Watoto kutegeana kutunza m/wazazi na kuwatelekeza ni janga linalokua kwa kasi nchini. Wewe umejipangaje?

Watoto kutegeana kutunza m/wazazi na kuwatelekeza ni janga linalokua kwa kasi nchini. Wewe umejipangaje?

Wazazi wanazaa watoto 8 ila cha ajabu hao watoto 8 wanashindwa kuwatunza wazazi wawili
 
Sijaiosoma yote,ila aliyeandika mada hii (kama kumbukumbu zangu ziko sawa) nakumbuka kumsoma humu kwenye uzi aliouanzisha mwenyewe akiwa-challenge wanaowaza kuwatunza au wanaowatunza wazazi wao.

Ktk hali ya kawaida kumtunza mzazi haupaswi mtu kukumbushwa na yeyote yule iwe na vitabu vya dini au chochote kile kwa sababu zozote zile.
 
Utawapa malezi mama Yao anawapa sumu baba yenu alikuwa mlevi Malaya TU bila mimi msingesoma,kwani hujui upo ugomvi wa asili kati ya hizi jinsia mbili
Yumkini tusifike mbali kiasi hiki.

Hizo ni ajali za maisha siyo kila mtu zitamkuta kama mama yangu aliniambia hivyo au wewe alikuambia hivyo haimaanishi wote waliambiwa hivyo.
 
Utawapa malezi mama Yao anawapa sumu baba yenu alikuwa mlevi Malaya TU bila mimi msingesoma,kwani hujui upo ugomvi wa asili kati ya hizi jinsia mbili
Mwambie huyu jamaa Huwa anahisi Kila kitu no juhudi tu hakuna kudra!!

Mwambie watoto wakikua Wanasema "hakuna kama mama"hata kama ulisomesha international!!
 
Mkuu

Unaakili mno aiseh!

Nadhani na umri wako umeenda!

Hasa sisi wanaume aiseh!kuwajali wazazi inategemea aina ya mke ulienae aiseh!!

Hata kama una roho nzuri sana utajikuta unafeli tu!!
Ushindwe kumjali mzazi kisa mke due kwani ukiwa unampa unamwambia wife.
 
Wewe ukiwa kijana unao unazaa watoto unawapanga kama team ya Mpira, huwapi sapoti ya maana, unaongeza michepuko na vimada.

Pesa zinaishia kwenye Pombe unasubiri baadae uanza kulalamikia watoto?

Huono Kikwete hadi leo anampigania Mwanaye apate mafanikio?

Hujaona 2010 hadi 20215 jinsi Mzee Mwinyi alivyokuw akimpigania mwanawe ili awe rais?

Hujaona Jinsi Mzee January Makamba alivypambana kuhakikisha Mtoto anabaki kwenye Mfumo?

Mafanikio ya Watoto kwa asilimia kubwa hutokana na malezi na sapoti ya Wazazi.
Ukweli mchungu
 
Ili kuondoa hizo shida kila mtu aangalie maisha yake ya kesho
 
Ukweli mchungu
Mkuu Mpaka leo Rizimoko ni Mtoto Mpendwa kwa Baba yake na Huenda bado anaishi kwa Baba licha ya kuwa ni Bilionea. kumbuka jinsi mzee Mwinyi alivyokuwa akijipeneldekeza kwa Magufuli akijua ndio mbinu ya amwanaye kutoboa.

Maskini yeye kawapanga kawatelekeza anatarajia miujiza watoto wakimtupa anaanza kulalamila eti laana.
 
Wenzetu ulaya wana system nzuri za malezi kwa wazee zinaitwa nyumba za malezi nchini wanazo wakatoliki tu kwa ajili ya mapadre.
Haya mambo ya kuacha wazee wajifie kwa shida zao ikiwemo njaa na magonjwa ndio laana zenyewe mambo hayaendi.
 
Back
Top Bottom