Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Ardhi tele uzazi wa mpango sio sahihi kwa Africa still mapori tele ukitoka tu Kibaha mapori kibao walimaji na wafugaji hakuna.
We zaa tu,
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Wenye watoto tumekuelewa vizuri tu una hoja, ila si rahisi kueleweka kwa akili za kawaida.

Nimeuza asset zangu nyingi sana kila inapotokea school fees inasumbuwa ili mradi wasome shule bora.

Wakati unahakikisha wanapata elimu bora na wewe ndio unazidi kuteketea usipokuwa makini unaweza kukata mwaka hujajikumbuka hata kufanya shopping ya kupiga pamba mpya.
 
Wenye watoto tumekuelewa vizuri tu una hoja, ila si rahisi kueleweka kwa akili za kawaida.

Nimeuza asset zangu nyingi sana kila inapotokea school fees inasumbuwa ili mradi wasome shule bora.

Wakati unahakikisha wanapata elimu bora na wewe ndio unazidi kuteketea usipokuwa makini unaweza kukata mwaka hujajikumbuka hata kufanya shopping ya kupiga pamba mpya.
😀 😀 😀
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Dah nakumbukaga mchango wa hasimu wangu mwamba Accumen Mo kwenye uzi flani bonge la mchango mwamba anakuambia watoto wanaleta furaha na faraja wanakupelekea upambane na upigane zaidi kwenye maisha. Napenda sana watoto hasa wa kike.
 
Binafsi naamini hakuna mtu anataka awe na mtoto mmoja au wawili
Exactly hakuna mtu huyo, lakini hali halisi hutaki kutesa kiumbe innocent.

Mimi classmate wangu alikuwa mwana sana school yeye ana watoto 10 sasa hivi na nadhani na wawili kwa mchepuko, yeye hajali mambo ya quality school, shule za kata zipo.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
anayebisha ameamua kubisha.
 
Dah nakumbukaga mchango wa hasimu wangu mwamba Accumen Mo kwenye uzi flani bonge la mchango mwamba anakuambia watoto wanaleta furaha na faraja wanakupelekea upambane na upigane zaidi kwenye maisha. Napenda sana watoto hasa wa kike.

View attachment 3039068
Watoto wanaleta furaha kama account inapumuwa, kama mambo siyo ukiwaangalia unaweza kulia kwa kujiona una hatia kubwa mbele yao.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Mkuu masahihisho. Bushi ana mabinti wawili.

Halafu mwijaku ana mmoja tu.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Kwanini unadhani/amini hao walipenda kuwa na watoto wachache?
 
wanaopinga wengi mtakua wasukuma. kuna mmoja msukuma kipindi nabeba tofali tulikua tunabeba naye tofali. amemzalisha mkewe watoto 8 wote wa kike. akawa kuna mkruya anambembeleza amchukue yule wa 2 awe dada wa kazi ili akipata hela amsaidie kulea wenzake. unaona akili hiyo? mtu kama huyu ni wa kumtia sindano ya ugumba. jamaa akamchukua binti akawa anaishia kupigwa na kunyanyaswa na bosi wake.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
1. Kuna jama moja alidhani akiacha pombe ndo atatajirika, sasa ni takribani miaka nitatu tangu aache pombe, ila umasikini wake unaendelea kua mbaya zaidi.

2. Kuna jama ni jirani ana watoto wa wiwili ila wote wanasoma shule za st kayumba na bado anaendelea kuishi kwenye nyumba ya kupanga wakati mualimu mwenzie ana wake wawili na watoto 8 ila wote amewajengea na baadhi ya watoto wanasoma shule za private.

3. Kuna ndugu yangu ana watoto wawili tu, ila anaenda kwa ndugu zake wampe watoto wa kuka nae kwasbb wa kwake wote wawili wa ligoma kuenda shule na mama yao alisha fariki.

Hakuna uhusiano kati ya idadi ya watoto na maisha mazuri ni issue ya kichwa cha muhusika tu.........jamii ya waarabu inazaliana sanaa hapa Tanzania ila wana maisha mazuri na wa meajiri watu wenye watoto wawili kwanini?
 
So duniani ulizaliwa ufanye nini kama hutakuwa na watoto? Maisha ni mazuri sana ukiwa na familia. Yani hata unavyoenda kupambana kuna spirit inakuongoza na kukupa ujasiri pindi unapoifikiria familia yako. Kupata na kukosa ni matokeo lakini familia kwanza. Kindly mtoa mada angalia wosia wa marehemu usijekuwa mfupi, marehemu alizaliwa, marehemu amefariki, jina la bwana lihimidiwe .......... Pambana uache chata zako Duniani the rest is history!
 
Back
Top Bottom