Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

So duniani ulizaliwa ufanye nini kama hutakuwa na watoto? Maisha ni mazuri sana ukiwa na familia Yani hata unavyoenda kupambana kuna spirit inakuongoza na kukupa ujasiri pindi unapoifikiria familia yako. Kupata na kukosa ni matokeo lakini familia kwanza. Kindly mtoa mada angalia wosia wa marehemu usijekuwa mfupi, marehemu alizaliwa, marehemu amefariki, jina la bwana lihimidiwe .......... Pambana uache chata zako Duniani the rest is history!
Waarabu ni business oriented halafu ni waaminifu.

Mzee wangu marehemu alikuwa mtu wa transaction sana kwenye mabenk, mdreva tax wake ni wawili tu wote ni wapemba na watu wazima.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Hii paragraph ya kwanza imenichekesha sana.
 
  • Kicheko
Reactions: G4N
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
fanya hivi, nenda kawaue waliokuzaa uwashikishe adabu kwa kukuleta dunia ili uje kuandika upuuzi JF na upate taabu duniani
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Hata Balozi IGP Mstaaf Simon Siro ana watoto wawili tu
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
🤣🤣🤣daa ujasiri anaupat wapi
 
Hata Balozi IGP Mstaaf Simon Siro ana watoto wawili tu
Kwa huyu atakuwa na matatizo, mgao wa chakula cha bure Polisi, rushwa kibao na kabila lake kuwa na mke mmoja na watoto wawili ni umaskini.

Huyu kijijini kwao hawezi kukaa kikao cha wazee labda ataheshimiwa kwa madaraka tu aliyopitia.
 
Jikubali hupendi watoto ama huna uwezo wa kuwahudumia watoto na mama yao
Utajiri wa wenye hali duni ni watoto
Utajiri wa wenye hali nzuri (matajiri) ni kuwa na mali (fedha, ardhi, nyumba magari etc)
Ndio maana masikini atazidi kuwa masikini na tajiri atazidi kuwa tajiri.

Tajiri hazai watoto wengi kwa sababu anajua kuzaa watoto wengi ni tabia ya umasikini.

Masikini anadhani kuwa watoto ni investment, tajiri anajua watoto ni liability.

Ndipo tofauti ilipo.

Unakuta bodaboda ana wake wawili na watoto saba.

Huyu ataendelea kuwa masikini vizazi hadi vizazi, hadi mtume atafufuka yesu atarudi, atamkuta huyu jamaa na vizazi vyake ni masikini kajamba nani mbwa kachoka!
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini hivi siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Once again

KRRAAPPPPP
 
Uko sahihi kabisa, mimi hawa wawili tu wananipeleka puta!
Mkuu unajitambua.

Kama unatambua maana ya mtoto, utagundua kuwa watoto wawili wanakunconsume sana.

Mimi watoto wangu bado wako msingi, mimi mtoto wangu sitaki arudie nguo, kuanzia uniform hadi viatu, nataka ale vizuri kuanzia breakfast mpaka kila kitu..

Hayo yanawezekana kirahisi, kitu kigumu ni kuwa mahitaji ya mtoto hayaishii hapo, anahitaji emotional care, unahitaji muda wangu...

Anahitaji niwe nae, nicheze nae, niende nae kwny mpira, tucheze gemu na nimfundishe pia mambo ya darasani.

Hii inahitaji muda mwingi.

Nimekuja kugundua kitu kinyume na wengi wanavyodhani.

Mtu anaependa sana watoto kamwe hawezi kuzaa watoto wengi.

Watu makatili wa roho mbaya na wasiojali watoto ndio yanazaa watoto wengi kwa lengo la kuja kuwatumika kama watumwa, yaani mtu anazaa watoto, ili hao watoto waje wamlee yeye!

Watoto wanashinda njaa na nguo zilizoraruka mzazi hajali.

Mtoto anaishi kwa shida mzazi wala haumii. Hawa ndio wanafyatua tu watoto. Hajali hao watoto wataishije! cc@Lovebird
 
wanaopinga wengi mtakua wasukuma. kuna mmoja msukuma kipindi nabeba tofali tulikua tunabeba naye tofali. amemzalisha mkewe watoto 8 wote wa kike. akawa kuna mkruya anambembeleza amchukue yule wa 2 awe dada wa kazi ili akipata hela amsaidie kulea wenzake. unaona akili hiyo? mtu kama huyu ni wa kumtia sindano ya ugumba. jamaa akamchukua binti akawa anaishia kupigwa na kunyanyaswa na bosi wake.
Maumivu inafika kipind una shazi la watoto ila wote chenga hakuna mweny maendeleo hata mmoja , unaanza kuingia simanzi tena unajishtukia kweny imani za kijinga mara umerogwa
 
Laana nyingine za kujitakia..Ilikuwa na faida gani kukufuru namna iyo unaweza kuzaa mtoto mmoja na akawa Shoga vile vile.
Vijana tupunguze ujuaji wa kuongea kila kitu
Achana nao hawa vijana wana stress za maisha zinazosababishwa na uvivu wa kujitafuta wakitegemea kuna mtu atawasaidia.
Huwez sikia uiinga kama huu toka kwa mtu aliye serious kupambana na maisha.
Hivi vi generation Z vijinga jinga kutwa kushinda mitandaoni wakifikiri kufanikiwa kirahis ndio akil zao.
Wanataka kumudu maisha kwa google adds na you tube channels badala ya kufanya real work
 
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Usitupangie maisha....
 
Back
Top Bottom