#COVID19 Watendaji na walimu wakuu wanavyoenda kuteseka na fedha za COVID‐19 za IMF

Ktk watumishi wote wa serikali walimu mnanyanyasika Sana Aisee... Kihalali kabisa walimu mlitakiwa muishi vizuri kuliko watumishi wote serikali..

Mungu awape nguvu.
waache wanyanyasike sababu wana viherehere sana.si ndo wanaosimamia uchaguzi hao ngoja nao kibao kiwabadilikie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…