Nakubaliana na kwa 100%Kwa Sasa maisha yanaenda Kwa mfumo kuzaa zaa tu ili watoto waje wajitafutie bila kuwatengeneza ili wafiti kwenye mfumo ni kumleta Ili aje ateseke,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na kwa 100%Kwa Sasa maisha yanaenda Kwa mfumo kuzaa zaa tu ili watoto waje wajitafutie bila kuwatengeneza ili wafiti kwenye mfumo ni kumleta Ili aje ateseke,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sahihi mimi na mtoto mmoja ila ananitoa mvi.Ndugu nao wananipigia kelele ukoo wetu mdogo nifyatue tuu.
Wenye watoto tumekuelewa vizuri tu una hoja, ila si rahisi kueleweka kwa akili za kawaida.Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Serikali ilishashindwa kutowa elimu bora.Umekaririshwa kuwa lazima wote wafike chuo kikuu na lazima wasome shule za kulipia!
Ndio maana unajipa stress kana kwamba hakuna maisha bila hayo!
😀 😀 😀Wenye watoto tumekuelewa vizuri tu una hoja, ila si rahisi kueleweka kwa akili za kawaida.
Nimeuza asset zangu nyingi sana kila inapotokea school fees inasumbuwa ili mradi wasome shule bora.
Wakati unahakikisha wanapata elimu bora na wewe ndio unazidi kuteketea usipokuwa makini unaweza kukata mwaka hujajikumbuka hata kufanya shopping ya kupiga pamba mpya.
Dah nakumbukaga mchango wa hasimu wangu mwamba Accumen Mo kwenye uzi flani bonge la mchango mwamba anakuambia watoto wanaleta furaha na faraja wanakupelekea upambane na upigane zaidi kwenye maisha. Napenda sana watoto hasa wa kike.Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Exactly hakuna mtu huyo, lakini hali halisi hutaki kutesa kiumbe innocent.Binafsi naamini hakuna mtu anataka awe na mtoto mmoja au wawili
anayebisha ameamua kubisha.Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Unaweza muzaa watoto lakini huna ndalama ya kuwaanda na maisha uzeeni hawatakisaidiaUsizae kesho usumbue watoto wa wenzio kukupikia uji na kukuvika pampasi.
Watoto wanaleta furaha kama account inapumuwa, kama mambo siyo ukiwaangalia unaweza kulia kwa kujiona una hatia kubwa mbele yao.Dah nakumbukaga mchango wa hasimu wangu mwamba Accumen Mo kwenye uzi flani bonge la mchango mwamba anakuambia watoto wanaleta furaha na faraja wanakupelekea upambane na upigane zaidi kwenye maisha. Napenda sana watoto hasa wa kike.
View attachment 3039068
Mkuu masahihisho. Bushi ana mabinti wawili.Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Kwanini unadhani/amini hao walipenda kuwa na watoto wachache?Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
1. Kuna jama moja alidhani akiacha pombe ndo atatajirika, sasa ni takribani miaka nitatu tangu aache pombe, ila umasikini wake unaendelea kua mbaya zaidi.Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?