Watawala wetu, tupeni "updates" ya ndege yetu iliyokamatwa huko Canada

Watawala wetu, tupeni "updates" ya ndege yetu iliyokamatwa huko Canada

Jiwe alisema magari yanayopita Barabara ya mwendo kasi yakikamatwa yangolewe tairi. Nadhani mkulima anaigilizia
Hahaaaaa........... 😆 😆

Kwa hiyo mkulima wa South Africa keshaanza kutekeleza "maagizo" ya Jiwe, kwa kuanza kung'oa matairi kwenye ndege yetu na kuanza kuyapiga bei!
 
Serikal imeamua ipige route za huko huko ubeberuni ili apokee pesa yake kwa siku ka bodaboda na inaonekana n almost 1yr kukamilisha hilo deni kwa njia hiyo ko tuwe na subra
 
Inategemea na uelewa wa mtu binafsi.
hapo ndipo unaonyesha your true colours. wewe kweli kwa kujitoa ufahamu hunatisha! kuna vigezo na sababu ya kusema kuwepo au kutokuwepo maendeleo sehemu fulani. kama ingekuwa kutegemea uelewa wa mtu binafsi ingekuwa catastrophic! na si ajabu wewe binafsi kuona kisichokuwepo kwa sababu ya uelewa fyongo. kwa kila jambo kuwa lilivyo na kukubalika hivyo kuna criterion au criteria kadhaa zinazotambulika kwa jambo husika.
 
Serikal imeamua ipige route za huko huko ubeberuni ili apokee pesa yake kwa siku ka bodaboda na inaonekana n almost 1yr kukamilisha hilo deni kwa njia hiyo ko tuwe na subra
Hata kama Taifa limeamua ndege yetu ipige route za huko, lakini ni wajibu wa sisi wananchi kujulishwa, kwa kuwa ile ndege si mali binafsi ya Rais Magufuli na wapambe wake, bali ni mali ya watanzania wote, iliyopatikana kwa kodi zetu.

Kwa hiyo watanzania wana wajibu mkubwa wa kujulishwa, kila kinachoendelea kuhusiana na ndege hiyo
 
Ngoja tutimize wajibu wetu kwa taifa kukumbusha ya muhimu!
Jee viongozi wetu wanayakumbuka na madeni mengine makubwa kwa madogo ya huko ?
Jee wanachukua hatua au wao Nazi kumfuatilia Rais kila aendako na kuimba sifa na mapambio tuu? Maana hatutaki kusikia kesho au kesho kutwa kitu chetu kingine kimekamatwa tena kwa madeni. Sisi tumesha tengeneza jina baya kuwa hatulipi mpaka tukamatiwe vitu.
Haki ya nani Kabudi katuingiza mkenge haijapata kutokea!
 
Akili za usaliti katika ubora wake.
unaona umetoa hoja? name calling: mara msaliti, mhaini mara si mzalendo. kule south africa zilienda phd tatu zikashinda kesi ya msingi na ya rufaa dhidi ya mkulima. hoja iliyowasilishwa ni kuwa ile ndege inatumiwa na rais na wakati huo alikuwa anashindwa kutekeleza majukumu kadha wa kadha sababu ndege imezuiliwa! sijatunga lolote kati ya hayo. maneno ya ndumbaro. ninachosema ni kwamba hilo kama lilisaidia kule na hapa litasaidia. nataraji baadaye ndumbaro atatuambia huko zilienda phd kumi. si unajua tena huko hakuna mjomba ramaphosa wala maandamano shinikizi ubalozi wa kanada. makonda kagwaya! hapa usaliti unatoka wapi! hii ni precedent tu. sishangai hata adolf hitler alikuwa mzalendo!!! ndio uzalendo wenu huo.
 
Siku itakapotua nchini msisahahu kujazana tena humu kukomenti. By the way, Lissu alienda Kenya kuwashukuru. Anakuja lini kuwashukuru na ninyi? Au nae anawajua mlivyo wanafiki kama Mange Kimambi?
 
Sahihisha mkuu, Pro hakusema tashwishi ukimnukuu vema kama sikosei alisema "TASHWISHWI" ni msamiati mpya toka jalalani...


Anamaanisha Ulimwengu wa kwanza hawaogopi hiyo misamiati ya TASHWISHWI wanatekeleza Amri ya MAHAKAMA. Nafikiri hapa utaelewa anacho maanisha, typing error Sio KICHAKA.
 
hapo ndipo unaonyesha your true colours. wewe kweli kwa kujitoa ufahamu hunatisha! kuna vigezo na sababu ya kusema kuwepo au kutokuwepo maendeleo sehemu fulani. kama ingekuwa kutegemea uelewa wa mtu binafsi ingekuwa catastrophic! na si ajabu wewe binafsi kuona kisichokuwepo kwa sababu ya uelewa fyongo. kwa kila jambo kuwa lilivyo na kukubalika hivyo kuna criterion au criteria kadhaa zinazotambulika kwa jambo husika.
Hivi ambavyo tunaandika mawazo yetu humu jukwaani kuna watu wanatafuta suluhisho la hili suala.
Tuwape muda badala ya kuwazodoa na kuonyesha kufurahia ndege yetu kukamatwa.
 
unaona umetoa hoja? name calling: mara msaliti, mhaini mara si mzalendo. kule south africa zilienda phd tatu zikashinda kesi ya msingi na ya rufaa dhidi ya mkulima. hoja iliyowasilishwa ni kuwa ile ndege inatumiwa na rais na wakati huo alikuwa anashindwa kutekeleza majukumu kadha wa kadha sababu ndege imezuiliwa! sijatunga lolote kati ya hayo. maneno ya ndumbaro. ninachosema ni kwamba hilo kama lilisaidia kule na hapa litasaidia. nataraji baadaye ndumbaro atatuambia huko zilienda phd kumi. si unajua tena huko hakuna mjomba ramaphosa wala maandamano shinikizi ubalozi wa kanada. makonda kagwaya! hapa usaliti unatoka wapi! hii ni precedent tu. sishangai hata adolf hitler alikuwa mzalendo!!! ndio uzalendo wenu huo.
Umesikia habari ya kijiweni na wewe ukaingia mkenge mazima.

Wanasheria wetu hawakutumia kigezo cha kuwa ndege ni ya rais, tafuta hukumu halisi badala ya kudanganywa na maneno ya viti virefu.
 
Umesikia habari ya kijiweni na wewe ukaingia mkenge mazima.

Wanasheria wetu hawakutumia kigezo cha kuwa ndege ni ya rais, tafuta hukumu halisi badala ya kudanganywa na maneno ya viti virefu.
ukiweka hiyo hukumu utakuwa umetusaidia wengi na si mimi tu!
 
Hivi ambavyo tunaandika mawazo yetu humu jukwaani kuna watu wanatafuta suluhisho la hili suala.
Tuwape muda badala ya kuwazodoa na kuonyesha kufurahia ndege yetu kukamatwa.
bukililo, ndugu yangu, una jina zuri lakini unawaza ovyoovyo. mwerevu hujifunza kutokana na makosa ya wengine. mjinga kutokana na makosa yake mwenyewe. mpumbavu hajifunzi kutokana na makosa ya wengine wala yake mwenyewe. yupoyupo na ndio maana anaitwa mpumbavu kwa kutenda kipumbavu.
ndugu yangu, kufanya kosa si kosa(?) bali kurudia kosa. unaweza kuona tupo wapi. afadhali tungekuwa wajinga tungejifunza. tusingerudia kosa hilohilo. ndege imekamatwa mara ya tatu kwa sababu hiyohiyo, deni. hata taahira anajua kuwa dawa ya deni ni kulipa. hata kama hukulipa afikiana na mdai wako.
haya mambo ya kutumia mabavu kwa watu wote muda wote na mahali pote yamefanya tuwe taifa la wapumbavu. hatuwazi, hatufikiri. kutafakari kutatoka wapi? kwani kwa kutetea huu upumbavu mnamsaidia rais wa wanyonge? hao wanaoenda kukomboa hizo ndege wanatumia kiasi gani? kingetumika kulipa deni. kila siku mkulu anatuletea aibu kwa maamuzi yake yalokosa busara na maarifa. kujimwambafai hakulipi nyumbani wala ugenini. mwisho wa ubaya aibu.
 
bukililo, ndugu yangu, una jina zuri lakini unawaza ovyoovyo. mwerevu hujifunza kutokana na makosa ya wengine. mjinga kutokana na makosa yake mwenyewe. mpumbavu hajifunzi kutokana na makosa ya wengine wala yake mwenyewe. yupoyupo na ndio maana anaitwa mpumbavu kwa kutenda kipumbavu.
ndugu yangu, kufanya kosa si kosa(?) bali kurudia kosa. unaweza kuona tupo wapi. afadhali tungekuwa wajinga tungejifunza. tusingerudia kosa hilohilo. ndege imekamatwa mara ya tatu kwa sababu hiyohiyo, deni. hata taahira anajua kuwa dawa ya deni ni kulipa. hata kama hukulipa afikiana na mdai wako.
haya mambo ya kutumia mabavu kwa watu wote muda wote na mahali pote yamefanya tuwe taifa la wapumbavu. hatuwazi, hatufikiri. kutafakari kutatoka wapi? kwani kwa kutetea huu upumbavu mnamsaidia rais wa wanyonge? hao wanaoenda kukomboa hizo ndege wanatumia kiasi gani? kingetumika kulipa deni. kila siku mkulu anatuletea aibu kwa maamuzi yake yalokosa busara na maarifa. kujimwambafai hakulipi nyumbani wala ugenini. mwisho wa ubaya aibu.
Dunia ilivyo ni zaidi ya mimi na wewe tuijuavyo.
 
Mkulima alishapewa hiyo ndege. Nasikia amei dismantle yote, anauza mabati na vyuma kama scrap.
 
Mambo yapo kimya....nafikiri serikali imeelewa namna ya kudeal na issue sensitive kama hizi. Sio kujibu kila hoja inayotolewa na sisi wachangia kodi
Binafsi naamini serikali iko mezani na mshika jembe wanayamaliza
 
Back
Top Bottom