Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,203
- 37,906
Kwa hiyo miaka na ukizingatia Mzee afya ilikuwa mgogoro, sina uhakika km Mzee aliifaidi ile K!
Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchaga hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana