Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa dunia ya sasa ni kweli mkuu watoto hawana faida yoyote sana sana ni mitihani tu Mungu atuepushe nayo.
Vijana tunakufa tukiwa wadogo sio rahisi tena vijana wa sasa kuja kushuhudia mafanikio ya watoto wao.
Binafsi nimeshazika wazazi wangu wote wawili kwa nyakati tofauti na hakuna ata mzazi wangu 1 alieshuhudia mafanikio yangu ama kuyafaidi.
Kwa hatua kama iyo utasema kuzaa kuna faida gan mkuu ?
Kwahiyo kwa mujibu wa Bibilia “maneno matakatifu ya Mungu” yanaelekeza masikini wasio na uwezo wa kuachia urithi hadi wajukuu basi wasizae watoto?Mkuu kama wewe ni mkristo na unaamini katika maandiko, moja ya mstari katiba biblia unasema, Mithali 13:22 Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki. Mwisho wa kunukuu.
Agizo la kwanza la Mungu kwa wanadamu alipowaumba na kuwaweka katika uso wa nchi ni wazae na kuijaza dunia, lakini pia Mungu huyo huyo anataka uwaachie wajukuu zako urithi, yani uwape watoto wako mali na hadi wajukuu uwaachie urithi. Sasa mzazi asipotimiza wajibu wake ndio mambo yanakuwa hivyo. Tunaacha kujitafuta toka tuko watoto sababu wazee wetu wengine walikula bata sana hadi wanaondoka wanaacha laana na madeni.
Mi nitakuuliza: Unataka watoto wawili kwani wewe ni OBAMA?Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe masikini unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Hiyo tafsiri ni mbovu kumbuka hata iweje hatuwezi kuepuka uwepo wa vibaka mjini hata vijijini, kwan binadamu hatupo sawa ,lakin hii pia imekuja kutupatia maana halisi ya kutegemeana,je kungekua hakuna vibaka polisi wangekua na kazi gani?Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe masikini unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Jamaa alihasiwa ,hana uwezo wa kuzalishaKauli yako hii ni kufuru mbele ya mwenyezi Mungu
KabisakabisaTuzae watoto tunaoweza kuwahudumia sio kuzaa zaa tu kisa kizazi kipo. Huwa naona huruma unakuta vitoto vimepangana kama ngazi maisha magumu kusoma kwenyewe kwa tabu, chakula hawali wakashiba alafu mtu aje aseme zaa tu wakati ukijicheki wewe mwenyewe kujihudumia ni kisanga, haijakaa sawa.
Wapo waliozaa watoto wengi na wakatelekezwaWapo waliozaa watoto kibao halafu wakafa wote, wazazi wakabaki peke yao uzeeni. Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu
Watanzania wengi wanazaa bila mpangolio. Ndio maana kumejaa wahuni kila kona . Mtu ana watoto 6, kapanga chumba kimoja, kipato kwa siku elfu 10 , unategemea nini kwa mtu kama huyo. Unawapa shida watoto wako tu.Ukiwa na akili timamu huwezi shadadia kuzaa watoto wengi usioweza kuwamudu.
Zaidi zaidi ni kujiongezea na kuwaongezea shida hao watoto.
Mama yangu mkubwa ana watoto 8, lakini hata wa kumuangalia hakuna. Shida tupu.Wapo waliozaa watoto wengi na wakatelekezwa
Tatizo mnayatumiaje hayo mapori? Hakuna mantiki ya kuzaa watoto usioweza kuwamudu. Tunazaa lakini kuwajibika sifuri.Ardhi tele uzazi wa mpango sio sahihi kwa Africa still mapori tele ukitoka tu Kibaha mapori kibao walimaji na wafugaji hakuna.
We zaa tu,
Daah ila hii ya kuishi room moko na watoto haijakaa sawa kabisa.Watanzania wengi wanazaa bila mpangolio. Ndio maana kumejaa wahuni kila kona . Mtu ana watoto 6, kapanga chumba kimoja, kipato kwa siku elfu 10 , unategemea nini kwa mtu kama huyo. Unawapa shida watoto wako tu.
Shida ipo kwenye mgao wa keki ya taifa hatuna viongozi tuna watawalaWatanzania wengi wanazaa bila mpangolio. Ndio maana kumejaa wahuni kila kona . Mtu ana watoto 6, kapanga chumba kimoja, kipato kwa siku elfu 10 , unategemea nini kwa mtu kama huyo. Unawapa shida watoto wako tu.
Ndio hali halisi watu wengi hapa TanzaniaDaah ila hii ya kuishi room moko na watoto haijakaa sawa kabisa.
Unategemea mgao wa keki Africa? Utajuta kuzaliwa.Shida ipo kwenye mgao wa keki ya taifa hatuna viongozi tuna watawala
Labda huelewi kuwa nchi zilizokuwa zinazaliana kidogo sasa hivi wanahaha watu wazae.Miaka ya 1980 kurudi nyuma watoto walikuwa sehemu ya nguvu kazi ya familia. Hivyo mtu akiwa na watoto wengi alihesabika kana kwamba anamiliki matrekta kadhaa ya kumsaidia ktk kilimo.
Siku hizi mambo yamebadilika. Watoto hawana thamani tena, sana sana wamegeuka kuwa sawa na kujitwisha zigo la misumari kichwani. Watoto wanateseka na mzazi anateseka.
Kuzaa tuwaachie matajiri ambao wana mali za kurithisha watoto wao. Wewe mwenye kajumba kamoja na gari lako la mkopo acha kuzaa, utatujazia vibaka na wadangaji mitaani.
Si mnaona mlundikano wa vijana ambao ni vibaka na madadapoa mijini na vijijini siku hizi? Au mnadhani hao vijana walijizaa?
Obama ana watoto 2.
W. Bush ana mtoto 1.
Clinton ana mtoto 1.
.
Wewe masikini unapata wapi ujasiri wa kuzaa watoto?
Je katika vifungu vya neno nilivyoviweka hapo juu Kuna maneno yoyote kati ya hayo uliyoweka? Kuna sehemu biblia imeandika masikini wasizae au ni utashi wako tu?Kwahiyo kwa mujibu wa Bibilia “maneno matakatifu ya Mungu” yanaelekeza masikini wasio na uwezo wa kuachia urithi hadi wajukuu basi wasizae watoto?