Watekaji walikata sikio la mjukuu wake baada ya Getty kuwa mgumu wa pesa. Alivyoona hivyo akademand apunguzie ransom maana mjukuu hayuko kamilifu 🤣🤣

Watekaji walikata sikio la mjukuu wake baada ya Getty kuwa mgumu wa pesa. Alivyoona hivyo akademand apunguzie ransom maana mjukuu hayuko kamilifu 🤣🤣

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
a2cc2dfb2b7c8e9cc4092f88671b129c.jpg

Paul Getty, huyu ndio mmoja ya wawekezaji wa kwanza kuvuta mafuta Saudi Arabia miaka hio bado ni nchi isio na maendeleo makubwa.

Mwanzoni Waandishi walivyomuuliza kwa nini hataki kutoa ransom alijibu hivi
"Nina wajukuu kumi nne. Kama nikitoa pesa ya huyu mmoja basi 14 wengine watatekwa"

Watekaji walihitaji $17milion, akagoma, then wakakata sikio la mjukuu wake wakamtumia, alivyoona hivyo ndio akasema wapunguze pesa maana tayari wameshamzuru mjukuu wake, wakahangaishana sana hadi $3million ila mwamba alishuka nao hadi $2million ndio wakamwachia dogo.

Ingawa pesa hio alitaka mjukuu wake akisharudi ailipe kwa riba ya asilimia 4 🤣🤣🤣

Mjukuu wake baadae kutokana na msongo wa mawazo kwa aliyoyapitia aliingia katika ulevi mzito kupelekea kupata stroke.
Screenshot_20241025-113420.png
 
Back
Top Bottom