Watawala wetu, tupeni "updates" ya ndege yetu iliyokamatwa huko Canada

Watawala wetu, tupeni "updates" ya ndege yetu iliyokamatwa huko Canada

Ndege ikiachiliwa na kutua bongo mtahamisha magoli na kuja na hoja nyingine.

Ushirikina ni tabia na siku zote mtu huzeeka na tabia zake.
Ila tufahamishwe kuwa itakuwa imelipiwa deni au kushinda kesi? Maana tumechoka kugharamia hawa watu wetu maarufu kwa sheria wenye ma PhD safari kila baada ya miezi 3 kesi nje.
 
Ila tufahamishwe kuwa itakuwa imelipiwa deni au kushinda kesi? Maana tumechoka kugharamia hawa watu wetu maarufu kwa sheria wenye ma PhD safari kila baada ya miezi 3 kesi nje.
Hao wanaotaka walipwe pengine ni watanzania wenzetu ambao malengo yao pengine usalama wa taifa unayafahamu kuliko ramli za humu jukwaani.

Awamu ya tano imeamua kuitoa nchi kutoka hatua moja kwenda nyingine, haya ya ndege kuzuiwa na changamoto chanya.
 
Hawa wakanada hawajui kuwa rais wetu ndiye mwenyekiti wa SADC?
Si mpiga polishi aliyekuja hapa kutueleza Kwamba Mzungu ana kabidhiwa ndege yake 2/12 Sasa sijui kapotelea wapi, labda viatu vya kupiga polishi vimeongezeka na yeye maana ya hela dhidi ya utu anaelewa, kafuata pesa, sasa naona wachoma mishikaki wameamua kuanzisha hi thread na kuungwa mkono na wenzie lakini wateja wamishikaki nao wakiongezeka watapotea
 
the truecaller,

Lakini umesahau ule msemo maarufu wa wahenga unaosema "Dawa ya deni ni kulipa"

Mlipeni mkulima wa South Africa ili mpumzike
 
Mystery,
Usikonde mkuu, mambo ya Canada siyo kama ya South! Kwani ile iliyokamatwa Canada si ilitoka? Ila hatujui iliachiwa kwa terms zipi!
 
mlituaminisha hivyo hivyo South Africa

Kwani Afrika kusini mlishinda au mlidanganya kuwa mmeshinda? Kule kesi ilikuwa na tatizo la usajili na sio kushinda. Kama mlishinda mbona mlisitisha safari za kwenda huko kwa sababu zisizoingia akilini? Ni hivi, mnajikuta kwenye wakati mgumu kwasababu ya kuburuzwa na mtu mmoja asiyetii sheria, kwakuwa hapa kaziweka mahakama mfukoni, basi huko nje kwenye mahakama huru anagonga ukuta.
 
Deni lina/melipwa? Mengine yote ni ngonjera za watoto kijiweni. Kila siku mnajisifu kuwa HERA zipo nyingi, huku deni LA taifa nalo lapaa. Au nayo ni SIRI? the truecaller,
 
Kwani Afrika kusini mlishinda au mlidanganya kuwa mmeshinda? Kule kesi ilikuwa na tatizo la usajili na sio kushinda. Kama mlishinda mbona mlisitisha safari za kwenda huko kwa sababu zisizoingia akilini? Ni hivi, mnajikuta kwenye wakati mgumu kwasababu ya kuburuzwa na mtu mmoja asiyetii sheria, kwakuwa hapa kaziweka mahakama mfukoni, basi huko nje kwenye mahakama huru anagonga ukuta.
Ndiyo sababu kuu iliyotufanya kama Taifa tujitoe hadi kwenye mahakama za Afrika

Huyu Jiwe baada ya kuona hapa nchini kila mhimili kauweka kwapani, anaona huko nje hatathubutu "kujimwambafai" kwa hiyo anaona bora lawana kuliko fedheha.............

Kwa hiyo anaona bora kujitoa ili kuepusha fedheha
 
Lipeni deni tu yote yataisha. Pesa inayotumika kusafirisha makundi ya wanasheria ingetumika kupunguza kidogo kidogo ingesaidia kuliko ngonjera zenu za kitoto. Hakuna ushirikina hapa.
Ndege ikiachiliwa na kutua bongo mtahamisha magoli na kuja na hoja nyingine.

Ushirikina ni tabia na siku zote mtu huzeeka na tabia zake.
 
Ndege ikiachiliwa na kutua bongo mtahamisha magoli na kuja na hoja nyingine.

Ushirikina ni tabia na siku zote mtu huzeeka na tabia zake.
ikiachiliwa? bado inashikiliwa? acha utani. jopo la phd kibao limekwama wapi? walisahau kusema kuwa hii ndege haswa ingetumiwa na rais. kuna special gadgets kumsaidia rais kudukua kila atakalo. ikiendelea kukaa huko mabeberu wanaweza kuweka vifaa vyao kumdukua rais wetu!
 
Wakulima wakiamua wanaweza...sijui Hawa wa Korosho na Tumbaku wamekuaje!
 
Hao wanaotaka walipwe pengine ni watanzania wenzetu ambao malengo yao pengine usalama wa taifa unayafahamu kuliko ramli za humu jukwaani.

Awamu ya tano imeamua kuitoa nchi kutoka hatua moja kwenda nyingine, haya ya ndege kuzuiwa na changamoto chanya.
kutoka hatua moja kwenda nyingine. wamefanikiwa. wameturudisha miaka 50 nyuma!
 
Ndege ikiachiliwa na kutua bongo mtahamisha magoli na kuja na hoja nyingine.

Ushirikina ni tabia na siku zote mtu huzeeka na tabia zake.

Ukilipa itaacha kuachiwa,m? kinachokwamisha ni deni na sio kwamba imetekwa. Ukilipa hata jioni ya leo inaingia.
 
Back
Top Bottom