Watazamaji zaidi ya milioni 600 kuitazama Simba SC kesho

Watazamaji zaidi ya milioni 600 kuitazama Simba SC kesho

Kwani watakao angalia tu ni watanzania?

Tanzania Tupo zaidi ya Milioni 60

Kenya Milioni 53.7

Uganda Milioni 45

Rwanda Milioni 12.95

Burundi Milioni 11.89

Sudan Milioni 11.9

DRC ni Milioni 90

Mozambique ni Milioni 31.26

Commoro ni Milioni 870,000

Niger kule ni Milioni 24.21

Moroko

Diaspora

Jumlisha na nchi ya Malawi, Zambia ,Zimbabwe, Ghana , Senegal, south Africa ambao watakuwa interested kuifatilia mechi ya simba, ukijumlisha na umaarufu walio nao Simba.

Kumbuka Africa Ina watu bilioni 1.2, tuambie kwa nini unaona ngumu idadi hiyo kufikiwa
Population hii umetoa vitoto vichanga vinavyo nyonya, vizee vya vijijini vya kike na kiume visivyojua hata habari ya mpira, na na na na...?
Au ni assumption tu kwa kuwa kolo linacheza basi kila mtu ataacha shughuli zake aangalie mpira kama hana tv au simu inayomuwezesha kufuatilia mpira basi atakimbilia kibanda uzima.?
 
Back
Top Bottom