Wewe ni mjinga..πSiwezi OA Mwanamke mpumbavu atakayefanya nimpige hiyo ni moja, pili, sheria na miiko yangu kama Mtibeli hainiruhusu kumpiga MKE wangu, kama amekuwa mkaidi tunafukuza pasipo vikao
Kabisa kabisa.....kupigana sio afyaWewe ukileta upumbavu ufanyejwe?
Hakuna sababu hata Moja ya kumpiga Mkeo/Mumeo.
Ni Bora muachane tuu.
Oaneni wenyewe kwa wenyewe.
Oaneni wenyewe kwa wenyewe.
Wewe ni mjinga..π
Ukiona Mwanaume anampiga Mwanamke ujue huyo mwanaume alilelewa kichokoraa, familia ya hovyo hakuna msosi wa uhakika, baba mlevi anampiga mama kila leo, au mama muuza pombe hafatilii familia, mtoto lazima awe na roho ya kikatili hadi uzeeni kwake,
Wazazi kabla hamjaozesha Binti zenu kagueni hizo familia wanazoenda hata kama ni kijiji cha matopeni huko tumeni watu kufatilia historia ya huyo Mwanaume.
Kabisa kabisa.....kupigana sio afya
Swali lako limejibiwa kwenye aya ya kwanza, huwezi kutatua tatizo bila kujua chanzo, chanzo ndio hicho.Swali linakuja, Kwa nini umpige Mkeo/Mumeo?
Kama mmeshindwana na hakuna kusikiliza a si muachane
Kabisa kabisa.....kupiganaWewe ukileta upumbavu ufanyejwe?
Hakuna sababu hata Moja ya kumpiga Mkeo/Mumeo.
Ni Bora muachane tuu.
Hasira za ghafula tuKwa nini umpige mwenzio. Hapo ndio swali
.Oaneni wenyewe kwa wenyewe.
Mwanamke akianza maonyesho ya kijinga jinga lazima umzabe vibao akili zimkae sawa.
Inabidi Mwanamke Mtibeli aolewe na MURA fita ni fita.
Kumfundisha ndio jibu lao ila haijengi. It's creating your own destruction.
Usipomuua ukafungwa basi yeye atakuua
Nikajua hujaolewa nikuchukue.Mimi binafsi huwa nasema mwanaume akinipiga basi hio siku ahakikishe ananiua kabisa,ila kama ananipapasa ipo siku yake ntamuua mimi tena siku asio tarajia
Asante Mungu mume sio mpigaji,huyu mwanaume kwenye ukomavu wa kihisia nimemkubali
Jabisa dadaUkiona Mwanaume anampiga Mwanamke ujue huyo mwanaume alilelewa kichokoraa, familia ya hovyo hakuna msosi wa uhakika, baba mlevi anampiga mama kila leo, au mama muuza pombe hafatilii familia, mtoto lazima awe na roho ya kikatili hadi uzeeni kwake,
Wazazi kabla hamjaozesha Binti zenu kagueni hizo familia wanazoenda hata kama ni kijiji cha matopeni huko tumeni watu kufatilia historia ya huyo Mwanaume.
Utapewa sumuMwanamke akianza maonyesho ya kijinga jinga lazima umzabe vibao akili zimkae sawa.
Hahahahah daah! Huyo alikudharau kabisa na kuidharau kabisa familia yako... alitukana lile tusi kubwa la kiungo kinachotumika kupitishia mtoto?Kanitukania mamangu nikatia mibanZi akaondoka mwenyewe Nana hatorudi tena kwangu