Professor jr
Member
- Apr 24, 2019
- 30
- 29
Watoto wengi wakiafrika wamekuwa wakiamini kuwa mwenye mahusiano ni kama kosa na ni kitu kinacho takiwa kufanywa kama siri .Nadhani wazizi wengi wengi wamechangia kufanya watoto wawe hivyo ukali na kutojari hisia za watoto toka wadogo .
Lakini tofauti na wenzetu wazungu mtoto toka mdogo amekuwa akiona mahusiano kuwa ni jambo la kawaida hvyo Imekuwa swala la kawaida kwao pia imewajengea kujiamini pia kuwa na mahusiano yanayo dumu mda mrefu maana wengi hujikuta wapo kwenye mahusiano toka udogoni na hata familia zao zina ukaribu.
Madhara ya kutokujua mahusiano toka wadogo
1.Mwisho wa siku tumetengeneza kizazi cha watoto malaya ambao wamejificha kwenye mahusiano kuwa ni siri na kujikuta wopo kwenye mahusiano ya watu wengi kisa ni siri .
2.Tumetengeza ndoa nyingi zisizo dumu;ndoa nyingi hazidum maana watoto wengi wamejikuta wakianza kuwa huru na mahusiano wakiwa wakubwa na hasa wakifika chuo hivyo kukosa hata ile ukaribu sana wa kumjua mwenza wake kabla hawajaoana.
3.Watoto wengi wanakosa emotional intelligence;vijana wengi siku hizi yamekuwa wajinga na limbukeni wa mapenz wameshindwa kuhimili hisia zao hata kujicontrol mwisho wa siku wameishia kuteseka na mapenz lakn kama wangepata uelewa wa mahusiano toka wadogo ingekuwa nzur
Mwisho kabisa napenda kushauri wazazi tujaribu kukufundisha watoto wetu elimu hii ya mahusiano itasaidia sana mfano wapi ulijifunza kuhusu ngono ,ulijifunzia kwa kuangalia porno nadhan mtu akikosea kujifunza kitu inakuwa ngumu kujifunza tena mzazi unatakiwa kufundisha wanao kila kitu kabla ulimwengu haujamdanganya.
Kuwa kwenye mahusiano siyo kosa na wala siyo dhambi tena inasaidia kujenga mahusiano mzur unatengeneza kujiamin na inanifanya mtu kuwa romantic and emotional intelligent.
Lakini tofauti na wenzetu wazungu mtoto toka mdogo amekuwa akiona mahusiano kuwa ni jambo la kawaida hvyo Imekuwa swala la kawaida kwao pia imewajengea kujiamini pia kuwa na mahusiano yanayo dumu mda mrefu maana wengi hujikuta wapo kwenye mahusiano toka udogoni na hata familia zao zina ukaribu.
Madhara ya kutokujua mahusiano toka wadogo
1.Mwisho wa siku tumetengeneza kizazi cha watoto malaya ambao wamejificha kwenye mahusiano kuwa ni siri na kujikuta wopo kwenye mahusiano ya watu wengi kisa ni siri .
2.Tumetengeza ndoa nyingi zisizo dumu;ndoa nyingi hazidum maana watoto wengi wamejikuta wakianza kuwa huru na mahusiano wakiwa wakubwa na hasa wakifika chuo hivyo kukosa hata ile ukaribu sana wa kumjua mwenza wake kabla hawajaoana.
3.Watoto wengi wanakosa emotional intelligence;vijana wengi siku hizi yamekuwa wajinga na limbukeni wa mapenz wameshindwa kuhimili hisia zao hata kujicontrol mwisho wa siku wameishia kuteseka na mapenz lakn kama wangepata uelewa wa mahusiano toka wadogo ingekuwa nzur
Mwisho kabisa napenda kushauri wazazi tujaribu kukufundisha watoto wetu elimu hii ya mahusiano itasaidia sana mfano wapi ulijifunza kuhusu ngono ,ulijifunzia kwa kuangalia porno nadhan mtu akikosea kujifunza kitu inakuwa ngumu kujifunza tena mzazi unatakiwa kufundisha wanao kila kitu kabla ulimwengu haujamdanganya.
Kuwa kwenye mahusiano siyo kosa na wala siyo dhambi tena inasaidia kujenga mahusiano mzur unatengeneza kujiamin na inanifanya mtu kuwa romantic and emotional intelligent.