Na wewe mbona unaamini hadidhi za kufarijiana za misukule ya LumumbaMkuu Vonix naona unaziamini hadithi za Bar, pole sana.
ππππHata huo mtaa wa SADC hawaujui ulipo.
Jifariji tu mkuu haukatazwi.Na wewe mbona unaamini hadidhi za kufarijiana za misukule ya Lumumba
Kama ishapigwa mnada, ni wajibu wetu siye walipa kodi wa nchi hi, ambao ndiyo tumeinunua ndege hiyo, tujulishwe na watawala wetu.............Mnada
Mkuu hii ni ishara tosha PhD zetu mbele ya wazungu mmmm!hazina issue maji yamezidi unga ngoja tuvute pumzi.Kama ishapigwa mnada, ni wajibu wetu siye walipa kodi wa nchi hi, ambao ndiyo tumeinunua ndege hiyo, tujulishwe na watawala wetu.............
Kukaa kimya kwa watawala, maana yake wametugeuza watanzania wote kuwa MALOFA na WAPUMBAVU