Watetezi wa Bandari wafika Mahakama ya Rufaa, Shughuli imeanza upya

Watetezi wa Bandari wafika Mahakama ya Rufaa, Shughuli imeanza upya

Ndugu Allen waeza kuwa sawa.

Case ya Awali Mwabukusi alipongezwa na judges Kwa ufundi uliotukuka,

Na case Ile alishinda, maybe wameona ni Bora asirudi court wabaki wengine.

Bt naamini Bado benchi Lina Wanasheria mahiri zaidi!!
Alishinda kivipi na kesi ilitupwa au vipi hebu fafanua huo ushindi na kama alishinda huko Mahkama ya Rufaa munaenda fanya nini na nyie mulishinda?
 
Judges kukiri mkataba unakinzana na SHERIA za ndani na Katiba ni ushindi Kwa wazalendo ingawa alikabidhiwa asostahili ndomana ya rufaa
 
Judges kukiri mkataba unakinzana na SHERIA za ndani na Katiba ni ushindi Kwa wazalendo ingawa alikabidhiwa asostahili ndomana ya rufaa
Wazalendo waliibuka kidedea. Kulikuwa hakna namna Majaji kutupilia mbali bila kutamka hivyo.
 
Alishinda kivipi na kesi ilitupwa au vipi hebu fafanua huo ushindi na kama alishinda huko Mahkama ya Rufaa munaenda fanya nini na nyie mulishinda?
Rejea thread;

"Hongera team wazalendo Kwa ushindi wa Awali, tukutane mahakama ya rufaa"-Rabbon
 
Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari.

Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa.

Mungu ibariki Tanganyika

View attachment 2717210View attachment 2717211
Tuendelee kutea rasilimali zetu,bigup sana wazalendo wa kweli.
 
Wale wazalendo waliofungua kesi ya kupinga Mkataba duni wa Bandari za Tanganyika na DP WORLD ya Dubai, ambao kimsingi walishinda kesi yao ya awali huko Mbeya , Kabla ya Majaji kupata kigugumizi cha kuamua, wametinga Mahakama ya Rufaa na kuanza tena Uzalendo wao wa kutetea Bandari.

Mmoja wa Walalamikaji , Kijana Mzalendo Alphonce Lusako amewasilisha taarifa yake kwa umma , kuhusu Kipute hicho kipya kinachotarajiwa kuanza wakati wowote kuanzia sasa.

Mungu ibariki Tanganyika

View attachment 2717210View attachment 2717211
"Ondo Nene kimsingi walishinda. Sema kimsingi walishindwa. Sheria siyo kama siyo ngonjera kama unavyodhani hata Lisu kaufyata mana kaona hukumu Iko sawasawa. Ingekuwa kila mtu anauwezo wa kujua nani anapaswa kushinda au nani ashindwe basi kila mtu angekuwa mwanasheria kitaama. Sijui wewe mwalimu umejuaje kama kimsingi walishindwa. Au umetumia logic tu bila sheria?
 
ikifika mahakama ya Rufani, maamuzi yakakatiwa rufaa, maana yake watakaa majaji watatu, ikishindikana watakaa watano, ikishindikana tena watakaa majaji Saba, mwisho!
Duh! Kwa maana hiyo ndiyo maana kesi za Tz hazina mwisho!![emoji2]
 
Back
Top Bottom