Watekaji wanamharibia Rais Samia pamoja na kazi hizo nzuri anazozifanya

Watekaji wanamharibia Rais Samia pamoja na kazi hizo nzuri anazozifanya

Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Ameagiza Uchunguzi Tulieni msijifanye mnamfundisha kazi.
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Wanamuharibiaje wakati ndie anayewatuma? Sijukua Wazanzibar wana roho ya ukatili kiasi hiki
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
By virtue of reasoning, kama unasema watekaji wanaharibu, then unakubali kuwepo kwa huo mbadala ambao unasema haupo.
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Akili zako ni mgando.
Lazima CCM ibadilike.
ANC, KANU,ZANU PF, n.k vimebaki historia.
 
Watu wanakufa, wanatekwa, wanapotezwa yeye anasema ni drama. Hamna uhalifu wa MTU kutekwa kitaasisi ambao jimama haujui.
Japokuwa bado sijajua bayana hiyo kampeni ya Samia Must Go itafanyikaje, lakini Nina uhakika kabisa kwamba hata kama Rais Samia ataamua kuachia ngazi leo hii bado vitendo viovu vya utekaji Watu, utesaji na Mauaji vitaendelea kuwepo. Kwa jinsi ninavyofahamu, kiini Cha kuwepo kwa matatizo haya siyo Samia, Bali chanzo halisi Cha kuwepo kwa matatizo haya ni kutokana na kuwepo kwa Katiba ya nchi ambayo ni mbaya sana, pamoja na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya au Sheria kandamizi,
Hivyo basi, kitu sahihi kabisa kinachopaswa kuondoka hapa nchini Tanzania ni Katiba iliyopo pamoja na Sheria kandamizi zilizopo. Katiba iliyopo ikiondoka, na Sheria kandamizi zilizopo zikiondoka, automatically hata mamlaka ya kuteka Watu waliyonayo hao Watekaji pia yataondoka, hatimaye sasa Tanzania itakuwa ni mahali salama na pazuri pa kuishi, Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania tutakuwa tumejikomboa kutoka Jehanamu tulipo hivi sasa na kwenda peponi katika nchi ya ahadi ya asali na maziwa.
 
Dr Samia Suluhu Hassan tokea alipoapishwa kuwa Rais baada ya kifo cha Hayati Dr John Joseph Pombe Magufuli amekuwa akifanya kazi kubwa sana katika kuijenga Tanzania mpya huku akionyesha uwezo na ujasiri mkubwa katika kulinda maslahi ya taifa.

Rais anaijenga Tanzania mpya ya watu wanaopendana,wachapa kazi,wazalendo,wacha Mungu na ambao wako tayari kusaidiana na kuinuana katika nyanja mbalimbali za maisha na hili linajidhihirisha wazi katika mabadiliko mbalimbali na maamuzi yenye tija kwa taifa

Pamoja na kazi hizo nzuri tumeanza kushuhudia matukio ya hovyo ambayo hayashabiiani na tabia,mwenendo na maono ya Rais Samia Suluhu ikiwemo utekaji na mauaji ya watu wasio na hatia.

Ikumbukwe kuwa Rais Samia anakiongoza Chama Cha Mapinduzi,Chama ambacho kina historia na heshima Afrika na Dunia.

CCM ni chama cha ukombozi wa Africa.

Hiki ni Chama ambacho kina historia ya kuwafunda wapigania Uhuru wa Afrika.

CCM ni chama ambacho mwasisi wake Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa miongoni mwa wanafalsafa mahiri wa Karne ya ishirini.

Kwa historia hii ya CCM ni ukweli usiopingika kuwa Chadema na vyama vya upinzani hapa Tanzania siyo level ya CCM hivyo siyo kosa nikisema kuwa hawa watekaji siyo wana CCM na kama wanatumwa na mtu au watu wanaotokana na CCM basi CCM itakuwa imevamiwa.

Kwa historia hii iliyotukuka naomba nisisitize kuwa CCM haina haja ya kuwaogopa wapinzani isipokuwa kina haja tu ya kurekebisha baadhi ya mambo ili kiendelee kushika Dola.

CCM haina haja ya kuwaogopa watu wenye fikra mbadala.

CCM ninayoifahamu haiwezi kumteka Soka na wenzake,vijana wadogo ambao hawajakomaa, tiktok generation.

Tundu Antipas Lissu ambaye pengine ndiye msomi hodari wa upinzani ila bado bwana mdogo Kwa CCM.

Mzee aliyestaafu Ally Mohamed kibao hakuwa na fikra wala ujuzi wala mikakati inayoweza kuinyima usingizi CCM mpaka iamue kuwa anastahili kutekwa kwenye basi na task force maalumu kwa kutumia silaha za vita kama SMG na na kumuua kikatili.Hapana.

CCM imekuwa na historia ya kutumia fikra na ushawishi katika kuongoza nchi na bado sera na falsafa zake zina appeal kwa kizazi cha sasa na Jumuiya ya kimataifa.

CCM ni level moja na Community Party of China (CCP),na ni zaidi ya ANC cha Afrika kusini,SWAPO, ZANU PF,FRELIMO nk.

CCM ni mwasisi na ni think tank kwa jumuiya za kimataifa na ni Baba wa kidemokrasia Afrika na Dunia

Hivyo kupitia andiko hili nasisitiza umuhimu wa kumuacha Dr Samia Suluhu Hassan asimame Kwa miguu yake katika kiongoza nchi na hapaswi kuwa na hofu kwani CCM ina hazina kubwa ya wazee wastaafu wenye hekima pengine kuliko chama chochote katika ulimwengu unaoendelea.

Hawa wahuni wanaoteka watu na kuwaua.

Hawa wahuni wanaowateka mpaka vijana wadogo sampuli ya akina Soka wasiojua wanachokifanya wabainiwe na washughulikiwe ipasavyo kwani wanavunja miiko ya CCM na serikali yake na taifa kwa ujumla..

Kama mwana CCM natamka wazi kuwa hatuwahitaji wahuni hao.

Kwa kazi kubwa iliyotukuka inayofanywa na serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Dr Samia Suluhu Hassan itakapofika wakati wa uchaguzi tutapata muda mzuri wa kuelezea mafanikio ya utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020-2025 na hakika Watanzania watatupa tena ridhaa ya kuongoza nchi.

Watanzania wanatambua kuwa CCM haina mbadala hapa Tanzania

Mungu ibariki Afrika

Mungu ibariki Tanzania
Japokuwa bado sijajua bayana hiyo kampeni ya Samia Must Go itafanyikaje, lakini Nina uhakika kabisa kwamba hata kama Rais Samia ataamua kuachia ngazi leo hii bado vitendo viovu vya utekaji Watu, utesaji na Mauaji vitaendelea kuwepo. Kwa jinsi ninavyofahamu, kiini Cha kuwepo kwa matatizo haya siyo Samia, Bali chanzo halisi Cha kuwepo kwa matatizo haya ni kutokana na kuwepo kwa Katiba ya nchi ambayo ni mbaya sana, pamoja na Sheria zingine ambazo pia ni mbaya au Sheria kandamizi,
Hivyo basi, kitu sahihi kabisa kinachopaswa kuondoka hapa nchini Tanzania ni Katiba iliyopo pamoja na Sheria kandamizi zilizopo. Katiba iliyopo ikiondoka, na Sheria kandamizi zilizopo zikiondoka, automatically hata mamlaka ya kuteka Watu waliyonayo hao Watekaji pia yataondoka, hatimaye sasa Tanzania itakuwa ni mahali salama na pazuri pa kuishi, Wananchi wote wa nchi hii ya Tanzania tutakuwa tumejikomboa kutoka Jehanamu tulipo hivi sasa na kwenda peponi katika nchi ya ahadi ya asali na maziwa.
 
Hivi katiba mpya inazuia vipi mauaji?
Kwasasa hamasa inayotolewa kuhusu utekaji na mauaji imeanza kuleta madhara kwa mfano Yaliyotokea Geita eti wananchi wenye hasira wanataka wapewe watuhumiwa wanaohisiwa kwamba wameteka watoto wakabidhiwe kwa wananchi ili wawauwe!!
Kuna mahubiri ya hawa washirikina wanaovaa mwamvuli wa uchungaji na kueneza chuki bila ya ushahidi wameanza kufanikiwa lakini dhambi hii haita waacha salama.

Wanainchi wenzangu kipindi hiki ndiyo kipindi pekee kinacho hitaji busara kubwa vinginevyo tutatoa faida kwa shetani na watu wake ambao nia yao ni kuiondoa Serikali iliyopo kwa kutumia hila na uzandiki ili tu waweze kukidhi maslahi yao. Hawa ninawafananisha na nyoka anaye muua ng'ombe wakati hawezi kumla.

Chuki zinazojengwa kwamba watekaji na wauaji ni serikali zinatoa fursa kwa makundi yenye chuki na ugomvi kutumia upofu huo ili kutekeleza maovu yao nasi hatuna uwezo wa kutafakali kwasababu ya kuwaamini hawa wahubiri na wanasiasa wenye chuki. Hivi hatujiulizi chanzo cha mtu kutekwa na kuuwawa? Hivi combo cha dola kina mbinu dhaifu za kuteka na kuua kama hivi? LEO ukiuwa adui yako unaipakazia Serikali na u ABAKI huru.

Tukilegea machafuko yanaweza kuingia na hakuna atakaye pona na mifano ipo katika nchi nyingi sana ukichukua nchi kwa maandamano lazima dhambi hiyo ikurudie na utafanyiwa hivyohivyo.Ushahidi wa kusikia haujawahi kuwa na mafanio popote ni wakati muafaka wa kukaa chini na kutafuta ufumbuzi wa matatizo yanayotukabili kwa kutumia njia sahihi tuondoe fikra za kuwategemea wazungu watatumaliza maana wameanza kuwataja Scotland yard wamesahau kwamba waliwahi kuitwa kwa jirani zetu hapo mpaka leo hatujasikia majibu yoyote.
 
Hawawezi wakawa wanamuharibia.

Kama ni kweli hafahamu, basi yeye siyo rais wa hii nchi.

Kwanza hakuna majambazi wanaoweza kufanya matukio kama hayo bila kushirikiana na dola.

Taarifa lazima anazo. Lakini pia kwenye “briefing” watakuwa wamemdanganya kwamba wanafanya wanayofanya ili kumlinda.

Na watampa “fake intelligence”.
Yes
 
Back
Top Bottom