Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,604
- 5,583
Mkuu ilishaeleweka alichokuwa anakitishia profesa kwa ukali wa sauti na kutumbua macho... haikuwa typing error mkuu... hiyo ilikuwa vocal... oral... ama vema tuiite tongue error!!!Anamaanisha Ulimwengu wa kwanza hawaogopi hiyo misamiati ya TASHWISHWI wanatekeleza Amri ya MAHAKAMA. Nafikiri hapa utaelewa anacho maanisha, typing error Sio KICHAKA.