Watetezi wa Bandari wafika Mahakama ya Rufaa, Shughuli imeanza upya

Watetezi wa Bandari wafika Mahakama ya Rufaa, Shughuli imeanza upya

Attachments

  • DB73842F-E853-4758-8FA6-D597314799F6.jpeg
    DB73842F-E853-4758-8FA6-D597314799F6.jpeg
    18.2 KB · Views: 1
Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari.

Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa.

Mungu ibariki Tanganyika

View attachment 2717210View attachment 2717211
hamna kazi za kufanya mnajuwa kabisa mtaangukia pua mnaenda kufanya nini hayo ni matumizi mabaya ya akili zenu
 
Huyu dogo alphonce lusako.nadhani kwa wanaomfahamu akiwa chuoni,walimfukuzisha chuo akaja kuanza upya chuo. Nadhani dogo Ni passion yake kulitetea taifa lake. Kama ilivyokuwa mandela kulitetea taifa lake kiasi kwamba alikaa gerezani akiwa na furaha Mana alikuwa anapigania anachokipenda moyoni mwake. Yaani aliumbwa kwa ajili icho. Wengine wanafia kuuumaaei wengine utajiri,yaani fanya moyo wako unavyokuambia
 
Mnadanganyana tu.

Misikiti siyo makanisa. Hata wewe uanaweza kuingia msikitini wakati wowote na msikiti wowote. Uislam ni mwema sana. Usiuogope. wewe mwenyewe hapo ni Muisla usiyejijuwa kuwa u Muislam. Au wewe huamini Mungu?
Who are you?
 
Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari.

Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa.

Mungu ibariki Tanganyika

View attachment 2717210View attachment 2717211
A Good fight! is My kind of fight.

Keep going Lusako.
 
Ule mhimiri uliojichimbia zaidi ushalegeza kabisa mihimili mingine tena mmoja ndo ushachomolewa uko hoi bin taaban umebaki kudakia vibwagizo vya mhimili mkuu. Soon utaingia hata ukichaa kabisa kwa yanayoendelea
 
This is interesting...

Kwamba nchi hii Tanzania kuna msikiti wa waarabu tu? Mtu mweusi haruhusiwi kuingia wala kuswalia humo?

-Kaveli-
Tanzania hakuna misikiti ya waarabu tu anaesema hipo huyo hajui maana ya misikiti uenda sio muisilamu
 
Hawatashinda hawatashinda kama hawatoenda moja kwa moja mahakama ya kimataifa UN ndio hapo wataweza shinda ila huko mnajichoresha slaa anyongwe tu tena na kama ya manyila wale wengine wasiuwawe
 
Hao wanatumwa tu kutafuta "publicity", kesi ikishtupiliwa mbali na majaji watu haina mashiko mahakama ya rufaa, huko haichukuwi muda itatupiliwa mbali, sana sana watapigwa tarehe tu.

Hiyo inaitwa "publicity stunt" hata mkiipamba vipi kwenye mitandao ya kijamii. majaji hawatazami mapambio.

Wajinga ndiyo waliwao.
Mbona unakataa tamaa mapema - zipe nafasi Mahakama zetu, usipokata rufaa unaonekana umekubaliana na maamuzi yaliyotolewa.
 
Wewe hata upambe vipi, kesi inajulikana imetupiliwa mbali na kukata rufaa ni haki yao, sasa huko rufaa ndiyo tunawajulisha kabisa, kesi ikishakaa majajai watatu, hiyo peke yake ni kama rufaa. Kwa hiyo mahakama ya rufaa nayo wanaiweka sawa wanatupilia mbali. Simpo.
Sawa. Majaji Chawa wa Mama hawawezi mwangusha Mama
 
Ndugu Allen waeza kuwa sawa.

Case ya Awali Mwabukusi alipongezwa na judges Kwa ufundi uliotukuka,

Na case Ile alishinda, maybe wameona ni Bora asirudi court wabaki wengine.

Bt naamini Bado benchi Lina Wanasheria mahiri zaidi!!
 
Pamoja tutashinda.

Sauti ya wengi ni sauti ya Mungu.

Tusikate tamaa Mungu hajawahi kushindwa na shetani
 
Kuna wanaodai kwamba hii suala kulipeleka kwenye judicial channels ni mpango maalumu wa kulipatia baraka za kimahakama pia. Kwamba, CAT nayo iki-endorse, then mjadala kwisha!

Issue ikishakuwa boxed in by mihimili yote mitatu (executive, legislature, judiciary), then nani atakuwa na mamlaka gani ya kuhoji tena suala husika?

Je, ni kweli kwamba movement ya kupinga IGA ilitakiwa iwe channelled kwenye political platforms tu pekee? na sio kuichannel mahakamani?

-Kaveli-
ndio tutajua kwamba hatuna Bunge na pia hatuna mahakama.
 
Hivi Rufaa unaweza ukaikata mara ngapi kama hukurizishwa na msururu wa maamuzi ya kushindwa kesi ?
ikifika mahakama ya Rufani, maamuzi yakakatiwa rufaa, maana yake watakaa majaji watatu, ikishindikana watakaa watano, ikishindikana tena watakaa majaji Saba, mwisho!
 
Back
Top Bottom