Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawawezi leta update wakati wanajua chadema uchaguzi haujaenda vizuri wanasubiri huo mjadala upoe ndipo wataleta yao, na wanajua mjadala wa ndege utaifunika chadema na itakuwa ni hasara kwao.Wako bize na CHADEMA kwanza
JKN ndo kitu gani??Subirini suprise, chuma kitakapoingia JKN.
Maneno na sheria ni vitu viwili tofautiTunataka tuone ile jeuri ya Waziri wetu wa Katiba, Profesa Kabidi, ya kudai kuwa amemuita Balozi wao na kumkemea vikali, angeendelea kutupa "updates" baada ya kumkemea Balozi wao, nini kimetokea, je ndege yetu tumeigomboa??
Ukiona kimya ujue mfupa wa samaki umewakwama walioula, wangemeza ndo wangekuwa wakwanza kusema, serikari inataratibu zake za kusema. Just wait a_ moment at very soon mtapata habari njema
Duh, kidogo niamshe watoto wangu kwa kicheko! Kilangila.Hawa wakanada hawajui kuwa rais wetu ndiye mwenyekiti wa SADC?
Mkulima kaigeuza fremu
Anauzia mananasi Canada.
kwa kweli hatuwezi kukubali nchi yetu inahujumiwa.
Huyu Jiwe kazi yake ni "kujimwambafai"
Sasa tuone huko kwa mabeberu kama kujimwambafai kwake kutafua dafu!
Tulishuhudia Mara kwa Mara, huko siku za nyuma, watawala wetu wakitupa updates, tena wakati mwingine hata wakitupa taarifa nyingine za ziada kama vile wametuma wanasheria wetu mahiri kwenda igomboa ndege yetu iliyokamatwa huko Afrika Kusini kutokana na deni tunalodaiwa na mkulima wa huko
Hatimaye tukaona ndege yetu ikiachiwa na serikali ya Afrika Kusini na watawala wetu hao, wakatoa kebehi nyingi sana kwa wale waliowaita kuwa walifurahia kukamatwa kwa ndege yetu hiyo, hadi kufikia hatua ya kuwakebehi watu hao kuwa ni wasaliti na wanatumika na mabeberu
Hata hivyo sidhani kama kuna mtu aliyefurahi kukamatwa kwa ndege yetu hiyo na badala yake niliona watanzania wengi wakisisitiza kuwa "dawa ya deni ni kulipa"
Lakini hali imekuwa tofauti sana baada ya ndege yetu nyingine kukamatwa huko Canada, ikiwa inajitayarisha kuja nchini kwetu
Zile mbwembwe na vijembe walivyokuwa wakivitoa watawala wetu kwa hao waliowabatiza majina kuwa ni wasaliti na wanatumika na mabeberu, nimeshangaa sana kuona safari hii wamekuwa kimya sana, utadhani wamepigwa ganzi!
Ndipo hapo ninapojiuliza kulikoni??
Hiyo ni ndege yetu sote watanzania na imenunuliwa kwa pesa ya kodi zetu, kwa hiyo tunapaswa kupewa "updates" ya kila kinachoendelea kuhusu ndege yetu, kwa kuwa ndege hiyo siyo Mali binafsi ya Rais Magufuli pamoja na wapambe wake, kwa hiyo tunapaswa kupata habari kamili ya nini kinachoendelea kuhusiana na ndege yetu hiyo
Unaelekea kukosa uzalendo kama Mwakinyo na Matumla...Ndiyo hivyo, mkulima atalipwa kimya kimya kama walivyofanya ile ya kwanza iliyokamatwa huko huko Canada.
Zinasaidia kujua kodi za wanyonge zinatumikaje.... je ya mstaafu yanasaidia nini?Unakwepa ya sumaye? Upate updates zikusaidie nini?
Huko kesi iliyofunguliwa mahakama za huko hakuna ujanja ujanja au kutii amri toka juu.
Mkaibe tena kodi zetu kule benk ili mulipe deni la watu wapuuzi wakubwa. Pesa zetu zinatapanywa na wavuta bangi waliojaa magogoniSubirini suprise, chuma kitakapoingia JKN.
Au yawezekana ‘mkulima’ keshamilikishwa ndege yetu.Labda imepigwa bei!!
Anaweza kuamuru wanachama wote SADC kufunga ofisi zao za ubalozi na Canada kwa kuleta ubeberu wao! Chezea ngosha!Hawa wakanada hawajui kuwa rais wetu ndiye mwenyekiti wa SADC?