Watoto 78,000 wafanywa wakimbizi ndani ya wiki moja DRC

Watoto 78,000 wafanywa wakimbizi ndani ya wiki moja DRC

Hawana mlengo wa dini yoyote, sio kama mazombi wa dini yenu ambao hutaja alla akbar wenu kabla kuchinja watu....
😆😆😆Dini ya kugombani mali ,wamevaa misalaba hao wajinga wanaua waafrica wenzao ...kule sudan kusini ni hivyo hivyo
 
Ndugu zetu wenye uchungu na Waarabu tunaomba kidogo muelekeze macho yenu kwa hawa weusi wenzetu wanaoteseka.
Humu utakuta kunao hata wa dini yenu kama dini ndio hufanya mkomalie kuwalilia Waarabu.


children

Displaced people seen in a refugee camp on the outskirts of Goma in North Kivu Province, Democratic Republic of the Congo on February 8, 2024. PHOTO | XINHUA
Escalating violence in Eastern Democratic Republic of the Congo (DRC) has forced at least about 78,000 children to flee their homes in the past week, with thousands now on the road to Goma, the capital of the eastern province of North Kivu, global charity Save the Children said on Thursday via a statement.

The renewed fighting between the DRC Armed Forces (FARDC) and rebels of the March 23 Movement (M23), a non-state armed group, has displaced at least 150,000 people, more than half of them children, since February 2, 2024.

Parents have reported that many children have been separated in the violence although the number of lost children remains unknown, said the statement.

Read: Thousands flee as conflict intensifies in East DRC

The use of artillery, drones, and explosives in Eastern DRC is killing and injuring civilians and damaging and destroying essential infrastructure, said Save the Children.

According to local media sources, 19 people have been killed and 27 others injured in the violence, including three young girls. A market was hit on February 7, and munitions also landed inside a school courtyard and close to a hospital, as all schools in the area remain closed.
Hao si issue. Usitutoe kwenye mambo ya msingi. Kule Wayahudi wanawatesa sana wa Palestina. Tutawalaani maana wanapiga mpaka wanapitiliza sasa.
 
😆😆😆Dini ya kugombani mali ,wamevaa misalaba hao wajinga wanaua waafrica wenzao ...kule sudan kusini ni hivyo hivyo

Wale ni wezi tu kama wewe, humo wako kila aina hata hawajuani kidini, ila nyie kwenye hiyo dini ya muarabu mnaua watu eti alla akbar.
 
Hao si issue. Usitutoe kwenye mambo ya msingi. Kule Wayahudi wanawatesa sana wa Palestina. Tutawalaani maana wanapiga mpaka wanapitiliza sasa.

Kule mna bahati sio Mchina au Mrusi, angepiga mpaka mseme, kwanza Mrusi hupiga carpet bombing, bahati yenu Myahudi kiaina ana bakisha bakisha.......
Turudi huku kwa weusi wenzio, achana na Waarabu wapigwe....
 
Kule mna bahati sio Mchina au Mrusi, angepiga mpaka mseme, kwanza Mrusi hupiga carpet bombing, bahati yenu Myahudi kiaina ana bakisha bakisha.......
Turudi huku kwa weusi wenzio, achana na Waarabu wapigwe....
Kwa hiyo unakiri kuwa Israel wameshindwa?
 
Genocide ndani ya DRC Congo ni mara 10 ya Gaza, lakini MSM hutosikia wakiwasemea kama wanavyofanya Gaza.
South Africa ingeanzia kutetea wakongo sio wapalestina

SA DRC inawatetea kwa videndo mwaka 2013 majeshi yake pamoja na ya tanzania ndio yaliwashinda m23

Na mwaka huu SADC : south africa malawi Tanzania ndio wako DRC!!
 
Nipeni hata watano niwalee
Umewaza mbali sana, hongera kwako
Russia alipovamia Ukraine na wananchi kukimbia makazi yao
Waingereza wengi walijitolea na kuwapokea majumbani kwao na huku serikali ikiridhia wapite mipakani na kuingia na kuchukuliwa na waliokubali kuwafadhili na kuwapa pa kulala na chakula
Wapo waliochukua familia nzima na wapo waliochukua individuals

Ila walisaidiwa sana
Sasa sisi wakija wakimbizi zaidi ya kuwaibia juu na kuwakamata kwa kusema wahamiaji haramu huku polisi wakiwapiga picha ya pamoja kama wamekama magaidi

Uwe na moyo wa hivyo, ila kwa sisi ukimuweka mmoja wanasema umehifadhi mhamiaji haramu na jela inakuhusu
 
Wale ni wezi tu kama wewe, humo wako kila aina hata hawajuani kidini, ila nyie kwenye hiyo dini ya muarabu mnaua watu eti alla akbar.
Makafiri hao ndio wasababisha wa vita ya wao kwa wao hapo congo na kule sudan kusini hata Uganda yale mauaji ya kimbari .....Kuwa makini na huo ujinga wako pumbavu.


Tena wafanye documentary plus investigative journalism uone kanisa lako lilivyokuwa na ujinga mwingi kiazi wewe😅😅
 
Ndugu zetu wenye uchungu na Waarabu tunaomba kidogo muelekeze macho yenu kwa hawa weusi wenzetu wanaoteseka.
Humu utakuta kunao hata wa dini yenu kama dini ndio hufanya mkomalie kuwalilia Waarabu.


children

Displaced people seen in a refugee camp on the outskirts of Goma in North Kivu Province, Democratic Republic of the Congo on February 8, 2024. PHOTO | XINHUA
Escalating violence in Eastern Democratic Republic of the Congo (DRC) has forced at least about 78,000 children to flee their homes in the past week, with thousands now on the road to Goma, the capital of the eastern province of North Kivu, global charity Save the Children said on Thursday via a statement.

The renewed fighting between the DRC Armed Forces (FARDC) and rebels of the March 23 Movement (M23), a non-state armed group, has displaced at least 150,000 people, more than half of them children, since February 2, 2024.

Parents have reported that many children have been separated in the violence although the number of lost children remains unknown, said the statement.

Read: Thousands flee as conflict intensifies in East DRC

The use of artillery, drones, and explosives in Eastern DRC is killing and injuring civilians and damaging and destroying essential infrastructure, said Save the Children.

According to local media sources, 19 people have been killed and 27 others injured in the violence, including three young girls. A market was hit on February 7, and munitions also landed inside a school courtyard and close to a hospital, as all schools in the area remain closed.
Unajisahaulisha...........turudi kwenye kawaida au ligi yetu ya kugawana pande

Ulikuwa kwa wanyonge wa ukraineSie tukawa kwa Mtemi rusia

Ukahamia kwa wababe Israel Sie tukawa kwa wanyonge wa hamas

Sasa mzunguko Ni Ule Ule anza kuwatetea wanyonge na Sie tutachagua wa kuwatetea

Hakuna kupangiana Hata Wewe na wenzako mnaweza kuwatetea na mkatosha Sana tuu
 
Unajisahaulisha...........turudi kwenye kawaida au ligi yetu ya kugawana pande

Ulikuwa kwa wanyonge wa ukraineSie tukawa kwa Mtemi rusia

Ukahamia kwa wababe Israel Sie tukawa kwa wanyonge wa hamas

Sasa mzunguko Ni Ule Ule anza kuwatetea wanyonge na Sie tutachagua wa kuwatetea

Hakuna kupangiana Hata Wewe na wenzako mnaweza kuwatetea na mkatosha Sana tuu

we akili huna
 
Genocide ndani ya DRC Congo ni mara 10 ya Gaza, lakini MSM hutosikia wakiwasemea kama wanavyofanya Gaza.
South Africa ingeanzia kutetea wakongo sio wapalestina
Mkuu una imani na machoko ya SA!?
 
[emoji38][emoji38][emoji38]Dini ya kugombani mali ,wamevaa misalaba hao wajinga wanaua waafrica wenzao ...kule sudan kusini ni hivyo hivyo
Sudan kusini vita imegeuka kuwa ya kidini pia,wale waislam weupe wanajaribu kufuta kizazi cha weusi ambao wengi ni christian,hali ni mbaya sana kwa kweli
 
Back
Top Bottom