Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Kumbe watoto huwa wanakuja wenyewe tu!

Mitazamo kama hii huwa inanitia kichefuchefu hadi natamani kujitoa JF.
Watoto wanakuja tu mkuu, unless uvae condom au usiwe na uwezo wa kuzalisha, fyatua watoto wewe acha uoga

Soma Zaburi ya 127:3-5

3. Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA,Uzao wa tumbo ni thawabu.

4. Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.

5. Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo.Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
tafuta hela ,watoto ni faida
usiwaige hao watoa kafara
 
Tuzae watoto tunaoweza kuwahudumia sio kuzaa zaa tu kisa kizazi kipo. Huwa naona huruma unakuta vitoto vimepangana kama ngazi maisha magumu kusoma kwenyewe kwa tabu, chakula hawali wakashiba alafu mtu aje aseme zaa tu wakati ukijicheki wewe mwenyewe kujihudumia ni kisanga, haijakaa sawa.
 
Watoto wanakuja tu mkuu, unless uvae condom au usiwe na uwezo wa kuzalisha, fyatua watoto wewe acha uoga

Soma Zaburi ya 127:3-5

3. Tazama, watoto ni urithi kutoka kwa BWANA,Uzao wa tumbo ni thawabu.

4. Kama mishale mkononi mwa shujaa, Ndivyo walivyo watoto wa ujanani.

5. Heri mtu yule Aliyelijaza podo lake hivyo.Naam, hawataona aibu Wanaposema na adui langoni.
Mkuu, kama unasapoti wazo la kufyatua watoto kama maagizo ya biblia, nasikitika kukutaarifu kuwa biblia na Quran ni kati ya vitabu vilivyopitwa na wakati.

Kama unazaa watoto, zingatia kuwa unawazaa ili uwalee na kuwatunza na wala sio kinyume chake.

Hakikisha una uwezo wa kuwapatia malezi bora, na uwapatie elimu bora, siyo hizi shule za vumbi.

Hakikisha kila mtoto umemuandalia mali ya kutosha kumfanya tajiri ukubwani.

Kama unaweza kutimiza hayo, nakuunga mkono uzae hata watoto ishirini.

Hizi bla bla za mtoto kuja na riziki yake ni upuuzi.
 
Mkuu, kama unasapoti wazo la kufyatua watoto kama maagizo ya biblia, nasikitika kukutaarifu kuwa biblia na Quran ni kati ya vitabu vilivyopitwa na wakati.

Kama unazaa watoto, zingatia kuwa unawazaa ili uwalee na kuwatunza na wala sio kinyume chake.

Hakikisha una uwezo wa kuwapatia malezi bora, na uwapatie elimu bora, siyo hizi shule za vumbi.

Hakikisha kila mtoto umemuandalia mali ya kutosha kumfanya tajiri ukubwani.

Kama unaweza kutimiza hayo, nakuunga mkono uzae hata watoto ishirini.

Hizi bla bla za mtoto kuja na riziki yake ni upuuzi.
Acha uoga, kipindi cha kuhangaika na hao watoto ni kifupi tu, yaani from 0-23 hapo anakua amameliza shule, mimi ninao kama 4 mpaka sasa, na wengine nasubiri DNA

Kimsingi, akiingia tu tumboni hatolewi, nakomaaa na mama yake mpaka aje aone furaha za Yanga na SGR ya mwendo kasi, dunia tamu asikuambie mtu, hizi beers tukiondoka tunawaachia waendeleze libeneke
 
Acha uoga, kipindi cha kuhangaika na hao watoto ni kifupi tu, yaani from 0-23 hapo anakua amameliza shule, mimi ninao kama 4 mpaka sasa, na wengine nasubiri DNA

Kimsingi, akiingia tu tumboni hatolewi, nakomaaa na mama yake mpaka aje aone furaha za Yanga na SGR ya mwendo kasi, dunia tamu asikuambie mtu, hizi beers tukiondoka tunawaachia waendeleze libeneke
Sio from 0 to 23 tu..

Unatakiwa uwaachie urithi wa mali, tena mali nyingi ili nao wawe na uwezo wa kunywa hizo bia.

Kama unaweza hivyo nakuunga mkono.
 
Ukiwa na akili timamu huwezi shadadia kuzaa watoto wengi usioweza kuwamudu.
Zaidi zaidi ni kujiongezea na kuwaongezea shida hao watoto.
Juzi kati kuna uzi uliletwa hapa, mwanamke analalamika amezaa watoto wanne kwa kisu, analalamika tatizo ni nini?

Mimi nikawa nashangaa, anazaa watoto wanne mpaka leo, tatizo ni nini?
 
Elon Musk ana Watoto sio chini ya 10 yaan ana Watoto 12 na sio masikini hizo mentality zenu za Watoto umasikini acheni

Watoto hawaleti umasikini Watoto hawakuambukizi umasikini
Hujaelewa maudhui ya mada hii. Elon musk kwa pesa alizonazo alipaswa kuzaa hata watoto 100.

Mada inawakumbusha maskini kuacha kuzaa, maana hawana cha kuwapa watoto wala kuwarithisha.
 
Hujaelewa maudhui ya mada hii. Elon musk kwa pesa alizonazo alipaswa kuzaa hata watoto 100.

Mada inawakumbusha maskini kuacha kuzaa, maana hawana cha kuwapa watoto wala kuwarithisha.
Alafu Wanawake mpunguze ujinga kuna Manzi nilimfukuzia Mwaka Jana akanitolea cha mbavu tena Maneno makali Mno angekua mtu mwingine angejipiga kitanzi na kuchukua maamuzi magumu ya kujitoa Uhai, sasa basi siku zimeenda Manzi namshangaa amerudi kwangu na speed ya rocket jet yaan ananiganda km ruba katika kumdadisi kumbe alikua na lijanaume huko wameendelea na mahusiano sasa sijui km kamfanyaje sasa hivi anauguza kidonda cha Siri ambacho anashindwa kumueleza hata Mama yake Mzazi sababu ni Jambo la aibu, now anaanza kuniganda Mimi nimfichie aibu, hivi huyu mtu alinikataa tena kwa Maneno makali namkumbusha anasema hakumbuki, hivi nyie Wanawake hua mnafikiri kabla ya kutenda kweli? Demi Kalpana Kapeace binti kiziwi Midekoo
 
Alafu Wanawake mpunguze ujinga kuna Manzi nilimfukuzia Mwaka Jana akanitolea cha mbavu tena Maneno makali Mno angekua mtu mwingine angejipiga kitanzi na kuchukua maamuzi magumu ya kujitoa Uhai, sasa basi siku zimeenda Manzi namshangaa amerudi kwangu na speed ya rocket jet yaan ananiganda km ruba katika kumdadisi kumbe alikua na lijanaume huko wameendelea na mahusiano sasa sijui km kamfanyaje sasa hivi anauguza kidonda cha Siri ambacho anashindwa kumueleza hata Mama yake Mzazi sababu ni Jambo la aibu, now anaanza kuniganda Mimi nimfichie aibu, hivi huyu mtu alinikataa tena kwa Maneno makali namkumbusha anasema hakumbuki, hivi nyie Wanawake hua mnafikiri kabla ya kutenda kweli? Demi Kalpana Kapeace binti kiziwi Midekoo
Kwani mada inasemaje kuhusu hilo?
 
Kwani mada inasemaje kuhusu hilo?
Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Ushanielewa kwa hio hua mnafikiri kabla ya kutenda au mnafikiri kabla ya kutendwa?
 
Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Ushanielewa kwa hio hua mnafikiri kabla ya kutenda au mnafikiri kabla ya kutendwa?
Ungemuuliza huyo aliyekutenda, mimi nitajuaje?
 
Alafu Wanawake mpunguze ujinga kuna Manzi nilimfukuzia Mwaka Jana akanitolea cha mbavu tena Maneno makali Mno angekua mtu mwingine angejipiga kitanzi na kuchukua maamuzi magumu ya kujitoa Uhai, sasa basi siku zimeenda Manzi namshangaa amerudi kwangu na speed ya rocket jet yaan ananiganda km ruba katika kumdadisi kumbe alikua na lijanaume huko wameendelea na mahusiano sasa sijui km kamfanyaje sasa hivi anauguza kidonda cha Siri ambacho anashindwa kumueleza hata Mama yake Mzazi sababu ni Jambo la aibu, now anaanza kuniganda Mimi nimfichie aibu, hivi huyu mtu alinikataa tena kwa Maneno makali namkumbusha anasema hakumbuki, hivi nyie Wanawake hua mnafikiri kabla ya kutenda kweli? Demi Kalpana Kapeace binti kiziwi Midekoo
Donda gani tena hilo la siri jamani shemela??
 
Rapper Young Thug aliwahi kusema kwamba anatamani watu maskini wasiwe na uwezo wa kuzaa watoto.

Mtu maskini akizaa watoto anaongeza maskini wengine duniani.

Kabla ya kuleta kiumbe duniani hakikisha utaweza kumhudumia na kumtimizia mahitaji yake yote, Sio kuzaa zaa kama panya au simbilisi halafu utegemee msaada wa ndugu au serikali.
 
Donda gani tena hilo la siri jamani shemela??
Donda ndugu sijajua Ila anasema ana donda la Siri ambalo hata kumwelezea mtu anaona aibu na hilo donda kalipata huko alikokua anakukuruka na huyo Mwanaume alipoona amepata donda la Siri akamtimua na mahusiano yameisha hapo akarudi kwa Bibi yake sasa anajiuguza ndio kunikumbuka Mimi kwamba niliwahi mpigia Zeze akanipiga cha ubavu, kwa hio hapo unazungumziaje shemela wangu wa faida ?
 
Back
Top Bottom