Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unaambiwa ukilamba Nchale , ukimung'unya Nchale !Good
Hatua moja kuelekea mahakama za kikanda to za kimataifa...Unaambiwa ukilamba Nchale , ukimung'unya Nchale !
Maza atakufa na pressureUnaambiwa ukilamba Nchale , ukimung'unya Nchale !
Maza atakufa na pressureUnaambiwa ukilamba Nchale , ukimung'unya Nchale !
Alisema ukweli snHizo si ndio zile mahakama ambazo Rostam alisema mtu yoyote wa serikali anaweza kupiga simu ?
Mtapata haki kwenye hizo mahakama za CCM?Unaambiwa ukilamba Nchale , ukimung'unya Nchale !
hizi hiziMahakama hizihizi au kuna zingine?
Tunaanzaaa upyaa alisema mh na aliekua mbunge , alafu uyu mzee yuko wapi simsikii aliitwa Bwege kama nimekosea nisamehewe na nikosoeni kwa staha , ile anapenda mama yenuWale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai , ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua , wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari .
Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa .
Mungu ibariki Tanganyika
View attachment 2717210View attachment 2717211
Hizi mahakama wanaziamini kwenye kutoa haki?hizi hizi