Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake.
Nawasilisha.
Kumbe Laizer kupata Tanzanite kwa kuwekeza nguvu zake (kama ni kweli) nayo yalikua mafanikio ya Mwendazake
Wakati tunamkumbuka huyo mnayemuita mwendazake, tujiulize na hili: Akina Benny Saanane na Azory Gwanda wako wapi?Wakakimbia alafu kiwanda bora kabisa Afrika cha kufua zahabu kikajengwa, nchi ikaingia uchumi wa kati , mabilionea kama akina Laizer wakaibuka, mapato ya ccm yakatoka million 5 yakafikia billioni 20 kwa mwaka!
Tunamuonya Diallo yeye amekuwa mbunge na waziri kwa miaka 20 lakini hakuna wananchi wanachomkumbuka nacho ni kama tu hajawahi kuwa kiongozi
Na Diallo kamaliza kabisa 😃 halafu ni Mwenyekiti wao wa mkoa pendwa wa sukumagang.Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake.
Nawasilisha.
Mwenyekiti wenu tena wa CCM ya mkoa maarufu wa sukumagangYeye na wewe ni kama identical twins
Aisee hata wakongwe kama nyie mnafungua nyuzi cheap kama hizi? [emoji848]
Hahahahaaha sibishani NduguMiaka 50 tangu uhuru nitajie aliyepata mwingine!! Ni serikali ndyo iliweka mazingira kwa wachimbaji ndiyo maana hata hao wakaanza kutokea au hata kufikiri nako n ZERO
Kuna makalio machache yanataka yajidanganya jamaa hakubaliki,na kuaminisha wengine[emoji38][emoji38].Kama jpm angeruhusu bunge live, mikutano ya akina 'dark guy' ambayo aliamini ingemrudisha nyuma, angewakataza 'wanaounga' juhudi kuhama vyama vyao, asingefichua wizi ktk makinikia, asingewabaini wafanyakazi wenye vyeti feki na kuwafuta kazi, asingerudisha nidhamu maofisini, asingehuisha shirika la ndege, asingeanza kujenga sgr, asingeleta mabasi ya mwendokasi, asingetumbua viongozi aliowaona hawaendani na kasi yake, asingempendekeza kassim kuwa pm wake, asingewapa pesa moja kwa moja wananchi walioonekana kuwa na uhitaji wa haraka, asingejenga daraja refu kuliko yote afrika mashariki na kati(kigongo), asingejaribu kudhoofisha upinzani kwa kurudisha imani ya wananchi kwa ccm, asingewasumbua wafanyabiashara wakwepa kodi, asingeacha kuwakaribisha akina TL ikulu kwenda kula bata,
MASIKINI WA MUNGU HAYA YOTE YASINGEMKUTA!!!
Mimi ni miongoni mwa watu wachache waliompenda sana kiongozi huyu.
Ilihitji ujasiri kuyasema hayo hadharani, ingawaje wengi wanajua kuwa Mwendazake alikuwa na udhaifu si wa umeme tu wa moyo, bali hata afya ya akili."Nadhani tuwe waangalifu katika kuchagua, kuwepo na 'track record'. Huko nyuma tulishawahi kuchagua watu waliokwenda hospitali za vichaa, mtu ana kumbukumbu za taarifa za Mirembe (hospital ya vichaa) halafu unamuachia achukue nchi?" - Anthony Diallo
Watamjengea sanamu ya mil 420Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake.
Nawasilisha.
Kwa lipi,tushindwe kumbuka watu muhimu kama Nyerere,Karume,Mwinyi Mkapa na Kikwete tupoteze muda kumkumbuka Magufuri,tutakuwa wendawazimu.Muda utaongea...na hakika hata wewe hapa kuna siku utamkumbuka JPM na utatafuta clip za JPM uzitumie kubishana na watu
Huyu aliyechapisha makaratasi ya kura ajipigia kura, kisha akatuma polisi wayaingize kwenye masanduku ya tumeJPM hawezi kukosa mtetezi hata siku moja. Ukitaka kujua JPM ana POWER kiasi gani, itisha uchaguzi usio rasmi.
Upande mmoja kuwe na wanaompenda JPM na Falsafa zake na upande mwingine weka kiongozi yeyote aliye kinyume na JPM.
Hapo ndipo utakaposhangaa maajabu ya Dunia kwa mtu asiye hai kumbwaga parefu mtu aliye hai.
Expert member, waasisi wa Jf mpo humu tangu sisi wengine hatuzijui simu kabisa tupo primary Ila now mnaandika mada nyepesi kama hizi!?Ni wazi watetea legacy ya mwendazake wamezidiwa vibaya sana.Ilikuwa ni kazi rahisi kupambana na CHADEMA,Team JK,Team kanda ya kambo sasa ni wazi watu wa makundi mbali mbali wameonyesha walichoshwa na mfumo au ukipenda utawala mbovu wa Mwendazake.
Nawasilisha.
moto wa milele umuunguze marehemu dikiteta mwendakuzimu.Muda utaongea...na hakika hata wewe hapa kuna siku utamkumbuka JPM na utatafuta clip za JPM uzitumie kubishana na watu
Hii picha huwa inanichekesha especially huyo mama mwenye lemba kichwani