Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
alfu lela ulela
Habari ndio hiyo, kule viongozi wao wanatii sheria, wana utu na hawana ulevi wa madaraka, sio huku kiongozi anaipangia mahakama ikomoe wasiomsujudia na mahakama inatii!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alfu lela ulela
Wanaosafirisha wanasheria wanao ufahamu mkubwa wa hili suala kuliko wewe na mimi.Lipeni deni tu yote yataisha. Pesa inayotumika kusafirisha makundi ya wanasheria ingetumika kupunguza kidogo kidogo ingesaidia kuliko ngonjera zenu za kitoto. Hakuna ushirikina hapa.
Inategemea na uelewa wa mtu binafsi.kutoka hatua moja kwenda nyingine. wamefanikiwa. wameturudisha miaka 50 nyuma!
Akili za usaliti katika ubora wake.ikiachiliwa? bado inashikiliwa? acha utani. jopo la phd kibao limekwama wapi? walisahau kusema kuwa hii ndege haswa ingetumiwa na rais. kuna special gadgets kumsaidia rais kudukua kila atakalo. ikiendelea kukaa huko mabeberu wanaweza kuweka vifaa vyao kumdukua rais wetu!
Au angalau atuambia nini yalikuwa majibu ya balazi baada ya kumgombeza na kumkemea vikaliTunataka tuone ile jeuri ya Waziri wetu wa Katiba, Profesa Kabidi, ya kudai kuwa amemuita Balozi wao na kumkemea vikali, angeendelea kutupa "updates" baada ya kumkemea Balozi wao, nini kimetokea, je ndege yetu tumeigomboa??
Tunataka tuone ile jeuri ya Waziri wetu wa Katiba, Profesa Kabidi, ya kudai kuwa amemuita Balozi wao na kumkemea vikali, angeendelea kutupa "updates" baada ya kumkemea Balozi wao, nini kimetokea, je ndege yetu tumeigomboa??
Mbagala Posta ndiko hasa!
!
Hizi Ndege Ziwe Zinapiga Routes Za Kimara Posta
pesa zenu ziko kwenye mgao tarajiwa wa mzungu mkulima.Mkaibe tena kodi zetu kule benk ili mulipe deni la watu wapuuzi wakubwa. Pesa zetu zinatapanywa na wavuta bangi waliojaa magogoni
Wewe nina hakika hulipi kodi lakini unakula kodi zetu kama kiwavi fedhuli mwenye njaa. By the way 1.5trillion imeisha?pesa zenu ziko kwenye mgao tarajiwa wa mzungu mkulima.
Kwa hapa TZ yeye ndiyo kila kituAnaweza kuamuru wanachama wote SADC kufunga ofisi zao za ubalozi na Canada kwa kuleta ubeberu wao! Chezea ngosha!
Jiwe alisema magari yanayopita Barabara ya mwendo kasi yakikamatwa yangolewe tairi. Nadhani mkulima anaigiliziaPengine mkulima kashaanza kuuza matairi!
Habari ndio hiyo, kule viongozi wao wanatii sheria, wana utu na hawana ulevi wa madaraka, sio huku kiongozi anaipangia mahakama ikomoe wasiomsujudia na mahakama inatii!
Huo ungekuwa uamuzi wa busara kufuta deni na mkulima angeanzisha kampuni take usafiri wa anga badala ya SAA ya serkali ambayo iko ICU karibu ife kama ATCL. Siyo kama wateuliwa wetu hapa, mkulima anauzoefu mkubwa na ndege maana alikuwanazo nyingi tu kwenye mashamba yake. Chapa ng'ombe wangebaki na kitoeo tu.Au yawezekana ‘mkulima’ keshamilikishwa ndege yetu.
Mbagala Posta ndiko hasa