Watekaji wanamharibia Rais Samia pamoja na kazi hizo nzuri anazozifanya

Watekaji wanamharibia Rais Samia pamoja na kazi hizo nzuri anazozifanya

Tao

Senior Member
Joined
Nov 10, 2018
Posts
105
Reaction score
195
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
 
Katika kadhia hii, tatizo siyo Samia bali tatizo ni CCM, kwa sababu CCM ndio ambayo imehusika kwa 100% katika Kutunga Katiba mbaya sana iliyopo sasa hivi hapa Tanzania, pamoja na kutunga Sheria zingine zote zilizopo ambazo ni kandamizi.

Aidha, japokuwa bado sijajua bayana hiyo kampeni yao hao Watu wa CHADEMA ya Samia Must Go itafanyikaje, lakini Nina uhakika kabisa kwamba hata kama Rais Samia ataamua kuachia ngazi leo hii bado vitendo viovu vya utekaji Watu, utesaji na Mauaji vitaendelea kuwepo. Kwa jinsi ninavyofahamu, kiini Cha kuwepo kwa matatizo haya siyo Samia, Bali chanzo halisi Cha kuwepo kwa matatizo haya ni kutokana na kuwepo kwa Katiba ya nchi ambayo ni mbaya sana, pamoja na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya au Sheria kandamizi,
Hivyo basi, kitu sahihi kabisa kinachopaswa kuondoka hapa nchini Tanzania ni Katiba iliyopo pamoja na Sheria kandamizi zilizopo. Katiba iliyopo ikiondoka, na Sheria kandamizi zilizopo zikiondoka, automatically hata mamlaka ya kuteka Watu waliyonayo hao Watekaji pia yataondoka, hatimaye sasa Tanzania itakuwa ni mahali salama na pazuri pa kuishi, Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania tutakuwa tumejikomboa kutoka Jehanamu tulipo hivi sasa na kwenda peponi katika nchi ya ahadi ya asali na maziwa.
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa...
Watu wanakufa, wanatekwa, wanapotezwa yeye anasema ni drama. Hamna uhalifu wa MTU kutekwa kitaasisi ambao jimama haujui.
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
stupid thread
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Yeye mwenyewe amefanya juhudi gani chanya kufifisha matendo hayo ya kijinga?
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Iko hivi usipo wadhibiti wanao kuharibia ni makosa yako mwenyewe !
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
WEWE HUNA AKILI ANAHARIBIWA NA NANI UMRI HUO ALIO NAO? UNAMDHALILISHA SANA. UMRI HUO ALI NAO ANAHARIBIWA? HAJUI BAYA NA JEMA? SI ALISHASEMA HIZI ZA KUTEKANA NI DRAMA?
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Hawawezi wakawa wanamuharibia.

Kama ni kweli hafahamu, basi yeye siyo rais wa hii nchi.

Kwanza hakuna majambazi wanaoweza kufanya matukio kama hayo bila kushirikiana na dola.

Taarifa lazima anazo. Lakini pia kwenye “briefing” watakuwa wamemdanganya kwamba wanafanya wanayofanya ili kumlinda.

Na watampa “fake intelligence”.
 
Back
Top Bottom