Watetea Legacy ya Mwendazake wazidi kuishiwa pumzi

Watetea Legacy ya Mwendazake wazidi kuishiwa pumzi

Hospitali ya Mirembe ipewe jina lake kumpa heshima anayostahili
 
JPM hawezi kukosa mtetezi hata siku moja. Ukitaka kujua JPM ana POWER kiasi gani, itisha uchaguzi usio rasmi.
Upande mmoja kuwe na wanaompenda JPM na Falsafa zake na upande mwingine weka kiongozi yeyote aliye kinyume na JPM.
Hapo ndipo utakaposhangaa maajabu ya Dunia kwa mtu asiye hai kumbwaga parefu mtu aliye hai.
 
Tarrhe 17 march mengi yalibadilika ikiwmo nchi kupata raisi mpya. Tarege hiyo ikumbukwe daima
... March 17, 2021 was the greatest milestone of this nation. Ni tarehe ambayo, sio kwamba umuhimu wake ni tukio lenyewe, bali ni mwanzo wa fikra na mtazamo mpya kama taifa. Ni tarehe ambayo inatukumbusha matokeo ya maamuzi yetu kwa umoja wetu; tunafikiri sawa sawa kabla ya kuamua? Au tunaamua tu kwa ushabiki wa kimakundi bila kuzingatia athari za maamuzi yetu hayo?

Nyenzo zetu (Katiba, sheria, mifumo, n.k.) iko stable kutusaidia pindi tukikosea kimaamuzi au tuliyemwamini akatutenda ndivyo sivyo? Au tunaamua kukabidhi mamlaka na madaraka yetu kwa wachache watende kwa niaba yetu huku tukibaki "yatima, watazamaji, hatuna la kufanya, n.k." baada ya kukabidhi madaraka yetu? Aliyekuwa "amelala" na aamke sasa!

Apumzike kwa amani Beatrice Kamugisha angeidadavua vizuri sana mada hii!
 
"Nadhani tuwe waangalifu katika kuchagua, kuwepo na 'track record'. Huko nyuma tulishawahi kuchagua watu waliokwenda hospitali za vichaa, mtu ana kumbukumbu za taarifa za Mirembe (hospital ya vichaa) halafu unamuachia achukue nchi?" - Anthony Diallo
Nukuu kutoka kwa Mwenyekiti wa CCM was Mkoa anayetumia Viieiti (In Polepole's voice
 
Hilo sanamu wanalo jenga litakuwa onesho la kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea.
... Wakati mwingine artifacts kama hizo (masanamu, picha, n.k.) husadia kuamsha hisia, nguvu, na ari mpya katika jamii. Litasaidia kuvikumbusha vizazi vijavyo kwamba nchi iliwahi kuwa na kiongozi kama huyu. Ni juu yao kuamua ama kulivunjilia mbali au kuishi nalo!
 
Wakakimbia alafu kiwanda bora kabisa Afrika cha kufua zahabu kikajengwa, nchi ikaingia uchumi wa kati , mabilionea kama akina Laizer wakaibuka, mapato ya ccm yakatoka million 5 yakafikia billioni 20 kwa mwaka!

Tunamuonya Diallo yeye amekuwa mbunge na waziri kwa miaka 20 lakini hakuna wananchi wanachomkumbuka nacho ni kama tu hajawahi kuwa kiongozi
Kumbe Laizer kupata Tanzanite kwa kuwekeza nguvu zake (kama ni kweli) nayo yalikua mafanikio ya Mwendazake
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Naichukulia Kama ninavyoichukulia kauli yako tuu
Hamna kitu mnaweza fanya zaidi ya maneno matupu😅😅😅😅
Hujajib swal lang juu ya maneno ya Diallo kua unayachukuliaje, suala la kuchukulia kama kauli yang wakat mimi cjatamka as Diallo. Hebu zungumzia kauli ya Diallo kua waionaje anadanganya ama?
 
Kwel kabisa ila muda utaongea tu Magufuli vs chadema kikwete na mama Samia Nan Zaid najua mioyoni mwenu mnaelewa ila mnaona aibu tusubir tu
 
Muda utaongea...na hakika hata wewe hapa kuna siku utamkumbuka JPM na utatafuta clip za JPM uzitumie kubishana na watu
Mi nitamkumbuka kwa mabaya na mazuri

Mabaya
Roho mbaya
Katili
Kutofata sheria
Kujiona Mungu


Mazuri

Ndege
SGR
 
Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake.

Nawasilisha.

Hiyo haifutiki wewe na mabeberuu mtahangaika sana!!!...Mhaini ww
 
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Hapo nimemwona jinga lao akiwa na "bainokola"
Magonjwa mtambuka
Kawe alumn
Nigrastra sijui nini kule
Na wengine kama kina
Stroke na john the baptist
mama D ameshikilia Gobole😆😆😆
 
Kumbe Laizer kupata Tanzanite kwa kuwekeza nguvu zake (kama ni kweli) nayo yalikua mafanikio ya Mwendazake

Miaka 50 tangu uhuru nitajie aliyepata mwingine!! Ni serikali ndyo iliweka mazingira kwa wachimbaji ndiyo maana hata hao wakaanza kutokea au hata kufikiri nako n ZERO
 
Hujajib swal lang juu ya maneno ya Diallo kua unayachukuliaje, suala la kuchukulia kama kauli yang wakat mimi cjatamka as Diallo. Hebu zungumzia kauli ya Diallo kua waionaje anadanganya ama?

Yeye na wewe ni kama identical twins
 
Jpm ataishi milele mioyoni mwa wapenzi wake.

Watu tunaishi falsafa zake ndio maana mnaumwa kuhara.angakia ishu za corona na watanzani.
Angalia mama na muelekeo wake.

Hapa ndipo utakiri kwamba mletamada yuko kwenye kihoro.
 
Back
Top Bottom