Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,241
JPM amemaliza ngwe yake hapa duniani wewe bado unawewesekaweweseka tu. JPM did well, he will be remembered for the good things he managed to do for this country. What have you done yourself?Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake.
Nawasilisha.
BTW how is ARS?