Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

Watoto wa Mengi wamburuza mahakamani Jacqueline Mengi "Klynn"

You're very stupid,
Nilidhani una akili kumbe mshenzi tu.

eti mwanamke from nowhere. Hiyo sex aliyokuwa akipewa marehemu na K'lyn hao watoto wangeweza kumpa,
Ngono haijawahi kutumika kama kigezo cha mtu kurithi mali nenda mahakamani na kigezo kama hiki cha kipumbavu ushuhudie.

hivi unajua faraja tupewayo na wenza wetu between the four walls?
Sifikirii kama uko sawa kichwani, faraja kitu gani unafikiri faraja ya watoto wake inaweza kuwa sawa na ya hicho kimwanamke?

hao mapacha aliomzalia hao watoto wangeweza kumzalia.
Maswali ya kipuuzi sana haya, ushasema watoto (tena wakwake mwenyewe) watawezaje kumzalia sasa.
.
Unafikiri kuzaa mapacha ni jambo la ajabu?

Kama ni hivyo ubaguzi wako wa kipumbavu wa mwanamke from nowhere hata mke wake wa kwanza(marehemu) naye alikuwa mwanamke from nowhere na akaolewa akawazaa hao watoto hao
Hivi vyote unavyoviona alikuwa navyo Mengi vimetoka kwa msaada mkubwa sana mwa mama yao Regina na akavisimamia hadi leo mnaviona hapo.
.
Havikutoka kwa Jaq mchumia tumbo yule kavikuta viko pale tayari.
Waswahili tunasema usione vyaelea vimeundwa!

wanaokufanya unalialia kisa tu hawajaachiwa kitu kwenye will ya marehemu Mengi. Narudia tena hao ni watoto wa juzi coz I saw them back then wakiwa bado makinda
Nakataa tena narudia NAKATAA na wewe kama unamzidi umri Regina au Abdiel na umewashuhudia wakiwa makinda basi wewe utakuwa over 58 chini ya hapo hujaona lolote.

na huwezi kumsifia mtu kuanzisha EATV wakati hakuutafuta huo mtaji wa kuianzisha,
Sasa asifiwe nani kama sio aliyekuwa mwenye wazo na aliyeweka misingi?
.
Wewe na kuwa kwako ulaya sijui ya kwamfuga mbwa umeanzisha nini kinachofahamika donations tu za JF huziwezi shubahamit.


tafuta mtaji wako from the scratches ndiyo ujisifu umeanzisha kitu.
Wanaotafuta kuanzia chini ni watoto wa masikini tu, yani hapa ndo nimeanza sasa kufunguka akili wewe hauko Ulaya na kama uko Ulaya ni Ulaya mashariki kwa makapuku.
.
Mo Dewji kaendeleza alichokikuta wale kina Kassim Dewji wanafanya tu muendelezo wa mali za mzee Gulam.
.
Watoto wa bakhresa unafikiri watatafuta vyao kuanzia chini?
Wanaendeleza vya baba yao na vya wengine wale jamaa wana hisa CRDB.


Na mkishindwa kesi sijui itakuwaje manake mali za marehemu mmezishupalia na kuzitolea macho
Sisi ni wabwatukaji tu humu haya yanaishia humuhumu


na kawashangaza kwa kuukumbuka utamu wake na nyie kawatupilia mbali, tafuteni vya kwenu.
Utamu hat malaya wa Tandale wanao, hizo mali ni za watoto wake sio mnyarwanda yule.



Bora huyo miss Tanzania wa zamani anapigania alichoachiwa kimaandishi na marehemu mume wake lakini sio nyie mnaopigani kile marehemu alichoona hapaswi kuwapa.
Wachaga huwajui wewe nadhani, familia ya kina Jaq ya kikapuku imedumaaga akili hadi nywele hapo imetolea macho mali zilizotafutwa kwa jasho na damu pumbavu zenu.
.
Alafu wewe ni Mwanamke nimegundua.
Your hubby certainly did not marry you for your brains.
 
Nilidhani una akili kumbe mshenzi tu.

Ngono haijawahi kutumika kama kigezo cha mtu kurithi mali nenda mahakamani na kigezo kama hiki cha kipumbavu ushuhudie.


Sifikirii kama uko sawa kichwani, faraja kitu gani unafikiri faraja ya watoto wake inaweza kuwa sawa na ya hicho kimwanamke?


Maswali ya kipuuzi sana haya, ushasema watoto (tena wakwake mwenyewe) watawezaje kumzalia sasa.
.
Unafikiri kuzaa mapacha ni jambo la ajabu?


Hivi vyote unavyoviona alikuwa navyo Mengi vimetoka kwa msaada mkubwa sana mwa mama yao Regina na akavisimamia hadi leo mnaviona hapo.
.
Havikutoka kwa Jaq mchumia tumbo yule kavikuta viko pale tayari.
Waswahili tunasema usione vyaelea vimeundwa!


Nakataa tena narudia NAKATAA na wewe kama unamzidi umri Regina au Abdiel na umewashuhudia wakiwa makinda basi wewe utakuwa over 58 chini ya hapo hujaona lolote.


Sasa asifiwe nani kama sio aliyekuwa mwenye wazo na aliyeweka misingi?
.
Wewe na kuwa kwako ulaya sijui ya kwamfuga mbwa umeanzisha nini kinachofahamika donations tu za JF huziwezi shubahamit.



Wanaotafuta kuanzia chini ni watoto wa masikini tu, yani hapa ndo nimeanza sasa kufunguka akili wewe hauko Ulaya na kama uko Ulaya ni Ulaya mashariki kwa makapuku.
.
Mo Dewji kaendeleza alichokikuta wale kina Kassim Dewji wanafanya tu muendelezo wa mali za mzee Gulam.
.
Watoto wa bakhresa unafikiri watatafuta vyao kuanzia chini?
Wanaendeleza vya baba yao na vya wengine wale jamaa wana hisa CRDB.



Sisi ni wabwatukaji tu humu haya yanaishia humuhumu



Utamu hat malaya wa Tandale wanao, hizo mali ni za watoto wake sio mnyarwanda yule.



Wachaga huwajui wewe nadhani, familia ya kina Jaq ya kikapuku imedumaaga akili hadi nywele hapo imetolea macho mali zilizotafutwa kwa jasho na damu pumbavu zenu.
.
Alafu wewe ni Mwanamke nimegundua.
Your hubby certainly did not marry you for your brains.
Usipanic, lakini pole sana. Hao uliowatolea mfano wa kuendeleza walivyovikuta hawajang'ang'ania ambavyo hawakuachiwa, usipoachiwa mali inamaana utafute cha kwako. Huko Eastern Europe labda kama ulinipeleka wewe, humu kwasababu ya hizi fake IDs ni ujinga hata nikijaribu kujieleza kuanzia ninapoishi na hata umri lakini bado narudia akina Regina ni madogo na kama hawakuachiwa urithi wamchukie baba yao na si aliyerithishwa.
All in all kama nawe ni outsider jaribu kupunguza jazba japo hapo ulipomalizia naona sababu kubwa ya mihemko ni ukabila,wewe ni mmoja wa wale wanaolidhalilisha kabila la Wachaga, nasikitika kwakuwa nilioa hukohuko uchagani.
 
Usipanic, lakini pole sana. Hao uliowatolea mfano wa kuendeleza walivyovikuta hawajang'ang'ania ambavyo hawakuachiwa, usipoachiwa mali inamaana utafute cha kwako. Huko Eastern Europe labda kama ulinipeleka wewe, humu kwasababu ya hizi fake IDs ni ujinga hata nikijaribu kujieleza kuanzia ninapoishi na hata umri lakini bado narudia akina Regina ni madogo na kama hawakuachiwa urithi wamchukie baba yao na si aliyerithishwa.
All in all kama nawe ni outsider jaribu kupunguza jazba japo hapo ulipomalizia naona sababu kubwa ya mihemko ni ukabila,wewe ni mmoja wa wale wanaolidhalilisha kabila la Wachaga, nasikitika kwakuwa nilioa hukohuko uchagani.
Get lost i don't argue with airheads
 
EATV, East Africa radio alianzisha marehemu MUTIE Mengi, alipofariki Regina ndo kaisimamia mpaka sasa, kwa hiyo Regina ana nguvu zake humo kwenye mali, i stand with Regina na Abdiel Mengi([emoji23][emoji23][emoji23] kwanza Abdiel hajaoa siwezi jua labda atanioa mie [emoji14][emoji14][emoji14])

Hahaaa tamaa za Mali Cresida
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mimi nikajua sisi wachaga ni moja ya makabila yaliyostaarabika. Kumbe na sisi tuna uswahili wa kipumbavu uliotukuka wa kugombania mali za marehemu kama jamii nyinyi za Afrika.
Yaani mpaka aibu, uswahili wa kipumbavu kabisa kugombania kitu ambacho mwenye nacho hakutaka kuwaachia.
Ndiyo tatizo la mitoto kuacha kutafuta vya kwao au kuanzisha shughuli zao ili zile za kuzikuta ziwe kama ziada, wanajiaibisha sana.
 
Yaani mpaka aibu, uswahili wa kipumbavu kabisa kugombania kitu ambacho mwenye nacho hakutaka kuwaachia.
Ndiyo tatizo la mitoto kuacha kutafuta vya kwao au kuanzisha shughuli zao ili zile za kuzikuta ziwe kama ziada, wanajiaibisha sana.

Mimi nahisi una mchepuko, mbona umekua senstive na hii topic??? WEWE PONDA RAHA NA MCHEPUKO WAKO ila jua ukifa mali zote ni za watoto wa bi mkubwa!😂😏
 
Mimi nahisi una mchepuko, mbona umekua senstive na hii topic??? WEWE PONDA RAHA NA MCHEPUKO WAKO ila jua ukifa mali zote ni za watoto wa bi mkubwa![emoji23][emoji57]
Probably I got carried away by the debate, nashukuru kwa kunirudisha kwenye mstari.
 
Mshenzi yule alinajisi watoto wa watu. Mshenzi mwezie kamtoa. Kuonyesha ushenzi wake kaoa mfanyakazi wa ngazi ya juu wa serikali! Kuna wezi wa kuku jela hawapati msamaha...
ILE YOTE ILI ASIGUSWE!
mxxxxxie!
 
Ndugu hivi unawajua hao watoto? Unauhakika hawajishughulishi hawatafuti za kwao? Unajua wao ni madirector wa kampuni zipi? Nafikiri huwafahamu emvu jaribu kuwasoma kidogo, ukimaliza njoo ufute maandishi yako.
Hapa wanataka kampuni yao kabisa ambayo wameikuza toka wadogo wanaitumikia wao, marehemu kaka yao, marehemu mama yao na marehemu baba yao.

Hapa ambaye hana chake ni Jackline.
Yaani mpaka aibu, uswahili wa kipumbavu kabisa kugombania kitu ambacho mwenye nacho hakutaka kuwaachia.
Ndiyo tatizo la mitoto kuacha kutafuta vya kwao au kuanzisha shughuli zao ili zile za kuzikuta ziwe kama ziada, wanajiaibisha sana.
 
Unaanzaje anzaje kwa mfano kukubali mbona patachimbika huo mtiti wake hata mchuzi wa samaki ukimwagika paka hasogei nini panya
Mzee wako ameanzisha kampuni ya usafiri wa mabasi akiwa na mama yako.
baada ya muda wewe kama mtoto wake ukashika nafasi yake ukaiendesha hiyo kampuni kwa mafanikio sana hizo sifa hupewi wewe zinaenda kwake ikatokea migogoro ndani ya nyumba wakaachana na mama yako.
.
Akaowa mwanamke mwingine tena uliyemzidi umri kwa wakati huo wote wewe ndiye director wa kampuni na una hisa zako za kutosha tu wewe na mama yako aliyeachwa, kazi ya mzee ni kwenda kwenye show off tu, kitambo kidogo mzee anafariki huyu bibie aliyeolewa juzijuzi hapa eti karithishwa mali zote yeye na vi_zygote vyake wewe na mama yako hamna hata thumni! Yani hata tairi hamjapewa[emoji48][emoji48]
.
Utakubali?
Ni mfano tu
 
Back
Top Bottom