Watoto wa kishua hamuwezi kuielewa hii picha

mwenye mpira akiona vipi anakamata mpira wake anasema 'kwa leo' halafu nduki na mpira wake
 
mwenye mpira akiona vipi anakamata mpira wake anasema 'kwa leo' halafu nduki na mpira wake
 
hahahahaaa we ulikua wakishua mwanangu na hapo lazma mpira unaozungumzia ni gozi,,,,, mana hii ya makaratasi ilikua haiitaji idadi ya wachezaji ndani....hata mkiwa 30 mnakipiga tu[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]mchoyoo alikuwa
 
Jamani njaa vipii ?mkirudi home je
 
Kwanini ulikuwa huvui shati
 
Sasa unashabikia nini?
 
ukitaka ndoa ife mwambie mkeo mwanao asome moja ya hizo shule!
utasikia watu watatuelewaje utafikiri hao watu ndo kaolewa nao!
 
sasa watacheza lini wanaishia games za simu kwanza viwanja vya shule vimevamiwa. Hakuna nyakati nzuri kama hizi. sheria 17 za mpira hapa hazina nafasi yake
 
Ahahahahahahah mnaniuaa mbavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…