Watoto hawana faida, hasa kwa masikini. Kuzaa watoto ni mateso ya kujitakia tu

kwaiyo sasa bosi mbona haujasema yupi kati ya hao uliowatag apo ndo ana kidonda sirini? au basi nimekumbuka hayanihusu.
Yaan ni hivi Mwanamke akikwambia Mimi ni mwanakwaya bro toka nduki Mwanamke akikwambia Mimi ni mlokole bro hio ni hatari toka nduki akikwambia Mimi nina kidonda cha Siri bro Wewe sio Dakota acha kumwonea huruma toka nduki,
 
Pesa sina,hata watoto nikose hapana Haiwezekan
 
Watu wanazaa watoto sio sababu wana faida. Bali sababu wanataka familia. Familia ni kitu muhimu kwa binadamu kuhakikisha bado ni mzima kiakili. Ili waishi maisha kwa "sababu" na furaha wakiwa pamoja. Na mwisho wa siku wasife peke yao. Otherwise maisha hayana maana.

Wewe wazazi wako waliamua tu kukuzaa kwa sababu hizo nilizozisema ila bila kujua. Kama walikuzaa ili uje kuwa faida kwao basi ni sahihi wewe kuja na statement ya kipuuzi kama hii. Because it means you're a brainless pig. A literal pig. I mean it.

Personally nataka nipate watoto kama wanne hivi, na nataka nihakikishe tunaishi the best life on this planet. Na sio sababu nataka faida kutoka kwao.

Ukijiona hutaki kuja kuwa na familia basi wewe sio mzima kiakili au kimwili. Na pia kuna uwezekano utakuwa wale wanachama wa upinde wa mvua. Wale viumbe ni walishakufa kitambo imebaki miili yao inayonuka na kuchafua hali ya hewa duniani.

Wewe mleta mada utakuwa mmoja kati ya hayo.
 
Tatizo tunazaa watoto wengi hata uwezo wa kulea hatuna hata kuwasomesha na kuwapa mitaji ya kibiashara mtu anataka azae watoto 8 pia hata wawili hana uwezo wa kuwatengenezea njia zuri za maisha hana, haya matatizo yako afrika sana.
 
Unaweza kuzaa watoto hata 30. Kama unawezo wa kuwamudu upo kuliko kuzaa watoto wengi hata kuwapa shibe huwezi hii ndo mwanzo wa kuzalisha
 
Watoto hawana FAIDA kama wewe ulivyo hauna FAIDA Kwa taifa na wazazi wako maana na wewe ni mtoto wa mtu pia ....
 
Mimi Nina mtazamo wangu nawewe una mtazamo wako, tuishi humo. Nimekulia familia duni mzee alifariki mapema hali kadharika na bi mkubwa pia. Kitendo cha mimi Leo kuweza kufanya mambo yangu freely, kuwapeleka watoto shule yenye ahueni na sio kayumba kwangu ni ushindi. Ila along the way ndio nikagundua kuzaa zaa hovyo ukiwa huna pesa ni umasikini zaidi. Tuishi
 
Unaweza kuzaa watoto hata 30. Kama unawezo wa kuwamudu upo kuliko kuzaa watoto wengi hata kuwapa shibe huwezi hii ndo mwanzo wa kuzalisha
Zaa kadri ya uwezo wako wa kuwahudumiaa!! Usisumbue wenzio kwa kuwakopa kuwa mara Leo unadaiwa ada, kesho chakula hakuna nyumbani watoto watalala njaa.....
 
Nakazia
 
Reactions: G4N
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…