Watendaji wa Serikalini na Madereva wa Wakubwa huko Serikalini tafadhali acheni 'Kurogana' kwa 'Uchawi wa Ajali' mnakosea Mungu pakubwa sana

Watendaji wa Serikalini na Madereva wa Wakubwa huko Serikalini tafadhali acheni 'Kurogana' kwa 'Uchawi wa Ajali' mnakosea Mungu pakubwa sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Unaacha Kufanya Kazi kwa bidii huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu Wewe unachowaza ni Kumroga fulani ili Afe Ajalini ili uchukue nafasi yake. Na ninachofurahi Warogaji wengi wa Wenzao ili Wafe ( hasa Ajalini ) ikitokea kweli waliowalenga Wamekufa huko Ajalini baadae wala hawazipati hizo Nafasi badala yake Wanateuliwa na Kuzipata Watu wengine kabisa.

Ni aibu kubwa sana kukutana na Mtendaji wa Serikalini akiangusha Hirizi akiwa anatoa Kitambaa cha Makamasi ( Handkerchief ) Mfukoni mwake au kukutana na Dereva wa Serikalini akiwa Kaficha Hirizi Kubwa kama Kende za Kifaru chini ya Siti yale katika Gari analoliendesha. Nachukia sana Mijitu inayopenda Ushirikina / Ulozi hasa Makazini ili tu Kuwadhuru Wenzao Kiuchawi.

Najua huu Uzi Watendaji wote wa Serikali na Madereva wa Serikalini wenye hizi Tabia mtausoma na mtabadilika Oky?
 
Unaacha Kufanya Kazi kwa bidii huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu Wewe unachowaza ni Kumroga fulani ili Afe Ajalini ili uchukue nafasi yake. Na ninachofurahi Warogaji wengi wa Wenzao ili Wafe ( hasa Ajalini ) ikitokea kweli waliowalenga Wamekufa huko Ajalini baadae wala hawazipati hizo Nafasi badala yake Wanateuliwa na Kuzipata Watu wengine kabisa.

Ni aibu kubwa sana kukutana na Mtendaji wa Serikalini akiangusha Hirizi akiwa anatoa Kitambaa cha Makamasi ( Handkerchief ) Mfukoni mwake au kukutana na Dereva wa Serikalini akiwa Kaficha Hirizi Kubwa kama Kende za Kifaru chini ya Siti yale katika Gari analoliendesha. Nachukia sana Mijitu inayopenda Ushirikina / Ulozi hasa Makazini ili tu Kuwadhuru Wenzao Kiuchawi.

Najua huu Uzi Watendaji wote wa Serikali na Madereva wa Serikalini wenye hizi Tabia mtausoma na mtabadilika Oky?
Kwa kiongozi anayewaza ushirikina hawezi kuletea wananchi maendeleo maan ijiona amefika alipo kwa juhudi zake binafsi na sio msaada wa kenge yoyote yule..
 
Unaacha Kufanya Kazi kwa bidii huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu Wewe unachowaza ni Kumroga fulani ili Afe Ajalini ili uchukue nafasi yake. Na ninachofurahi Warogaji wengi wa Wenzao ili Wafe ( hasa Ajalini ) ikitokea kweli waliowalenga Wamekufa huko Ajalini baadae wala hawazipati hizo Nafasi badala yake Wanateuliwa na Kuzipata Watu wengine kabisa.

Ni aibu kubwa sana kukutana na Mtendaji wa Serikalini akiangusha Hirizi akiwa anatoa Kitambaa cha Makamasi ( Handkerchief ) Mfukoni mwake au kukutana na Dereva wa Serikalini akiwa Kaficha Hirizi Kubwa kama Kende za Kifaru chini ya Siti yale katika Gari analoliendesha. Nachukia sana Mijitu inayopenda Ushirikina / Ulozi hasa Makazini ili tu Kuwadhuru Wenzao Kiuchawi.

Najua huu Uzi Watendaji wote wa Serikali na Madereva wa Serikalini wenye hizi Tabia mtausoma na mtabadilika Oky?
Nilishuhudia ofisa katika idara ya Elimu anamroga mwalimu kisa wamepishana kauli.Mwalimu haendi kazini kavurugwa yule yule ofisa anamkemea mwalimu na kumuadhibu.Kwa mambo haya Tanzania itafika kweli?
 
Nilishuhudia ofisa katika idara ya Elimu anamroga mwalimu kisa wamepishana kauli.Mwalimu haendi kazini kavurugwa yule yule ofisa anamkemea mwalimu na kumuadhibu.Kwa mambo haya Tanzania itafika kweli?
Hii nchi ngumu sana hasa humu maofisini usione watu wamepigilia tai wengi wana mambo ya ovyo sana ushirikina kwenda mbele,kurogana ,kuibiana nyota na uchafu kama wote, ndo maana nchi haisongi mbele maana unakuta kwenye kitengo alieshikilia ni mbumbumbu sema anaogopwa sababu ya ndumba zake
 
Unaacha Kufanya Kazi kwa bidii huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu Wewe unachowaza ni Kumroga fulani ili Afe Ajalini ili uchukue nafasi yake. Na ninachofurahi Warogaji wengi wa Wenzao ili Wafe ( hasa Ajalini ) ikitokea kweli waliowalenga Wamekufa huko Ajalini baadae wala hawazipati hizo Nafasi badala yake Wanateuliwa na Kuzipata Watu wengine kabisa.

Ni aibu kubwa sana kukutana na Mtendaji wa Serikalini akiangusha Hirizi akiwa anatoa Kitambaa cha Makamasi ( Handkerchief ) Mfukoni mwake au kukutana na Dereva wa Serikalini akiwa Kaficha Hirizi Kubwa kama Kende za Kifaru chini ya Siti yale katika Gari analoliendesha. Nachukia sana Mijitu inayopenda Ushirikina / Ulozi hasa Makazini ili tu Kuwadhuru Wenzao Kiuchawi.

Najua huu Uzi Watendaji wote wa Serikali na Madereva wa Serikalini wenye hizi Tabia mtausoma na mtabadilika Oky?
Ni kweli haya Mambo yapo

Walogaji wengi asili yao ya makuzi ni kutokea vijijini huko wakaja mjini
 
Washirikina ni watu wabaya sana katika ulimwengu huu. Ndio maana tunatakiwa kila tukiamka asubuhi tumuombe Mungu atukinge dhidi ya shari za viumbe wake.

Wafanyakazi wa maofisini wanaroga mno! Kwenye biashara watu wanaroga sana, kwenye masoko ndio usiseme, tukija kwenye mahusiano ndio balaa wanawake wanaongoza kufurika kwa waganga.

Kumuomba Mungu ulinzi juu ya shari za viumbe wake ni muhimu sana.
 
Hii nchi ngumu sana hasa humu maofisini usione watu wamepigilia tai wengi wana mambo ya ovyo sana ushirikina kwenda mbele,kurogana ,kuibiana nyota na uchafu kama wote, ndo maana nchi haisongi mbele maana unakuta kwenye kitengo alieshikilia ni mbumbumbu sema anaogopwa sababu ya ndumba zake
Uko sahihi 100% Mkuu. Nimeyashuhudia nilipokuwa huko Tanzania.
 
Unaacha Kufanya Kazi kwa bidii huku ukimshirikisha Mwenyezi Mungu Wewe unachowaza ni Kumroga fulani ili Afe Ajalini ili uchukue nafasi yake. Na ninachofurahi Warogaji wengi wa Wenzao ili Wafe ( hasa Ajalini ) ikitokea kweli waliowalenga Wamekufa huko Ajalini baadae wala hawazipati hizo Nafasi badala yake Wanateuliwa na Kuzipata Watu wengine kabisa.

Ni aibu kubwa sana kukutana na Mtendaji wa Serikalini akiangusha Hirizi akiwa anatoa Kitambaa cha Makamasi ( Handkerchief ) Mfukoni mwake au kukutana na Dereva wa Serikalini akiwa Kaficha Hirizi Kubwa kama Kende za Kifaru chini ya Siti yale katika Gari analoliendesha. Nachukia sana Mijitu inayopenda Ushirikina / Ulozi hasa Makazini ili tu Kuwadhuru Wenzao Kiuchawi.

Najua huu Uzi Watendaji wote wa Serikali na Madereva wa Serikalini wenye hizi Tabia mtausoma na mtabadilika Oky?
Ukiwa upo 35+ Unatakiwa uloge sana au Usali/ Kuswali sana. Kinyume cha hpo utakua unasindikiza wenzako kwenye Mafanikio.
 
Back
Top Bottom