Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

Najuta kuzaliwa na wazazi masikini na mbaya wakaaga mpambano mapema, although wamenifanya niwe strong na nihustle sana mpaka kuwa na uhakika wa kuweza kujilisha, kulisha watoto wangu na kusaidia baadhi ya nnaoweza kuwasaidia. Hii ilinifanya nizae watoto wawili tu maana ndio Nina uwezo nao wa kuwahudumia. Masikini usiye na uhakika wa kipato tafadhali sana tumia condom, hawa watu maisha yamewapiga hata hiyo child support Kuna wengine wanaitamani. Maamuzi unayo mwanaume hawa wenzetu uvae condom usivae wala hawajari.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Hata mimi ninakubaliana na ukisemacho hasa kwa kuwachukulia wazazi wako kama mfano.
Ninachofahamu ni kuwa wanajutia sana kwa kosa la kukubali mimba iliyopelekea uwepo wako ikatungwa.
 
Amua kufariki mkuu ili na wewe usije kushuhudia mafanikio ya wanao.
Kwa dunia ya sasa ni kweli mkuu watoto hawana faida yoyote sana sana ni mitihani tu Mungu atuepushe nayo.

Vijana tunakufa tukiwa wadogo sio rahisi tena vijana wa sasa kuja kushuhudia mafanikio ya watoto wao.

Binafsi nimeshazika wazazi wangu wote wawili kwa nyakati tofauti na hakuna ata mzazi wangu 1 alieshuhudia mafanikio yangu ama kuyafaidi.

Kwa hatua kama iyo utasema kuzaa kuna faida gan mkuu ?
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Ili binadamu waendelee kuwepo duniani ni LAZIMA wazaliane

Unaposema hakuna UMUHIMU wowote wa kuzaa watoto maana yake ni kwamba hakuna umuhimu wowote wa binadamu kuendelea kuwepo duniani

Binadamu waliokuwepo hai miaka 200 nyuma wote wamekufa, wasinge zaliana maana yake hata wewe usingekuwepo
Ili watu waendelee kuwepo miaka 200 mbele baada ya kuwa sisi wote ambao tupo hai tukifa ni LAZIMA sisi tuliopo tuzaliane
 
Najuta kuzaliwa na wazazi masikini na mbaya wakaaga mpambano mapema, although wamenifanya niwe strong na nihustle sana mpaka kuwa na uhakika wa kuweza kujilisha, kulisha watoto wangu na kusaidia baadhi ya nnaoweza kuwasaidia. Hii ilinifanya nizae watoto wawili tu maana ndio Nina uwezo nao wa kuwahudumia. Masikini usiye na uhakika wa kipato tafadhali sana tumia condom, hawa watu maisha yamewapiga hata hiyo child support Kuna wengine wanaitamani. Maamuzi unayo mwanaume hawa wenzetu uvae condom usivae wala hawajari.
Mkuu wazee wako wametimiza wajibu wao wa kukuleta duniani na kukulea kwa uwezo wao, na wewe timiza wajibu wako kutoboa
 
Mkuu wazee wako wametimiza wajibu wao wa kukuleta duniani na kukulea kwa uwezo wao, na wewe timiza wajibu wako kutoboa
Mkuu kama wewe ni mkristo na unaamini katika maandiko, moja ya mstari katiba biblia unasema, Mithali 13:22 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki. Mwisho wa kunukuu.

Agizo la kwanza la Mungu kwa wanadamu alipowaumba na kuwaweka katika uso wa nchi ni wazae na kuijaza dunia, lakini pia Mungu huyo huyo anataka uwaachie wajukuu zako urithi, yani uwape watoto wako mali na hadi wajukuu uwaachie urithi. Sasa mzazi asipotimiza wajibu wake ndio mambo yanakuwa hivyo. Tunaacha kujitafuta toka tuko watoto sababu wazee wetu wengine walikula bata sana hadi wanaondoka wanaacha laana na madeni.
 
Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.

Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.

Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.

Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?

Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe mpuuzi unayenuka kikwapa kwa umaskini, unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Zaeni muongezeke muijaze dunia.
 
Baba na mama ako wasingezaa watoto wengi wewe ungekuwepo maana wewe ni mtoto wa 5 wangeishia 2 au 1
 
Back
Top Bottom