Huko kazi ilishamalizwa long time Mkuu. Wameshafanikiwa kumrudisha pandikizi lao kwenye uwenyekiti. Dili kama za 2015 zitaendelea kama kawa. Next year sijui tutauziwa Membe?Wako bize na CHADEMA kwanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko kazi ilishamalizwa long time Mkuu. Wameshafanikiwa kumrudisha pandikizi lao kwenye uwenyekiti. Dili kama za 2015 zitaendelea kama kawa. Next year sijui tutauziwa Membe?Wako bize na CHADEMA kwanza
SA walitii? Duh! kumbe Jiwe Noma!
Asante kwa sahihisho hiloSahihisha mkuu, Pro hakusema tashwishi ukimnukuu vema kama sikosei alisema "TASHWISHWI" ni msamiati mpya toka jalalani...
Ndiyo hivyo, mkulima atalipwa kimya kimya kama walivyofanya ile ya kwanza iliyokamatwa huko huko Canada.Tukilipa leo kesho tunatangaza tumeshinda kesi,
mwenye akili na afahamu,
Siyo mbwembwe, ni kweli kabisa dawa ya deni ni kulipa.Lakini hata mawakala wa mabeberu pia wapo kimya sana sijui nao kulikoni maana hata zile mbwembwe za "dawa ya deni ni kulipa" ndo kwanza ninazisikia kwako leo.
Wewe humheshimu hata porofesa????Dunia ya kwanza hakunaga "kanyagakanyaga" ya mihimili wenza; kwa hiyo wao hawaogopi tashwishi na ngonjera za kinagaubaga!
Kwanza huo mdude unaoitwa SADC hawaujui, ila mie nijiuliza mbona hatuendi kwenye ubalozi wa kanada kuandamana Kama tulivyofanya kwa mnyonge mwenzetuHawa wakanada hawajui kuwa rais wetu ndiye mwenyekiti wa SADC?
Watwambie hatua iliyofikia ya kuigomboa ndege yetu hiyo iliyokamatwa.
Kwa kuwa watawala wetu kukaa kimya, siyo suluhisho ya kutatua mgogoro huo
Hawa wakanada hawajui kuwa rais wetu ndiye mwenyekiti wa SADC?
Hiyo haitakuwa 'surprise' kama tutakuwa tumelipa deni.Subirini suprise, chuma kitakapoingia JKN.
Unanifanya niikumbuke ile picha ya yule mama Balozi "aliyekaripiwa" Nakumbuka kama Balozi ndiye 'aliyekaripia'!Tunataka tuone ile jeuri ya Waziri wetu wa Katiba, Profesa Kabidi, ya kudai kuwa amemuita Balozi wao na kumkemea vikali, angeendelea kutupa "updates" baada ya kumkemea Balozi wao, nini kimetokea, je ndege yetu tumeigomboa??
Nakuona fisadi papa unafurahia kukamatwa Kwa ndege huyo mzungu futamkeketa siku si nyingiHawa wakanada hawajui kuwa rais wetu ndiye mwenyekiti wa SADC?
Pengine mkulima kashaanza kuuza matairi!