Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe masikini unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
 
Ifike mahara baadhi ya mitazamo ya kimagharibi isituathiri kupitiliza. Ingekuwa tupo Chaina au India sawa ila kwa hapa Tz huo mtazamo wako ulioujua kisa elimu baki nao kwenye zip yako.

Ukikupendeza wewe na umaskin jishauri usizae alafu sisi na umasikini wetu tutazarisha, mbegu haziuzwi zipo kwenye kibubu.
Zipo mamlaka zinataka waafrika msizaliane wew bado unaringa kutia mimba 🤣. Acha sisi tutakusaidia.

Tutagawa wastan....
 
hata saba sawa asikutishe huyo
Kwa dunia ya sasa ni kweli mkuu watoto hawana faida yoyote sana sana ni mitihani tu Mungu atuepushe nayo.

Vijana tunakufa tukiwa wadogo sio rahisi tena vijana wa sasa kuja kushuhudia mafanikio ya watoto wao.

Binafsi nimeshazika wazazi wangu wote wawili kwa nyakati tofauti na hakuna ata mzazi wangu 1 alieshuhudia mafanikio yangu ama kuyafaidi.

Kwa hatua kama iyo utasema kuzaa kuna faida gan mkuu ?
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Uko sahihi kabisa mkuu .!
Unakuta mtu maskini anazaa mpaka watoto 12 hana hata uwezo wa kuwasomesha wanaishia darasa la saba wanaingia mtaani kujitafutia utadhani vitoto vya mbwa koko wakati huo mzee wao yuko busy anashinda amelewa inauma sana !
Bora kuzaa watoto wachache unaomudu kuwalea na kuwapa elimu bora na pia kuwaandalia pa kuanzia maisha maana kwa nchi yetu ni kawaida mtoto kumaliza hata masters na kukosa ajira anarudi mtaani kubeti
 
Kwa dunia ya sasa ni kweli mkuu watoto hawana faida yoyote sana sana ni mitihani tu Mungu atuepushe nayo.

Vijana tunakufa tukiwa wadogo sio rahisi tena vijana wa sasa kuja kushuhudia mafanikio ya watoto wao.

Binafsi nimeshazika wazazi wangu wote wawili kwa nyakati tofauti na hakuna ata mzazi wangu 1 alieshuhudia mafanikio yangu ama kuyafaidi.

Kwa hatua kama iyo utasema kuzaa kuna faida gan mkuu ?
Nakupa hii

Tunapoongelea swala la kuzaa kijiografia ni ongezeko la watu. Ongezeko la watu hutofautia baina ya nchi na nchi. Mfano kuna nchi zinauhitaji wa ongezeko la watu na kuna nchi inapaswa kupunguza au kudhibiti ongezeko la watu alkadhalika kuna nchi yenyewe inahitajika Just ku-balance tu ongezeko la watu na mfano wa nchi hizo ni za africa.
So nikirudi upande wako umuhimu wa kuzaliana kwa nchi yenye jiografia kama yetu bado upo. Wana demographic wanakwambia kuna nchi bado zipo katika hali nzuri kana kwamba wanaouwezo wa kuzalia hata watoto 12 na isiwe shida.

Issue ipo kwa watu binafsi, Serikali pamoja na mwiilngiliano kutoka mataifa ya magharibi.
 
Uko sahihi kabisa mkuu .!
Unakuta mtu maskini anazaa mpaka watoto 12 hana hata uwezo wa kuwasomesha wanaishia darasa la saba wanaingia mtaani kujitafutia utadhani vitoto vya mbwa koko wakati huo mzee wao yuko busy anashinda amelewa inauma sana !
Bora kuzaa watoto wachache unaomudu kuwalea na kuwapa elimu bora na pia kuwaandalia pa kuanzia maisha maana kwa nchi yetu ni kawaida mtoto kumaliza hata masters na kukosa ajira anarudi mtaani kubeti
Hapo kwenye Anaomudu kuwalea ndipo hapo hapo pia atazaa watoto 10 akidhani atwlaweza kuwamudu kumbe hamna kitu
 
Nakupa hii

Tunapoongelea swala la kuzaa kijiografia ni ongezeko la watu. Ongezeko la watu hutofautia baina ya nchi na nchi. Mfano kuna nchi zinauhitaji wa ongezeko la watu na kuna nchi inapaswa kupunguza au kudhibiti ongezeko la watu alkadhalika kuna nchi yenyewe inahitajika Just ku-balance tu ongezeko la watu na mfano wa nchi hizo ni za africa.
So nikirudi upande wako umuhimu wa kuzaliana kwa nchi yenye jiografia kama yetu bado upo. Wana demographic wanakwambia kuna nchi bado zipo katika hali nzuri kana kwamba wanaouwezo wa kuzalia hata watoto 12 na isiwe shida.

Issue ipo kwa watu binafsi, Serikali pamoja na mwiilngiliano kutoka mataifa ya magharibi.
Ok lakin ayo unayoyaongea ww iwe ni kwa nchi iliyoendelea sio kwa hizi nchi zatu za africa ambazo kwenye suala la afya tu bado tunasua sua hatujanyooka.

na mtu tayar awe amejipata ila hujajipata halaf uzae watt 12 na useme isiwe shida???

Yaani kwa kuwa serikali inasema tuendele kuzaa kwa wingi just kubalance nawe ndo uzae kwa kuwa serikali imesema? Serikali izi izi za africa zilizojaa ufisadi zisizojali shida za wapika kura wao ndo uwaamini! ???

Me naomba niishie hapa naona hatutamaliza kubishana apa 😀
 
Back
Top Bottom