Watibeli Hatupigagi Wake Zetu, na Binti zetu hawapigwi

Mimi binafsi huwa nasema mwanaume akinipiga basi hio siku ahakikishe ananiua kabisa,ila kama ananipapasa ipo siku yake ntamuua mimi tena siku asio tarajia
Asante Mungu mume sio mpigaji,huyu mwanaume kwenye ukomavu wa kihisia nimemkubali
Ukizingua utapigwa tu. Na hakuna kitu utafanya

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume mwenye ndoa ya 10+yrs ambaye hajawahi kumnyooshea mkewe mkono anyooshe kidole tumpe maua yake tafadhali.
 
Jamaa Sasa haeleweki
Mara hakuna 50/50
Leo anahoji Mwanaume akikosea afanyweje?

Usimpige Mkeo ni wazo zuri ila ukishaingia kwenye mahusiano nao, ndio utajaribiwa kama Mwana wa Nazareth kule Uyuda.

Usipompiga na kumkemea jiandae ukaliwe kichwani na dharau nyingi utaonyeshwa.
Ulisema umpige basi wewe ni Mume mkatili, mbaya na haufai

Rasmi jamaa leo ameingia kwenye trick za Wanawake ila hakuna uhuru kwa hivyo viumbe.
Usipo mtawala basi jiandae na maangamizi

Mimi nakudunda vizuri tu, na siku nitakayo kupiga nitahakikisha hutembei
Baada ya hapo ukiamua kuondoka au kubaki ni juu yako
 

Kimsingi hakuna sheria wala Haki ya kumpiga mtu mwingine iwe ni MKE au Mume.
Msingi Mkuu wa utibeli ni Upendo, Akili, Haki, utu, ukweli, na wajibu.

MKE/Mume hapigwi. Kama mmeshindwana mnaachana tuu. Kuwajibishana sio mpaka mpigane
 
Kimsingi hakuna sheria wala Haki ya kumpiga mtu mwingine iwe ni MKE au Mume.
Msingi Mkuu wa utibeli ni Upendo, Akili, Haki, utu, ukweli, na wajibu.

MKE/Mume hapigwi. Kama mmeshindwana mnaachana tuu. Kuwajibishana sio mpaka mpigane
Kwa hiyo mkuu you are last option ni kuachana!?

Mimi nina mtazamo tofauti kabisa
Kwangu kuachana ni last option
Mwanamke ni hana tofauti na mtoto
Ukikaa ndani lazima akuchokoe wenyewe wanaita kukupima
Hivyo onyesha misimamo yako kabisa
Huku ukimwambia hapa ni red line
Ila ninachowajua lazima atataka kuvuka ili aone utafanyaje.

Ukimwacha na kujifanya Gentleman
Jiandae na vimbwanga vyake.

N.B unaweza ukatumia saikolojia torture kwa mara ya kwanza, akizid huna namna ila hakikisha isiwe kwa namnaya ukatili,
Kuna namna mpenzi hukumbushwa kama naye sio mtata
 
Imeandikwa "UKIKAIDI UTAPIGWA TU"
Watibeli wanatokea mkoa gani mkuu
 
Usipompiga Mkeo hakika humpendi kwani umeamua kumtelekeza apotee. Mwanamke na Apigwe maadam Fimbo haziui.
 
Namna Gani?
 
Sijaona kokote katika mwili wa mke panapofaa kupigwa.

Msipige wake zenu🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…