Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
AminaMungu usinyamaze kwa ajili ya hao wanaoitetea bandari yetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AminaMungu usinyamaze kwa ajili ya hao wanaoitetea bandari yetu.
DP world kageuka kuwa yule mgeni aliyeimbwa na John Komba, mgeni kaingia chumba cha baba na mama (mihimili yote ya dola), mgeni kaumwaga upupu nyumba nzima iko kwenye tafraniWhat if CAT nayo pia ikapata 'kigugumizi' kama kile cha high court Mbeya?
I am trying to imagine kwamba the IGA in question hence ikawa completely boxed-in by mihimili yote mitatu sasa (Serikali, Bunge, na kisha Mahakama ya Rufaa Tz nayo ika-endorse kupitia judgement).
What could be a way forward... kwenda African Court? (Je ina jurisdiction?) au kurudi kwenye political platforms?
Hii DP WORLD mbona inaleta tafrani sana hapa Tz?
-Kaveli-
DP world kageuka kuwa yule mgeni aliyeimbwa na John Komba, mgeni kaingia chumba cha baba na mama (mihimili yote ya dola), mgeni kaumwaga upupu nyumba nzima iko kwenye tafrani
Niisome maelezo yanini, cha msingi imetupiliwa mbali na wana hki ya kukata rufaa, sasa hao wanaokata rufaa ndiyo waisome wapate pa kukatia rufaa.Uliisoma ile hukumu ?
Bandari ni shamba la urithi halitakiwi apewe mgeni.Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari .
Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa .
Mungu ibariki Tanganyika
View attachment 2717210View attachment 2717211
Halafu mnaanza kulalamika haziko huru.hizi hizi
Nakufahamisha kijana, mkataba ule haiwezi mahakama yoyote ya Tanzania ikaubatilisha, hawawezi kupinganna na mwanasheria mkuu wa serikali, mwisho wa siku ule ni mkataba wa Kiamtaifa. Ukiubatilisha ule ina maana kama nchi umeshakiuka makubaliani yako ya Kimataifa. Jaji gani mwenye uwezo huo Tanzania.
Eti IGA haina maana yoyote!!!Niisome maelezo yanini, cha msingi imetupiliwa mbali na wana hki ya kukata rufaa, sasa hao wanaokata rufaa ndiyo waisome wapate pa kukatia rufaa.
anasema wapindue nchi, hao ndiyo wakuwashughulikia, jhawa wanaopeleka rufaa, ni wachumia tumbo tu.
Mahakama ya rufaa iko chini ya serikali gani?Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari .
Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa .
Mungu ibariki Tanganyika
View attachment 2717210View attachment 2717211
Isome IGSA utaelewa kuwa bila HGA na concession agreements haina maana yoyote. Itaanza kuwa na maana ukomo wake ukifika na kama haijavunjwa kwa kufata sheria za Kimatifa. Unaujuwa ukomo wake, au hata hujausoma huo mkataba umegjazwa ujinga tu?Eti IGA haina maana yoyote!!!
Kwa lugha nyingine hiki ulichoandika ni hiki kinanikumbusha enzi za ujana tulivyokuwa tunawaongopea mabinti kwa ukweli huu uliopotoshwa:
'Kufanya mapenzi hakusabishi mimba ila kumwagia ndani ndo kunasababisha mimba'!,
ni kweli japo akiruhusu kuingiliwa hawezi tena kuzuia asimwagiwe ndani..
Note:
Mwarabu anabagua kwa rangi siyo dini. Hiki nimekishuhudia kwa mjini kwetu, nimeona kuna msikiti wa warabu na msikiti wa weusi
Note:
Mwarabu anabagua kwa rangi siyo dini. Hiki nimekishuhudia kwa macho mjini kwetu, nimeona kuna msikiti wa warabu na msikiti wa weusi
Nakwambia mahakama za rufaa zipo hapa kwetu moaka juu zaidi ya kwetu, lakini kumbuka, hakuna mahakama yoyote ya tanzania au ya Afrika Mashariki inayoweza kuifuta IGA hiyo bila kufatwa sheria za Kimataifa.Mahakama ya rufaa iko chini ya serikali gani?
Tangu afe bibi yako wa mpigamiti akili yako haijakaa sawaMahakama zetu zilinajisiwa na mnajisi Magufuli.
Tangu hapo kesi yoyote ya Umma dhidi ya serikali haitaweza kushinda.
Kijana wangu Advocate Mwakilima,mimi ni Kaka yako niliyekupokea pale Nsibirwa Hall,Makerere University, nakushauri tu kwamba ya Ngoswe muachie Ngoswe,utapigwa na SHTAKA la UHAINI ukae Jela mpaka uchakae!!ni ushauri tuWale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari .
Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa .
Mungu ibariki Tanganyika
View attachment 2717210View attachment 2717211
Mnadanganyana tu.This is interesting...
Kwamba nchi hii Tanzania kuna msikiti wa waarabu tu? Mtu mweusi haruhusiwi kuingia wala kuswalia humo?
-Kaveli-