Watoto wa Khadija Kopa ni exceptional singers

Watoto wa Khadija Kopa ni exceptional singers

Huyu binti nimeshindwa kumkubali japo mauzauza Khadija kambeba vyema mwanae
 
Hahahaa Hii leo Kingwendu Bar Tender 😀 😀 😀 😀 😀.

🤣🤣🤣kale kazee bana ni burudani tosha, juzi nimeona youtube kanahojiwa , kilichonichekesha mtangazaji amekafata wakati kanashuka kwenye cruiser yake kakatoa kitambaa kanafuta jasho🤣
imagine mtu alikuwa kwenye cruizer anaendesha peke ake afu anashuka anafuta jasho


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Albam ya konde ilisemwa kisa vionjo vya wasanii wengine kuwekwa humo ila ya huyu binti timu bundi kimyaaa kisa yupo upande wao
Timu[emoji1657][emoji1657][emoji1657][emoji3][emoji2][emoji2960]
 
Mlianza kusema ooh anaimba taarabu,ooh hana tone ya bongo.fleva leo mmehamia kwenye ku copy melody sijui na vitu gani.........unafiki juu ya unafiki tu ndio mtaji wa masikni....LET'S GO ZUCHU.
 
🤣🤣🤣kale kazee bana ni burudani tosha, juzi nimeona youtube kanahojiwa , kilichonichekesha mtangazaji amekafata wakati kanashuka kwenye cruiser yake kakatoa kitambaa kanafuta jasho🤣
imagine mtu alikuwa kwenye cruizer anaendesha peke ake afu anashuka anafuta jasho


Sent using Jamii Forums mobile app
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀 huyo ndio kingwendu.
 
Kuna marehemu Omary Kopa. Alikuwa na sauti, mbunifu na mtunzi mzuri kwa wakati wake. Bahati nzuri au mbaya yeye alichagua upande wa mama yake. Taarabu.

Yupo mwingine sitamtaja kwa vile hajaamua kuwa recording artist. Naye ana balaa lake. Ni wa kike.

Mwisho ni huyu binti aliyetambulishwa na lebo ya WCB. Zuchu.

Ukisikiliza EP ya nyimbo zake, tarajia kukutana na melodies tamu zilizoazimwa kutoka katika baadhi ya nyimbo tamu za wasanii mbalimbali.

Sijui makubaliano yakoje kwenye ishu za copyrights ila katika nyimbo hizi nne, utasikia:

1. RAHA - Kuna kionjo cha wimbo Janam Janam wa Shahrukh Khan na Kajol

2. KWARU - Kuna kionjo cha Tuma ya TX Moshi/Msondo Ngoma

3. MAUZAUZA - Kuna kionjo cha Kidudu Mtu ya Offside Trick

4. NISAMEHE - Kuna kionjo cha Gerua ya Sharukh Khan na Kajol

Naamini, bila kuweka ubunifu wa hivyo vionjo huyu binti asingekuwa gumzo hivi sasa. Mnaojua muziki mzuri mtakuwa mmenielewa.

Kejeli.
Samahani mkuu EP maana yake nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna marehemu Omary Kopa. Alikuwa na sauti, mbunifu na mtunzi mzuri kwa wakati wake. Bahati nzuri au mbaya yeye alichagua upande wa mama yake. Taarabu.

Yupo mwingine sitamtaja kwa vile hajaamua kuwa recording artist. Naye ana balaa lake. Ni wa kike.

Mwisho ni huyu binti aliyetambulishwa na lebo ya WCB. Zuchu.

Ukisikiliza EP ya nyimbo zake, tarajia kukutana na melodies tamu zilizoazimwa kutoka katika baadhi ya nyimbo tamu za wasanii mbalimbali.

Sijui makubaliano yakoje kwenye ishu za copyrights ila katika nyimbo hizi nne, utasikia:

1. RAHA - Kuna kionjo cha wimbo Janam Janam wa Shahrukh Khan na Kajol

2. KWARU - Kuna kionjo cha Tuma ya TX Moshi/Msondo Ngoma

3. MAUZAUZA - Kuna kionjo cha Kidudu Mtu ya Offside Trick

4. NISAMEHE - Kuna kionjo cha Gerua ya Sharukh Khan na Kajol

Naamini, bila kuweka ubunifu wa hivyo vionjo huyu binti asingekuwa gumzo hivi sasa. Mnaojua muziki mzuri mtakuwa mmenielewa.

Kejeli.
5. Sauti-vionjo vya Hafsa Kazinja
 
Fisi kasusiwa bucha. Ni suala la muda tu. East Africa Got Pregna..
 
Ukiiskia Wana ina vionjo vya ngoma ya Gerua inayopatikana katika movie ya Dilwale ya Shah Rukh Khan na kajol
 
Back
Top Bottom