Watoto wa 2000 wanapenda wanaume matajiri

Watoto wa 2000 wanapenda wanaume matajiri

Nakubali. Kwahiyo haya malalamiko ya kutapeliwa ni kwamba hawana pesa, wanapesa za mawazo.
Hayo ni mambonya kawaida, ukitaka unatoa usipotaka hutoi. Sidhani kama kuna aliyeshikiwa bunduki atoe.
Huyo Anaehonga 20000 alafu analalamika Ni Mpumbavu,Kabla ya kuhonga 20,000 Mwanamke akaitumbue, Hakikisha na Wewe Una 100,000 ya kutumbua,
Namaanisha Kuhonga Ni kuchezea hela,Kabla ya Kuhonga mtu akachezee hela yako, Hakikisha unayo mala 5 ya uliompa Na Wewe ya kuchezea.

Wale Wanaume Ambao mfukoni ana 20000 alafu wanaonga 20000 Ni wapumbavu na Ndio Maana wanakuja kuachwa alafu wanalalamika hovyo kwasababu walijinyima kwaajili ya wengine.
 
Hapana sahvi natafuta binti wa miaka 17,18 hapo nmkuze mnyw
Hawa ambao ukitaka kuonana nao,Wanaosema Mama kanambia Niwape Watoto uji wakiamka😂😂😂

Haya Kila rakheri Bro ila Uwe mvumilivu Sana Zaidi ya makuruta Wa JKT😂😂😂
 
Hakuna Mwanamke anaweza kuishi bila Mwanaume,ila kuna Wanaume wanaweza kuishi bila Wanawake.
Acha kudanganya hapa, wewe angalia wajane na wagane na huoa au kuolewa mapema? Ukiona mwanaume yupo yupo jua anamatatizo afya yake haipo sawa, wanawake wanaishi tu
 
Halafu aking'oe hicho kidude chenu halafu mfano muwe mnakojolea kwenye masikio badala ya hapo?

Akifanya hivyo mtalia sana aiseee,🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyie mking'olewa hicho kijusi mtakojolea mdomoni au kwapani ?
 
Back
Top Bottom