Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchaga hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana
Huyu K ni wa kumla shaba tu
lakini K-lynn ndie alie mpa mzee sababu ya kuishi, kwahiyo miaka michache. Wosia uheshimiwe jamani!Ndoa 2015 hadi 2019 kimasihara tu klyn arithi mabilioni, Huu utani huu, atapigwa vita sana,Mali ya mchaga hairithiki kirahisi hivi, Ndugu na watoto wakubwa wa mengi wanaandaa makombora mazito sana
atakuwa aliifaidi ndio maana kaandika huo wosia kwa faidi yake na kizazi chakeKwa hiyo miaka na ukizingatia Mzee afya ilikuwa mgogoro, sina uhakika km Mzee aliifaidi ile K!
Kumbee ndio ulikofikia huko
Cheap explanations, najuana na wafanyakazi wengi wa IPP,wengine wapo tokea kitambo sana. Hizo mbinu za kumdhulumu mjane zinaonyesha jinsi ndugu walivyokuwa wanatamani Mengi afariki ili wagawane mali zake, alifanya vizuri sana kuandika will iliyo crystal clear. Acha waendelee kujidhalilisha kwa kuonyesha tamaa zao kwa mali za marehemu, yaani hapo hata hawaoni haya kwamba kuna watoto wadogo na wanaathirika na hizi vuta nikuvute. They're showing us their true colours.Kitabu kile alianza kukiandika muda mrefu sanaaa na nauhakika hujawahi kukisoma.
.
Yule mzee hakuwa sawa kiakili sehemu mablimbali alizokuwa anahudhuria alikuwa anazungumza vitu kwa kurudia rudia alafu anajishitukia kabisa hakuwa sawa.
Yule mzee alishabaki kama pambo tu Jaquelin akatumia hiyo chance kumfanya dondocha lake jwa sababu IPP ilikuwa inaendeshwa na watoto yani sijui nielezeje.
.
Kuna wafanyakazi wengi sana IPP yule mzee hawajawahi kumuona akitia maguu yake kwenye zile ofisi Shirimatunda ndo kabisaaa kuna watu wamezisimamia hizi kampuni.
Kuna waandishi wa habari za kiuchunguzi walikuja TZ mwaka jana kuchunguza athari za makopo ya plastic yanayozalishwa na Cocacola cha kushangaza walimfata Abdiel[emoji23][emoji23] kumuhoji
.
Ingia kwenye tovuti ya RT RT.com kuna hiyo interview wameifanya coco beach, kwenye kiwanda cha Cocacola wamemuhoji abdiel pamoja na boss wa Cocacola duniani ni mfaransa.
Yani Mengi alibaki pambo tu jaq watamfanya mbaya
Hivi mzee unafikiria kweli?Cheap explanations, najuana na wafanyakazi wengi wa IPP,wengine wapo tokea kitambo sana. Hizo mbinu za kumdhulumu mjane zinaonyesha jinsi ndugu walivyokuwa wanatamani Mengi afariki ili wagawane mali zake, alifanya vizuri sana kuandika will iliyo crystal clear. Acha waendelee kujidhalilisha kwa kuonyesha tamaa zao kwa mali za marehemu, yaani hapo hata hawaoni haya kwamba kuna watoto wadogo na wanaathirika na hizi vuta nikuvute. They're showing us their true colours.
Watateseka wao, waanzishe vyao basi manake unawapa sifa za kiduanzi. Nakumbuka kiwanda cha peni mid to late nineteen eighties wakati ndiyo anaisimamisha IPP eti leo sifa wanapewa watoto wa juzi.Hivi mzee unafikiria kweli?
.
Yani ndugu yake wa damu mama mmoja baba mmoja Benny aliyebaki peke yake humu ulimwenguni wengine wote alishafukia pamoja na wanae Reginald baada tu ya kumuacha mama yao akaendekeza wanawake kina Madam Rita wale wangeshindwa kumuua kipindi chote kile?
.
EATV hadi leo unaiona iko hivi leo unafikiri ni mkono wa mengi?
Come on man
Wale wangekuwa na nia hiyo wangeshamzimisha kitambo sana
.
Jaq ndiye ana tamaa ya mali anapenda matanuzi fulani hivi sasa anataka kutanulia mpaka pesa za kina Regina hiki ndio kitakua kiama chake.
Wosia kama ule ni wakishenzi na marehemu nae atakuwa mshenzi vilevile kama aliandika zikiwa zinamtosha.
.
Regina na Abdiel wamezisimamisha zile media yani Mengi alikuwa kama Kioo tu ila hakuwa anafanya lolote nashauri wamfanye mbaya Jaq yani ateseke vyenye hajawahi ona mpaka anafukiwa
Watateseka wao, waanzishe vyao basi manake unawapa sifa za kiduanzi. Nakumbuka kiwanda cha peni mid to late nineteen eighties wakati ndiyo anaisimamisha IPP eti leo sifa wanapewa watoto wa juzi.
Will ziheshimiwe, tamaa kwa mali za marehemu wakati haupo kwenye will ni kama ulikwa unatamani kifo kitokee ili urithi mali.
Kama haujapewa mgao kwenye urithi tafuta vya kwako.
Mzee wako ameanzisha kampuni ya usafiri wa mabasi akiwa na mama yako.Watateseka wao, waanzishe vyao basi manake unawapa sifa za kiduanzi. Nakumbuka kiwanda cha peni mid to late nineteen eighties wakati ndiyo anaisimamisha IPP eti leo sifa wanapewa watoto wa juzi.
Will ziheshimiwe, tamaa kwa mali za marehemu wakati haupo kwenye will ni kama ulikwa unatamani kifo kitokee ili urithi mali.
Kama haujapewa mgao kwenye urithi tafuta vya kwako.
Alafu siwapi sifa hewa zinawastahili kabisa.Watateseka wao, waanzishe vyao basi manake unawapa sifa za kiduanzi.
Regina na Abdiel sio watoto wa juzi wale wape heshima yao aisee.Nakumbuka kiwanda cha peni mid to late nineteen eighties wakati ndiyo anaisimamisha IPP eti leo sifa wanapewa watoto wa juzi.
Huu ni ujinga wa hali ya juuWill ziheshimiwe, tamaa kwa mali za marehemu wakati haupo kwenye will ni kama ulikwa unatamani kifo kitokee ili urithi mali.
wana hisa za kutosha sana pale ila sio haki mwanamke from nowhere aje achukue mali zao haki ya mama nauwaKama haujapewa mgao kwenye urithi tafuta vya kwako.
Sababu ya kuwabagua itatolewa na nani wakati mwenyewe Mengi kafa?Hiyo kesi ndogo sana wosia siyo kila kitu ni lazima mahakama iangalie kwanini mengi asiwape urithi sawa Watoto wake wote kama itaonekana akukuwa na sababu ya kubagua Watoto wake zinazo kubalika kisheria basi wosia auwezi kufuatwa
You're very stupid, eti mwanamke from nowhere. Hiyo sex aliyokuwa akipewa marehemu na K'lyn hao watoto wangeweza kumpa,hivi unajua faraja tupewayo na wenza wetu between the four walls?hao mapacha aliomzalia hao watoto wangeweza kumzalia. Kama ni hivyo ubaguzi wako wa kipumbavu wa mwanamke from nowhere hata mke wake wa kwanza(marehemu) naye alikuwa mwanamke from nowhere na akaolewa akawazaa hao watoto hao wanaokufanya unalialia kisa tu hawajaachiwa kitu kwenye will ya marehemu Mengi. Narudia tena hao ni watoto wa juzi coz I saw them back then wakiwa bado makinda na huwezi kumsifia mtu kuanzisha EATV wakati hakuutafuta huo mtaji wa kuianzisha, tafuta mtaji wako from the scratches ndiyo ujisifu umeanzisha kitu.Alafu siwapi sifa hewa zinawastahili kabisa.
EATV kaanzisha Motie hakuanzisha Mengi.
Hizo mali ni za Abdiel, Regina na Mama yao tu.
Regina na Abdiel sio watoto wa juzi wale wape heshima yao aisee.
Hata mtu wa 1995 huwezi kumuita mtoto wa juzi.
Huu ni ujinga wa hali ya juu
wana hisa za kutosha sana pale ila sio haki mwanamke from nowhere aje achukue mali zao haki ya mama nauwa
Kabisa,nilijifunza kutafuta vya kwangu since the age of 22. Huku ninakoishi(kwa Wazungu) hata kama ni kimada ambaye hakuwa akifahamika lakini ndiyo ameachiwa kila kitu na ikathibitishwa kuwa hiyo will ni halali hakuna ndugu atakayelalamika, waafrika tuna shida sana ya kutolea macho mali za marehemu hata kama marehemu hakuona kama kuna haja ya kutuachia kitu.Mzee wako ameanzisha kampuni ya usafiri wa mabasi akiwa na mama yako.
baada ya muda wewe kama mtoto wake ukashika nafasi yake ukaiendesha hiyo kampuni kwa mafanikio sana hizo sifa hupewi wewe zinaenda kwake ikatokea migogoro ndani ya nyumba wakaachana na mama yako.
.
Akaowa mwanamke mwingine tena uliyemzidi umri kwa wakati huo wote wewe ndiye director wa kampuni na una hisa zako za kutosha tu wewe na mama yako aliyeachwa, kazi ya mzee ni kwenda kwenye show off tu, kitambo kidogo mzee anafariki huyu bibie aliyeolewa juzijuzi hapa eti karithishwa mali zote yeye na vi_zygote vyake wewe na mama yako hamna hata thumni! Yani hata tairi hamjapewa[emoji48][emoji48]
.
Utakubali?
Ni mfano tu
Kwa hiyo unataka tuwaige wazungu kwa kila kitu?😡😡Kabisa,nilijifunza kutafuta vya kwangu since the age of 22. Huku ninakoishi(kwa Wazungu) hata kama ni kimada ambaye hakuwa akifahamika lakini ndiyo ameachiwa kila kitu na ikathibitishwa kuwa hiyo will ni halali hakuna ndugu atakayelalamika, waafrika tuna shida sana ya kutolea macho mali za marehemu hata kama marehemu hakuona kama kuna haja ya kutuachia kitu.
Kujizoesha kutafuta vya kwako ni jambo zuri sana.