue Usman dan Fodio alitawala lini halafu uondoe miaka 200 kujua Malkia Amina alitawala lini. Wewe ulisomea shule gani ili nikaongee na mwalimu mkuu akunyang'anye cheti ??
 
ukisoma vyema mzee utajua yakuwa uslamu umepandikizwa tuu baadaye sana wala hiyo nchi huwezi sema nchi ya kiislamu
napenda tukiongelea africa tungelee zaidi kulingana na uhalisia wa asili zetu,
nivyema kutumia marejeo ya bwafrica wenzetu kuliko hao wakoloni koloni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…