Watoto wa kiume ni wagumu kuwasadia wazazi wao kuliko watoto wa kike

Watoto wa kiume ni wagumu kuwasadia wazazi wao kuliko watoto wa kike

KAma wazazi wako wamekufukuza maana yake hawawezi kukuhudumia,so unatakiwa uwaze kwamba kama hawawezi kukuhudumia maana yake inatakiwa uwasaidie.

Lakini pia kama wamekufukuza kwa roho mbaya zao,unatakiwa ujiulize kwa nini hawakukufukuza wakati unanyonya ? Ni kwa sababu wakati huo usingeweza kujitegemea.

So usijekuleta propaganda yoyote ili ujitoe kwenye ustaarabu wa kuwasaidia wazazi pale unapopata uwezo,kuwasaidia wazazi ni jambo la mtoto.

UNadhani nani atamsaidia mzazi anapokwama ?
Haya mambo ni kubadilishana,mzazi humkuza mtoto na mtoto amsaidie mzazi anaposhindwa.

huo ni ufahamu wako mkuu.

Lengo hapa nikuwainua wazazi kwanza then unaoa.

Unakuta wazazi kula shida mahitaji ni tatizo,kama kuna means yoyote ya kuwafanyia inatakiwa uifanye ili kula isiwe tatizo kwao na mahitaji madogomadogo then ndio unavuta jiko.

LEngo sio wazazi uwafanye wawe matajiri hapana lakini kuna ile kuwasapoti na kuhakikisha kwamba kula kwao hakuwapi shida,na mahitaji madogo madogo ya kila siku sio tatizo.

Lakini mtu anapapatua ndoa huku wazazi kula ni kwa mashaka,huu sio uungwana.
Sidhani kama kuna mtu anaekataa kusaidia wazazi wake kwa kadri ya uwezo alio nao. Ishu hapa ni kwamba tunalaumiwa watoto wa kiume kwamba hatuwajali wazazi ukilinganisha na watoto wa kike wanavyowajali. Ndio tukasema moja ya sababu inayopelekea hilo ni wanaume kusongwa na majukumu mengi kuliko wanawake.

Ikumbukwe kuwa kila mtu anapofikia umri fulani inabidi awe na familia yake regardless ya uwezo wa kifedha. Hata wazazi wenyewe wanatambua hilo. Ndio mfumo wa maisha ulivyo. Na ukishakua na familia automatically majukumu yanaongezeka na msaada lazima utapungua.

Sidhani kama kuna mwanaume awe kweli ana maisha mazuri anaishi kifahari halafu wazazi wake wanakosa chakula au pakulala huo utakua ni utaahira.
 
Sidhani kama kuna mtu anaekataa kusaidia wazazi wake kwa kadri ya uwezo alio nao. Ishu hapa ni kwamba tunalaumiwa watoto wa kiume kwamba hatuwajali wazazi ukilinganisha na watoto wa kike wanavyowajali. Ndio tukasema moja ya sababu inayopelekea hilo ni wanaume kusongwa na majukumu mengi kuliko wanawake.

Ikumbukwe kuwa kila mtu anapofikia umri fulani inabidi awe na familia yake regardless ya uwezo wa kifedha. Hata wazazi wenyewe wanatambua hilo. Ndio mfumo wa maisha ulivyo. Na ukishakua na familia automatically majukumu yanaongezeka na msaada lazima utapungua.

Sidhani kama kuna mwanaume awe kweli ana maisha mazuri anaishi kifahari halafu wazazi wake wanakosa chakula au pakulala huo utakua ni utaahira.
Upo sahihi sana mkuu!
 
Kawaida tu kwa mwanaume hata ufanye nini.

Tunatafuta wee, mwishoni wanaishia kusema nani kama mama
 
Hili jambo nimelifuatilia muda mrefu sana hapa barani africa esp. Tanzania wazazi wanaenjoy tu pale ambapo mama akipata toto la kiume jamii inakuchukulia mtu wa thamani sana yaani hongera unapata nyingi lakini kadri toto hilo la kiume linavyozidi kuwa kubwa ndivyo linavyoanza kuwa jitu la hovyo hata kusahau wazazi wake.

Tofauti sana na mitoto ya kike huwa yanakumbuka sana wazazi wao kwa kuwatunza na kuwa karibu nao zaidi sijaingia ndani zaidi kujua shida nini kati ya jinsi hizi mbili ila kwa hali inavyoendelea naona bora kuzaa toto la kike tu haya matoto ya kiume mengi ni hasara yakishafika ukubwani yanazingua wazazi wao kinoma hasa yakishaoa au yakianza tabia ya kuchovyachovya na kulewa.

Hii imetoka na tabia tuliyoridhishwa (isiyo sahihi) ikisema kuwa, Kipato cha mwanaume ndicho cha familia na kipato cha mwanamke ni cha kwake mwenyewe
Kwa kupitia mwanya huo, wanawake huweza kuwa na hela nyingi hata kama ana kipato sio kikubwa na sehemu kubwa kuielekeza kwenye familia yake huku mwanamme akipambana kuendesha familia yake na kusahau kwao...

Kimsingi Biblia ilisema, mwanamke akikaa nyumbani kuzaa na kulea na Kuangalia familia; matunzo yake na ya familia yatatolewa na Mwanamme kwa asilimia 100% ambapo ni sahihi kabisa
ILA kama mwanamke wako anafanya kazi hapo ni tofauti kwani; anatoka asubuhi kufanya kazi na kurudi jioni huku ameacha jukumu la kulea watoto na familia kwa dada wa kazi (House girl) anastahili kutumia kipato chake kwenye familia.

Wanaume wameendelea kukomaa wenyewe huku familia walikotoka vijijini zina angamia kwa dimbwi la umasikini (na wanawake kutumia hilo gap la kusema Biblia imeandika,,,,,,kama "Hawa" alivyo mdanganya Adam akala tunda)
Huo utaratibu wa kushirikiana kipato ukifuatwa vizuri, kutakuwa na bajeti ya kusaidia familia zote mbili kwa kadri ya vipato vyenu na hii ndio maana ya kuunganishwa muwe mwili mmoja!
 
Sio kweli Gentlemen tunajitahidi sana Kuwakumbuka wazazi/Walezi pamoja na kuwa majukumu yetu ni mengi haswa kwa wale wenye fsmilia zao tayari.

Sasa mwanamke anajukumu gani kwa kipate chako, ni lazima ataonekana anajari wazazi wake haswa ukizingatia kipato chao wengi huwa hawataki kiguswe kwebye mambo ya kifamilia, wao wanasema hela zao ni zao na Mwanaume ni za Wote (Familia).
 
Watoto wa kike sio risk takers,mtoto wa kike hata akizaa mtoto basi jina la mtoto litaitwa kwa nasibu ya baba na sio mama yaani kuonesha mwanamke jukumu la kulea anakaa kando.

Wanaume tuna option mbili tu ili tuwasaidie wazee.

1.tutafute sana hela na tuzipate kisha uwe na uwezo wa kuhudumia wazazi na familia yako.

2.jinyime na familia ili uwahudumie wazazi vizuri.

Mimi ninahisi mzazi anapoona mtoto anataka kuoa alafu mzazi anaona kabisa kwamba mwanangu hajanitoa magenotni vya kutosha,ama hajanisaidia vya kutisha basi mzazi suala la kuoa analikubali shingo upande.

Kwa ambao hamjaoa jitahidini kabla ya kuoa muwapush wazazi kama uwezo upo,sio unaoa huku mzazi kula yake kwa siku ni ya tabu,unaharakia nini kuoa ?

Kama kijana jipe jukumu la kuwatoa wazazi kwanza kabla ya kuoa then kuoa kuje baadae,sio unaoaoa ovyo tu huku wazazi wakishinda njaa.

Binafsi najiskia tabu sana kuona kijana anashindwa kuwasaidia wazazi kisa tu ana majukumu ya kifamilia,kwani hii familia yako imewakuta wwzazi ama wazazi ndo wameikuta familia yako ?

Wakeup wanaume.
Hili suala limeibuka hivi karibuni wazazi hawataki watoto wao waoe kabisa hata kama wamepata kazi.
 
Wanaume Wana majukumu mengi kuliko wanawake.
Ni lazima uache Kodi ya meza ndani ukiondoka watoto watalishwa kiporo jioni utapikiwa vizur hakuna mwanaume mwenye Tabia ya kuuliza watoto mmekula Nini.
Akisave elf 2 kila siku ana Hela ya kikoba akipokea anamtumia mama yake.
Wanaume wenye saving ni wachache sana
 
Hili jambo nimelifuatilia muda mrefu sana hapa barani africa esp. Tanzania wazazi wanaenjoy tu pale ambapo mama akipata toto la kiume jamii inakuchukulia mtu wa thamani sana yaani hongera unapata nyingi lakini kadri toto hilo la kiume linavyozidi kuwa kubwa ndivyo linavyoanza kuwa jitu la hovyo hata kusahau wazazi wake.

Tofauti sana na mitoto ya kike huwa yanakumbuka sana wazazi wao kwa kuwatunza na kuwa karibu nao zaidi sijaingia ndani zaidi kujua shida nini kati ya jinsi hizi mbili ila kwa hali inavyoendelea naona bora kuzaa toto la kike tu haya matoto ya kiume mengi ni hasara yakishafika ukubwani yanazingua wazazi wao kinoma hasa yakishaoa au yakianza tabia ya kuchovyachovya na kulewa.
Upo sahihi ni Bora Ukazaa watoto 10 wa like wawe Malaya watakutunza kuliko MAWAZIRI 30 wa kiume
 
Upo sahihi ni Bora Ukazaa watoto 10 wa like wawe Malaya watakutunza kuliko MAWAZIRI 30 wa kiume
Na wote wakifa kwa ukimwi au wakichuja wanakuachia wajukuu kibao nyumbani uwalee nawe umezeeka. Wanaume wana majukumu mengi watunze mke, watoto, plus wazazi.
 
Wanawake msijisifu sana ktk swala la hela wkt asilimia kubwa ya kipato chenu (wengi wenu SIYO WOTE) kinatokana na kudanga/kuchuna mabuzi, lugha sahihi ukahaba mwanamke mmoja ana wanaume michepuko 10 kila mmoja anampa hela, bado wa short time wasiohesabika, halafu mnajisifu mnatunza zaidi wazazi kwa kipato mnachipata ktk biashara zenu haramu, ambazo hazina leseni wala hamlipi kodi. Uhuru mliopewa mkizidi kuutumia vibaya bila shaka matokeo yake mtasababisha kuenea kwa siasa kali fanaticism and extremism
 
Back
Top Bottom