Watoa povu

Watoa povu

Mama Sabrina

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
16,620
Reaction score
27,589
Nakumbuka nilikuwa nikirusha picha ya Ulimwengu watu wanatamani kufa wanatoa povu jamani kama mtu haumfikii kwa physical appearance si unanyamaza tu mbona hata sisi kina Agness wametuzid maumbo na tuliwapenda tu,,basi nilikuwa nikimrusha Ulimwengu kuna watu hawalali khaaa muacheni "he is my best friend"
Nna furaha pia mtu mkubwa humu ndani kunifollow kwenye page yangu ya insta hata sijaamini wozaaaaaaaa

Heko na shangwe kwa mme wangu G (soon nitamtaja)umenifanya nakuwa na furaha sana unanifanya naiona dunia yangu,unanifanya nakuona wa thamani zaidi kuliko mtu yeyote "Nakupenda G ,Nakupenda baba VSN" unajua nakupenda hata usipoandika humu leo wala kesho maana mim ndio sitaki ungekua ushajisema zamani tu ila sitaki mpaka nitakapotaka mimi wajua venye unavyonisikiliza mkeo yaan damu zetu zimepatana hakuna mfano hata apite jini mkata kamba gani hatoweza kuvunja maagano yetu tuko vizurii na tumejipanga vizuri tu ,kila mtu apambane na huba lake wala hakuna shida kabisa

Screenshot_2018-04-20-20-10-12-1.jpg
 
iiiii bana mbona yule G mweupe huyu mweusi

Chanzo uzi wako mmoja humu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbioooo mie nshafua bana mapovu siyataki(chanzo kichwa cha uzi)
G wangu sio mweusi hata kidogo ,hapa kuna story mbili tofauti,,usinipige tu ban [emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
Sawa mama!
Can't wait kumuona huyo G wako!
Ila asije akawa Nyani Ngabu manake kwenye ule Uzi ulisema ulipokea airport akitokea ughaibun!
Huenda akawa huyo mbeba box
Nope sio huyoo kabisa kwani ndo anaishi Us peke yake,watanzania waliopo jf na wanaoishi Marekani wapo wengii tu humu sema wengine hawasemi
Halaf G yupo Us lakin habebi boks kaajiiri wabeba boksi
 
Back
Top Bottom