Watetezi wa Bandari wafika Mahakama ya Rufaa, Shughuli imeanza upya

Watetezi wa Bandari wafika Mahakama ya Rufaa, Shughuli imeanza upya

Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari .

Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa .

Mungu ibariki Tanganyika

View attachment 2717210View attachment 2717211
Mungu Ibariki Tanganyika[emoji173][emoji173][emoji173]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kijana wangu Advocate Mwakilima,mimi ni Kaka yako niliyekupokea pale Nsibirwa Hall,Makerere University, nakushauri tu kwamba ya Ngoswe muachie Ngoswe,utapigwa na SHTAKA la UHAINI ukae Jela mpaka uchakae!!ni ushauri tu
Kazi ya Uwakili ni ya nani hasa ? kumbuka kwamba Shetani hajawahi kumshinda Mungu .

Halafu tutajie wengine waliofanyiwa hivyo
 
hao majaji labda muombe waletwe malaika kutoka mbinguni.vinginevyo mtakuwa mnapaka rangi upepo
 
Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari .

Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa .

Mungu ibariki Tanganyika

View attachment 2717210View attachment 2717211
Rejea thread isemayo: Hongera team wazalendo Kwa ushindi wa Awali, tukutane mahakama ya rufaa -Rabbon.

Amejibu Maombiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,

Amejibu Kwa wakati Bwanàaaaaaaa,

Amejibu haja ya moyoooooooooo!!!

Jamani Yesuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!

Amefanyaaaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Kuna wanaodai kwamba hii suala kulipeleka kwenye judicial channels ni mpango maalumu wa kulipatia baraka za kimahakama pia. Kwamba, CAT nayo iki-endorse, then mjadala kwisha!

Issue ikishakuwa boxed in by mihimili yote mitatu (executive, legislature, judiciary), then nani atakuwa na mamlaka gani ya kuhoji tena suala husika?

Je, ni kweli kwamba movement ya kupinga IGA ilitakiwa iwe channelled kwenye political platforms tu pekee? na sio kuichannel mahakamani?

-Kaveli-
Inasemekana pia wakubwa watatumia mahakama kulibwaga dude la Bandari Ili watoa RUSHWA waingizwe mkenge!!
 
Mtapata haki kwenye hizo mahakama za CCM?
Mpaka wapewe zuiyo la utekelezaji wa hiyo hukumu ya Majaji watatu ndiyo ntajua kumbe wako serious! Bila zuwiyo utekelezaji utaendelea tu!!
 
Hao wanatumwa tu kutafuta "publicity", kesi ikishtupiliwa mbali na majaji watu haina mashiko mahakama ya rufaa, huko haichukuwi muda itatupiliwa mbali, sana sana watapigwa tarehe tu.

Hiyo inaitwa "publicity stunt" hata mkiipamba vipi kwenye mitandao ya kijamii. majaji hawatazami mapambio.

Wajinga ndiyo waliwao.
Rufaa ni haki yao kikatiba, Swali la kujiuuliza hiyo rufaa yao ina mashiko, au ni ku just by time na kupitezeana muda tu!!??
 
Hatua moja kuelekea mahakama za kikanda to za kimataifa...
Sawasawa kabisa.

Hili wazo nadhani ni la muhimu sana.

Kwa vile wanasema ni makubaliano kati ya mataifa; na matatizo yao kati ya nchi hizo mbili, wanakubali yatapelekwa kwenye mahakama za nje kuamriwa; basi, lengo la kesi hizi zinazoendelea liwe ni kufika huko huko kwenye mahakama za nje ambako hizi nchi mbili zilikubaliana kwamba zitakwenda kumalizana kama kutakuwa kuna kutoelewana.

Naomba wenye uelewa mzuri wa maswala ya namna hii watueleze, kama inawezekana au haiwezekani.
 
What if CAT nayo pia ikapata 'kigugumizi' kama kile cha high court Mbeya?

I am trying to imagine kwamba the IGA in question hence ikawa completely boxed-in by mihimili yote mitatu sasa (Serikali, Bunge, na kisha Mahakama ya Rufaa Tz nayo ika-endorse kupitia judgement).

What could be a way forward... kwenda African Court? (Je ina jurisdiction?) au kurudi kwenye political platforms?

Hii DP WORLD mbona inaleta tafrani sana hapa Tz?

-Kaveli-
There must be a way out there.

Hiyo IGA haina 'provisions' zozote nyingine zinazoruhusu kuhojiwa?

Ukoloni haukuwa na kipengele chochote kilichoruhusu ukoloni huo kuhojiwa, lakini ilibidi usalimu amri, itakuwa huu wa nyakati hizi ambazo watu wamekwishatoka usingizini?
 
Back
Top Bottom